Kadri mnavyopagawa na makalio na sisi ile miili ya mazoezi inatupeleka kona hiyo hiyo

Kadri mnavyopagawa na makalio na sisi ile miili ya mazoezi inatupeleka kona hiyo hiyo

Aiseee kwa mchakamchaka wa maisha...kila siku lunch inakukuta barabaran unakula hovyohovyo tu...plus chai na michapati....ni hatari buda

Jitahidi tu rafiki...

Otherwise fanya mazoezi mepesi, baada ya muda inaweza ikawa mrefu matokeo utayapata tu...
 
Fanya home kwako....tumia kamba kuruka kidogo tu asubuhi na jion. ..penda kutembea sometimes....

Maji moto or vuguvugu ya kunywa ...punguza ulaji pia.Ndo napambania mwenzio nilikuwa na kilo 80 now nipo 68 and still napambana
 
Nataka kuanza mazoezi nimekua kama mdudu wapendwa,kuna ka gym karibu na goli langu hapa ila sasa huwa nawashahudia ile miili jamani...mmh..nyie

Inahitaji kujitambua sana kuiacha kama ilivyo.

By the way nahitaji mwanamke anaepiga mazoezi tupeane changamoto na fursa katika hili swala la kupungua
Nakuomba dm
Nikisema tu mwanaume mtahisi nahitaji hiyo miili

(Hamkawii kufukua makaburi) maana mwaka sasa nahitaji kuanza mazoezi full...ila kila nikiwaza kesho nianze naona siwez acha kitanda.

Kwa kweli afya yangu inaelekea kubaya.
Hata wewe umekuwa bonge? Kweli hakunaga binadamu ambaye hawezi nenepa
 
Yaani unastuka Ukiona kifua Cha mazoezi? Aisee
 
Fanya home kwako....tumia kamba kuruka kidogo tu asubuhi na jion. ..penda kutembea sometimes.... Maji moto or vuguvugu ya kunywa ...punguza ulaji pia.Ndo napambania mwenzio nilikuwa na kilo 80 now nipo 68 and still napambana
Umepunguza kilo nyingi sana....aisee hongera sana.
 
masai dada pitia huu uzi you will learn a thing or two:

 
Unatokea mkoa gani

masai dada pitia huu uzi you will learn a thing or two:

Thanks d
 
Ulitumia njia gani mremboo?
Fanya home kwako....tumia kamba kuruka kidogo tu asubuhi na jion. ..penda kutembea sometimes....

Maji moto or vuguvugu ya kunywa ...punguza ulaji pia.Ndo napambania mwenzio nilikuwa na kilo 80 now nipo 68 and still napambana
Na imechukua muda gani
 
Back
Top Bottom