Kadri mnavyopagawa na makalio na sisi ile miili ya mazoezi inatupeleka kona hiyo hiyo

Kadri mnavyopagawa na makalio na sisi ile miili ya mazoezi inatupeleka kona hiyo hiyo

masai dada

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
16,207
Reaction score
14,343
Nataka kuanza mazoezi nimekua kama mdudu wapendwa,kuna ka gym karibu na goli langu hapa ila sasa huwa nawashahudia ile miili jamani...mmh..nyie

Inahitaji kujitambua sana kuiacha kama ilivyo.

By the way nahitaji mwanamke anaepiga mazoezi tupeane changamoto na fursa katika hili swala la kupungua
Nakuomba dm
Nikisema tu mwanaume mtahisi nahitaji hiyo miili

(Hamkawii kufukua makaburi) maana mwaka sasa nahitaji kuanza mazoezi full...ila kila nikiwaza kesho nianze naona siwez acha kitanda.

Kwa kweli afya yangu inaelekea kubaya.
 
Mwanamke unaanzaje kwenda Gym kusquat au kubench press, wanawake wanafanya ishu za kike sio kulift weight.
 
Fanya mazoezi uzeeke kama jk ,mashine Bado inapeleka moto hatari huku yupo round 78
 
Mwanamke unaanzaje kwenda Gym kusquat au kubench press, wanawake wanafanya ishu za kike sio kulift weight.
Yaaani sina idea....nataka mazoezi mwenyewe ungeniona before and after..ungesema kimbia kilometa za kutosha na gym nenda kabisaa
 
Kama unaweza anza mazoezi ya kutembea Daily Home-Job-Home.. Utaona matokeo
 
Ndo muhim

Hahahahahahaha naomba picha ya firifiri...mbona nimecheka kama namjua
images (12).jpeg
 
Mwanamke unaanzaje kwenda Gym kusquat au kubench press, wanawake wanafanya ishu za kike sio kulift weight.
Kwa mwanamke aliye serious hayo yanawezekana

Akiperform in proper form kwa mda wa kutosha na uzito ulio sahihi kwa mwanamke iko sawa

Sio mwanamke anasquat 50kg
 
Uko na gym karibu na unashindwa kufanya mazoezi kisa usingizi aisee ww ni mvivu pro max.

Na ukiwa na mwili kama filifili usitegemee kutupata sisi labda uwe na pesa utapata wale wa kamseleleko ganda la ndizi.

Wengine mwili unapungua kwa kazi ngumu tu, hayo masix pack yanakuja automatically tu bila kuyatafuta.
 
Back
Top Bottom