Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
KADUGUDA: SIMBA INA SAJILI WACHEZAJI WA NDONDO
Mwanachama Mwandamizi wa Simba SC na aliyewahi kuwa Kaimu Mwenyekiti wa Simba Mhina Kaduguda ametoa maoni yake kuhusiana na namna Uongozi wa Simba SC ulivyopuyanga katika usajili ikiwemo kuwaacha Moses Phiri na Jean Baleke.
“Huwezi kumtoa Baleke, Phiri utuletee Jobe sijui Fred wanasimba wasiwe waoga kusema, hapa uongozi umeteleza hata kama wanataka kwenda nusu fainali au kuchukua ubingwa wa Afrika lakini ndio Center Foward Fred ? midfield Jobe? Sijui Babacar Sarr eeeh jamani?
“Hawa wachezaji hawa, ukienda Tandika, Mwananyamala watoto wa kihuni sisi ambao tumecheza mpira and katika level ndogo mashindano haya ya Ndondo wapo kama utitiri,” Mwina Kaduguda akizungumza katika kipindi cha Michezo na Wapo Radio.
NB: makolo haya mambo ya 10% mtaacha lini?
Mwanachama Mwandamizi wa Simba SC na aliyewahi kuwa Kaimu Mwenyekiti wa Simba Mhina Kaduguda ametoa maoni yake kuhusiana na namna Uongozi wa Simba SC ulivyopuyanga katika usajili ikiwemo kuwaacha Moses Phiri na Jean Baleke.
“Huwezi kumtoa Baleke, Phiri utuletee Jobe sijui Fred wanasimba wasiwe waoga kusema, hapa uongozi umeteleza hata kama wanataka kwenda nusu fainali au kuchukua ubingwa wa Afrika lakini ndio Center Foward Fred ? midfield Jobe? Sijui Babacar Sarr eeeh jamani?
“Hawa wachezaji hawa, ukienda Tandika, Mwananyamala watoto wa kihuni sisi ambao tumecheza mpira and katika level ndogo mashindano haya ya Ndondo wapo kama utitiri,” Mwina Kaduguda akizungumza katika kipindi cha Michezo na Wapo Radio.
NB: makolo haya mambo ya 10% mtaacha lini?