Tila-lila2
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 652
- 1,058
Acha kabisa!
Watu wanajipanga na hoja maridhawa. Inaonesha kabisa CCM wataula wa chuya kwa kuzuia ile mikutano. Unajua ni kwa nini nasema hivyo?
Ni kwamba watu washaona kuwa kwa muda mrefu wao ni wanyonge hawana nguvu tena wasemee wapi na wasikie kutoka wapi na kwa nani.
Wakati wa Kampeni ule usemi wa Mwanaharakati Voiltaire utaonekana wazi kuwa : "I disapprove of what you say, but I will defend to the death your right to say it". Kampeni zinaenda kuwa wagombea na wnanchi kuongea ambayo walinyimwa kuyaongea kwa takribani miaka minne au mitano sasa. Wanakuja kusikia wakati huu.
Wale vijana waliokuwa na miaka 16 Mwaka 2015 wamekuta hamna uhuru wa kuongea, sasa wanakuja kuuona uhuru huo na pia wameandikishwa kama wapiga kura. Wataona kumbe ukosoaji unaruhusiwa wakati huu. Watabadilishwa na Kampeni. Hawa wamebalehe wakikuta hamna uhuru wa kuongea - sio kosa lao ni kosa la awamu hii.
Ni bora kusemwa semwa siku zote kwani anayekusema unaweza kumgeuza akaonekana ni mwehu kuliko kuja kusemwa siku moja wakati ulishazoea kutokusemwa. Mtachanganyikiwa na kuanza kurusha ngumi.
CCM zikianza Kampeni wajiandae kurusha ngumi. Wakirusha ngumi nchi yetu itazizima na itakuwa kama USA ilivyotokea hivi majuzi. George Floyd kishatuonesha mfano!
Tunasubiri Kampeni zianza kwa hamu sana. Mwaka huu CCM kama sio chali basi mtabanwa kila kona kisawasawa! Na wabunge manaweza msifikishe hata nusu. Muda ni jibu! Tusubiri tuone!
Watu wanajipanga na hoja maridhawa. Inaonesha kabisa CCM wataula wa chuya kwa kuzuia ile mikutano. Unajua ni kwa nini nasema hivyo?
Ni kwamba watu washaona kuwa kwa muda mrefu wao ni wanyonge hawana nguvu tena wasemee wapi na wasikie kutoka wapi na kwa nani.
Wakati wa Kampeni ule usemi wa Mwanaharakati Voiltaire utaonekana wazi kuwa : "I disapprove of what you say, but I will defend to the death your right to say it". Kampeni zinaenda kuwa wagombea na wnanchi kuongea ambayo walinyimwa kuyaongea kwa takribani miaka minne au mitano sasa. Wanakuja kusikia wakati huu.
Wale vijana waliokuwa na miaka 16 Mwaka 2015 wamekuta hamna uhuru wa kuongea, sasa wanakuja kuuona uhuru huo na pia wameandikishwa kama wapiga kura. Wataona kumbe ukosoaji unaruhusiwa wakati huu. Watabadilishwa na Kampeni. Hawa wamebalehe wakikuta hamna uhuru wa kuongea - sio kosa lao ni kosa la awamu hii.
Ni bora kusemwa semwa siku zote kwani anayekusema unaweza kumgeuza akaonekana ni mwehu kuliko kuja kusemwa siku moja wakati ulishazoea kutokusemwa. Mtachanganyikiwa na kuanza kurusha ngumi.
CCM zikianza Kampeni wajiandae kurusha ngumi. Wakirusha ngumi nchi yetu itazizima na itakuwa kama USA ilivyotokea hivi majuzi. George Floyd kishatuonesha mfano!
Tunasubiri Kampeni zianza kwa hamu sana. Mwaka huu CCM kama sio chali basi mtabanwa kila kona kisawasawa! Na wabunge manaweza msifikishe hata nusu. Muda ni jibu! Tusubiri tuone!