Uchaguzi 2020 Kadri siku za Kampeni zinavyojongea kufika kiroho changu kinaongezeka kudunda ile mbaya!

Huo ndo ukweli hata mimi naamini hivyo upinzani hauwezi ingia Ikulu hata sekunde moja hat Watanzania wote wawape kura ya ndiyo. Bila njia mbadala CCM haiwezi toka madarakani kwa box la kura.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…