Kadogosa: Kuna njama zinafanywa Kuhujumu treni ya SGR na hazijaanza Leo na tumeshawabaini Wanaotuhujumu!

Kadogosa: Kuna njama zinafanywa Kuhujumu treni ya SGR na hazijaanza Leo na tumeshawabaini Wanaotuhujumu!

Kufuatia changamoto za hapa na pale zinazoipata TREN ya SGR boss wa TRC Masanja Kadogosa amesema Kuna njama zinafanywa Kuhujumu mradi huo

Njama hizi hazijaanza Leo ni za muda mrefu na tayari wameshawabaini miongoni mwa wanaowahujumu na watawashughulikia ipasavyo

Source Mwananchi

Mlale unono 😃
Acheni kuwa defensive- kazi imewashinda nyie.
 
Na hujuma hizo watakuwa haohao wa juu huko..ishu kama hizi hazituhusu sis maskini
 
Kufuatia changamoto za hapa na pale zinazoipata TREN ya SGR boss wa TRC Masanja Kadogosa amesema Kuna njama zinafanywa Kuhujumu mradi huo

Njama hizi hazijaanza Leo ni za muda mrefu na tayari wameshawabaini miongoni mwa wanaowahujumu na watawashughulikia ipasavyo

Source Mwananchi

Mlale unono 😃
Wenye mabasi ya abiria na magari ya mizigo watakuwa hawaupendi kwa kuwa hawatawapiga tena Watanzania kwa gharama za usafirishaji. Shida iliyopo ni kuwa viongozi nao wanamiliki vyombo hivyo vya usafiri sasa sijui nani atamfunga paka kengele.
 
Kufuatia changamoto za hapa na pale zinazoipata TREN ya SGR boss wa TRC Masanja Kadogosa amesema Kuna njama zinafanywa Kuhujumu mradi huo

Njama hizi hazijaanza Leo ni za muda mrefu na tayari wameshawabaini miongoni mwa wanaowahujumu na watawashughulikia ipasavyo

Source Mwananchi

Mlale unono 😃
kama taifa, tuungane dhidi ya hao wanaoleta njama, kwa hakika wanataka kuturudisha nyuma, tusikubali. tuwafichue popote walipo, hata kama ni boss wako ingia anonymous mfichue ili tuwashinde.
 
Kufuatia changamoto za hapa na pale zinazoipata TREN ya SGR boss wa TRC Masanja Kadogosa amesema Kuna njama zinafanywa Kuhujumu mradi huo

Njama hizi hazijaanza Leo ni za muda mrefu na tayari wameshawabaini miongoni mwa wanaowahujumu na watawashughulikia ipasavyo

Source Mwananchi

Mlale unono 😃
Huyu haeleweki. Basi yeye ndiye anayelihujumu shirika.
Watu wengi walisema hayo yeye akayapinga kabisa.
Alisema kwa sababu ni mradi mpya na unaendeshwa na vijana wa kitanzania bado hawajawa wazoefu sana.

Pili alidiriki kusema wote wanaoongea kuwa ni hujuma ndio mwisho wa upeo wao.

Sasa anaongea vitu gani? Yeye ndio tatizo namba moja.
 
Unakuta mhujumu ni MTU mkubwa ndani ya chama tawala na mchangiaji mkuu wa Hali na Mali wa shughuli za chama, na ana ukwasi unaowazidi akina Kadogosa 19!

Nje ya mada, jina halisi la Abood ni Nani?
Azizi Abood
 
Shida yaweza isiwe Kadogosa, shida ni serikali na CCM nzima. Ina maana hii nchi kila mkurugenzi wa shirika huwa ni kichaa?

Si ni hawahawa wana akili nzuri tu kwenye familia, kanisani/msikitini/kilingeni, mtaani, shuleni walikuwa sawa, vyuoni walikuwa vizuri sana, wengine walichaguliwa kusoma nje, wengine walikuwa na careers nzuri mashirika ya kimataifa?

Sasa inakuwaje ghafla wakiwa wakurugenzi wa TANESCO, TRC, TTCL, Posta, Bandari wanakuwa wehu/mbumbumbu/wendawazimu/vilaza. Na wakibadilishwa wanakuja wengine nao ni wehu na waliotoka nao wehu.

Kwa mfano kama wanaohujumu reli ni 'mjumbe' mwenye asili ya Kiasia pale Morogoro na ana cheo bungeni na ana urafiki na awamu ya nne. Mhujumu mwingine labda ni baba 'Esther' na anakaa baraza kuu. Mwingine ni haohao wezi na wapo connected na serikali kuu na marafiki zao. Huyo Kadogosa mwenyewe kawekwa na wao ni nani awazidi nguvu. Siasa zinaingilia maslahi ya kitaifa.
Kutatua matatizo ya hii nchi ni kama kukata tawi ulilokalia mtini🤣! Chanzo kiko kwenye shina la mti ambao ndio umekupa tawi ukalie ila cha ajabu watu wanauogopa sana mti😁!

Wakiwaza kudili na tawi pia wanajikuta wako kwenye sintofahamu maana mtu akilikata atajikuta wapo mavumbini😂. Mti utaendelea kuwepo utazalisha tawi jingine. Anaona bora apige mikwara tu ujumbe ufike ila haisaidii
 
Leo ni wiki sasa hatuwezi kukata Tickets online bado wanasema kuna External Hujuma?
Hawa TRC waache mchezo na Kodi zetu wananchi hio ni Mega Projects, Kadogoso acheze kwanza na watu wake wa ndani mfano hao wa IT ambao ndio wanahusika na Issue za Tickets mambo ya Hujuma kwenye Miundombinu Ni national security issue najua wahusika wako aware
 
Kiongozi anaongea maneno ya kwenye khanga.
Kiongozi unaongeaje upuuzi?
Ushahidi upo peleka police
Ushahidi haupo but unajua hujuma police wapo , tiss wapo pccb wapo omba msaada huko. Media zitakusaidia nini?
Au umeona hutoshi kwenye hiyo nafasi unatafuta kiki!
Haya ndio yale, mpaka Rais analaumu huku yeye ni amiri mkuu
 
Kiongozi anaongea maneno ya kwenye khanga.
Kiongozi unaongeaje upuuzi?
Ushahidi upo peleka police
Ushahidi haupo but unajua hujuma police wapo , tiss wapo pccb wapo omba msaada huko. Media zitakusaidia nini?
Au umeona hutoshi kwenye hiyo nafasi unatafuta kiki!
Haya ndio yale, mpaka Rais analaumu huku yeye ni amiri mkuu
 
Back
Top Bottom