kichongeochuma
JF-Expert Member
- Jan 21, 2024
- 1,669
- 2,864
Kwani umeambiwa train ndio mbovu? Au uelewa wako upo chiniWahujumu uchumi ni nyie mlioenda kutununulia ma treni mabovu kwa mikataba mibovu .
Hivi hayo matreni yenu mabovu hayakuwa na warrant ili muyarudishe mpewe mazuri?
Kwani umeambiwa train ndio mbovu? Au uelewa wako upoWahujumu uchumi ni nyie mlioenda kutununulia ma treni mabovu kwa mikataba mibovu .
Hivi hayo matreni yenu mabovu hayakuwa na warrant ili muyarudishe mpewe mazuri?
Hao wala sio wa kuwachekea tatizo unakuta wahujumu ndio wafadhili wa chama sasa wanawaogopa na hilo ndilo tatizo la kuchanganya wafanyabiashara na serikaliNi uzembe wa vyombo vya Usalama. Wanaujua ukweli maana wana taarifa nyingi lkn wanafukia vichwa mchangani kama mbuni. Watu wa namna hii hawakusitahili kuzaliwa kimsingi wanajilaani wenyewe kwa kununulika
Watakuwa CHADEMA tu lazimaKufuatia changamoto za hapa na pale zinazoipata TREN ya SGR boss wa TRC Masanja Kadogosa amesema Kuna njama zinafanywa Kuhujumu mradi huo
Njama hizi hazijaanza Leo ni za muda mrefu na tayari wameshawabaini miongoni mwa wanaowahujumu na watawashughulikia ipasavyo
Source Mwananchi
Mlale unono 😃
Watakuwa CHADEMA tu hao, lazimaKufuatia changamoto za hapa na pale zinazoipata TREN ya SGR boss wa TRC Masanja Kadogosa amesema Kuna njama zinafanywa Kuhujumu mradi huo
Njama hizi hazijaanza Leo ni za muda mrefu na tayari wameshawabaini miongoni mwa wanaowahujumu na watawashughulikia ipasavyo
Source Mwananchi
Mlale unono 😃
Hayo hayo sasa wamekuwa waganganga wa kienyeji kwamba miradi haitafanikiwa bila wao kuwepo kupitia nyimbo Mpya ya tumbili kupitia ppp. Ambaye Naye kama kadogoo wapo hapo kama kiungoMahujumu ya mradi nimeyakuta yamevaa mashati ya kijani na njano yakiimba anaupiga mwingi
Na mmiliki wa SACCO ni kibaka mkubwa sanaCCM ni wahujumu uchumi wakubwa
Hakika tutawapiga mawe hadharaniHilo lazima lingetikea tu maana mradi unaziba fursa za matajiri na vigogo wengi. Awataje hadharani tuwapige mawe huku mtaani hao wasaliti wa nchi
Chati feki ni yule dhalim ndiyo maana alimuua Ben Saanane, bwege wewe.Cheti feki, tuliza bichwa somavizuri acha bangi.
Mbona unaogopa sana uliwahi kufanyiwa nini hapo Ufipa?! 🐼Mimi ni wa Goba,ila hao jamaa kuna kitu wamekufanya maana siyo kwa chuki hizo.
Mimi kidume kama unabisha nipe location , kinywaji chako pendwa utapata.Mbona unaogopa sana uliwahi kufanyiwa nini hapo Ufipa?! 🐼
Wakubwa zako wanaingia Jela kila siku lakini Wewe unaonekana kuwaogopa kweli kweli 🐼🐼
Hata mm na wew tutakufa. Kipi cha ajabu!! Inaonekana ukoo wenu mna akili nyingi, km vp mpeleke dadaako akaendeshe Shirika!!Yule Kadogosa ni mjinga kabisa, na ameshahisi anakwenda kufukuzwa, wote tunajua na tunaona uwezo duni wa watumishi wa umma kuweza kuendesha miradi. Mchawi mkuu wa TRC ni TRC wenyewe wakishirikiana na CCM na kwa hakika SGR itakufa kama inavyokufa mwendokasi.
Kinywaji mpe mbelgiji au yule anayeshinda Drive Inn kwa balozi 🐼Mimi kidume kama unabisha nipe location , kinywaji chako pendwa utapata.
Mimi nakutaka wewe nikunyooshe naona una ngenga nyingi sana, na lazima utaingia kwenye clamp yangu na unavyopenda pombe za offer.Kinywaji mpe mbelgiji au yule anayeshinda Drive Inn kwa balozi 🐼
Huwezi tumia watu walio feli shule,kufanya Kazi zenye kuhitaji akili timamu na kubwa na hapa ndipo watu weupe wametushinda.Tofauti ya akili za wazungu na waafrika.
Walt Disney (mwenye theme parks zake) na alieanzisha Disney franchise zote alifariki siku chache kabla ya kufunguliwa kwa first ever Disney park.
Siku ya ufunguzi wa park, Kaka yake wa karibu (Roy Disney) ambae alikuwa kama business partner, waandishi wakamuuliza it’s a shame ‘Walt Disney’ hayupo kuona ufahari wa kitu alichojenga. Jibu la ‘Roy Disney’ likawa hakuna shame yoyote, mimi na wewe tuna bahati ya kuona final product, lakini hiki tunachokiona leo ‘Walt Disney’ alishakiona kichwani kwake miaka mingi sana kabla hata huu uwanja uliopo hii park aujafyekwa.
Walinzi wa nchi hawawezi kuto ona faida ya SGR, waache watu waharibu; hakuna label nyingine ya kuwapa zaidi ya kuwa watu wapumbavu mno.
Mambo mengine, hata kama hayatuhusu yanakera, yaani watu kabisa wathubutu kuhujumu SGR na nchi Ina vyombo vya ulinzi.
Pathetic
Humtaki Robert Amsterdam? 🐼Mimi nakutaka wewe nikunyooshe naona una ngenga nyingi sana, na lazima utaingia kwenye clamp yangu na unavyopenda pombe za offer.
They don’t get it ni elimu hiyo-hiyo walio fanyia forgery ya vyeti. Wenye uelewa wa kawaida tu wanaona wanavyopaywa.Huwezi tumia watu walio feli shule,kufanya Kazi zenye kuhitaji akili timamu na kubwa na hapa ndipo watu weupe wametushinda.
Huko kwenye vyombo vya ulinzi kumejaa vilaza na watu wasio jitambua.Rushwa na ubinafsi unaliangamiza hili taifa letu na mbaya zaidi watu wenye akili wamejitenga na kundi kubwa lenye madaraka.
Watu wenye akili kubwa kama Plato,Saint Simon nk wanatoi Rai kwamba viongozi lazima wawe watu wenye akili kubwa sio vilaza kama tulio nao hapa Tanzakiza.