Njoo inbox mama tuyajenge,natafuta mkeNyie ndio mnatuchakaza alafu mnaenda kuoa kwingine,alafu mtoa mada uliposema milango wazi Kila mahali ulimaanisha Nini me nimeingia mjini Jana jioni
Kuona mwanaume aie bikra ni uchizi kama ulivyo weweNawaambia vijana. Unavyozidi kuchelewa kuoa ndo huyo atakayekuwa mkeo anazidi kuchakazwa. Watu watamtumia weeeeeeeh... Ukija sema. Sasa naoa.
Amekwisha. Wamemgeuza geuza... Milango yote ipo wazi wadau ndo wanakuachia umalizie ngwe. Jioleee mapema utulie na mkeo angalau kupunguza wachakazi kuwa wengi.
Kauli mbiu ni moja ukiipaata ichakaze mbususu maaana hujui utaangukia wapMmh ila siyo wote ambao hawajaolewa basi ni wahuni, kuna wanaojiheshimu bana , ila pia mnachakaza wenyewe mbususu za watoto wa watu then mnakuja kupondea as if siyo nyie.
Usichakaze mbususu ya mdada usiye na malengo naye, ukifanya hivo dunia itakua salama, je mtaweza hilo?
Umekariri, siyo kila mwanamke ni wa hivyo.
Ingekuwa watu Wana akili kama zako wanawake wenye watoto wasingeolewa.
Umalaya ni hulka ya mtu, kuna wake za watu wanapigwa mjengo hovyo kuliko singles, kuna wanawake wengi tu wanajitunza na wanathamini miili yao.
Huyo aliyefeli hafahi kuolewa! Hata ukimwangalia kila idara atakuwa kapwaya! Kama unataka kuoa vizia waliofeli kidato cha nne! Hata huyo form four failure hafai! Tafuta hela oa wanaojitambua kuanzia form six na kuendeleanenda kijijini tafuta aliyefeli standard 7 au aliyefeli darasa la 4 na hakuendelea na shule tena.
Ndio unapotakiwa uwekeze nguvu zako hukoNguvu ya pesa kaka
Tu assume kama mzee angekuwa choka mbaya .
mzee hao wa form six nitapata bikra?Huyo aliyefeli hafahi kuolewa! Hata ukimwangalia kila idara atakuwa kapwaya! Kama unataka kuoa vizia waliofeli kidato cha nne! Hata huyo form four failure hafai! Tafuta hela oa wanaojitambua kuanzia form six na kuendelea
Kuchapiwa ni siri ya ndaniumewaza ukioa akachakaziwa ndani kwako imekaaje hiyo.....
Tatizo utaweza kutulia mpaka hapo utakapo kua tayari bila kuchakatana?.Mmh ila siyo wote ambao hawajaolewa basi ni wahuni, kuna wanaojiheshimu bana , ila pia mnachakaza wenyewe mbususu za watoto wa watu then mnakuja kupondea as if siyo nyie.
Usichakaze mbususu ya mdada usiye na malengo naye, ukifanya hivo dunia itakua salama, je mtaweza hilo?