jojipoji koromije
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 1,024
- 1,466
Hawa jamaa kwa kweli wanatia hasira sana. Wanapaswa kubinywa ili wataje chain nzima na wanyongwe hadharani iki iwe fundisho!! Huwezi kuhujumu mradi mkubwa kama huu ambao unategemewa na mamilioni ya Watanzania.