SlimFit
JF-Expert Member
- Mar 29, 2016
- 2,041
- 3,119
Sio jongoo ni funyefunyeJongoo..=filifli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio jongoo ni funyefunyeJongoo..=filifli
Aiseee kwa mchakamchaka wa maisha...kila siku lunch inakukuta barabaran unakula hovyohovyo tu...plus chai na michapati....ni hatari buda
WhereverUmeimagne lemutuz au[emoji26][emoji26][emoji26]
Amakupelekea ga sana nini?Fanya mazoezi uzeeke kama jk ,mashine Bado inapeleka moto hatari huku yupo round 78
Hata wewe umekuwa bonge? Kweli hakunaga binadamu ambaye hawezi nenepaNataka kuanza mazoezi nimekua kama mdudu wapendwa,kuna ka gym karibu na goli langu hapa ila sasa huwa nawashahudia ile miili jamani...mmh..nyie
Inahitaji kujitambua sana kuiacha kama ilivyo.
By the way nahitaji mwanamke anaepiga mazoezi tupeane changamoto na fursa katika hili swala la kupungua
Nakuomba dm
Nikisema tu mwanaume mtahisi nahitaji hiyo miili
(Hamkawii kufukua makaburi) maana mwaka sasa nahitaji kuanza mazoezi full...ila kila nikiwaza kesho nianze naona siwez acha kitanda.
Kwa kweli afya yangu inaelekea kubaya.
Kwan www ustuki joannah?Yaani unastuka Ukiona kifua Cha mazoezi? Aisee
George Unataka kunigombanisha na marafiki zangu wenye vifua.Kwan www ustuki joannah?
Umepunguza kilo nyingi sana....aisee hongera sana.Fanya home kwako....tumia kamba kuruka kidogo tu asubuhi na jion. ..penda kutembea sometimes.... Maji moto or vuguvugu ya kunywa ...punguza ulaji pia.Ndo napambania mwenzio nilikuwa na kilo 80 now nipo 68 and still napambana
Asante mkuuUmepunguza kilo nyingi sana....aisee hongera sana.
Unatokea mkoa gani
Thanks dmasai dada pitia huu uzi you will learn a thing or two:
Fitness and wellness
Salam, Kama title inavyojieleza huu uzi utakuwa wa kuelimishana na kushauriana juu ya fitness and healthy living. I'll put my two cents in naamini wadau wataendeleza ili watu wenye goals tofauti tofauti waweze kupata kitu. Goal kuu la watu walio wengi ni kupunguza uzito (weight loss) lakini...www.jamiiforums.com
Wee mwanamke mwenye tako akiwa anasquat utapenda...Mwanamke unaanzaje kwenda Gym kusquat au kubench press, wanawake wanafanya ishu za kike sio kulift weight.
Na imechukua muda ganiFanya home kwako....tumia kamba kuruka kidogo tu asubuhi na jion. ..penda kutembea sometimes....
Maji moto or vuguvugu ya kunywa ...punguza ulaji pia.Ndo napambania mwenzio nilikuwa na kilo 80 now nipo 68 and still napambana