Alvajumaa
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 5,039
- 6,253
Bado hajalipwa mpaka leo mkuuHapo kwenye kuikopesha Simba chapati za wachezaji nimecheka Sana. Hivi hizo chapati alilipwa? Tuanzie hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado hajalipwa mpaka leo mkuuHapo kwenye kuikopesha Simba chapati za wachezaji nimecheka Sana. Hivi hizo chapati alilipwa? Tuanzie hapo
Kwa hatua Mo aliyofikia hawezi kurudi nyumaMwina Kaduguda maaarufu kama Simba wa Yuda ambaye amekuwa akijinasibu kuwa eti yeye ni Simba lia lia na yuko tayari kutolewa kafara endapo itatakiwa Simba awe bingwa wa afrika sasa amekalia kuti kavu kufuatia maneno yake ya hiv karibuni siku chache kabla ya mnyama hajacheza na Yanga nusu fainali ya ASFC kule Kirumba Mwanza.Kaduguda alionekana kwenye social media akidai kuwa anaiheshimu sana Yanga na hata kama ikitokea Wazee 10 tu wa yanga wakajiita wao ni yanga na wakataka kucheza soka basi shughuli ipo, Kaduguda aliipa nafasi yanga kuifunga Simba, hata alipoulizwa kama anakwenda kirumba alisema asingeweza kwenda kwa sababu yuko busy na biashara zake.
Baada ya Simba kubanduliwa na Yanga, akaibuka board member mkongwe kabisa ndani ya Simba, Kassim Dewji naye black and white, akaenda radio efm yenye popoma Maulid Kitenge akajiachia utadhani yuko na mkewe nyumbani, siri zote za bodi akaenda kumwambia kitenge pale efm, Kitenge anavyopendaga umbea basi akaona bonge la habari kwake.Leo tena imevuja clip Kassim Dewji akipewa makavu na mtu mmoja aliyejulikana kwa jina la Hussein kuwa anahujumu Simba.
Kwanza mimi nasema nakubali Kassim Dewji na Kaduguda ni wakongwe sana ndani ya Simba lakini walichokifanya kwa kweli ni usaliti mkubwa sana, Niliwahi kushauri hapa kuwa Mo Dewji aivunje bodi nzima, ondoa waswahili njaa wote hao akiwemo Asha Baraka, Simba haitakuwa na mafanikio yoyote kwa kuwa na watu hao, hao akina Kaduguga wanaodai wana mahaba sana na Simba hamna lolote, we uipende Simba halafu ikaribie kucheza na mtani unaanza kuvunja watu moyo halafu useme wewe una mapenzi na Simba.
Kaduguda, Asha Baraka, Kassim Dewji wakae pembeni, otherwise usaliti utaendea
Kwann ni vibaya mtu wamedia kuwa yanga lkn akiwa simba ni sahihi? Maestro ni mtu wa simba na alishakuwa kiongozi simba lakini sio tatizo ila kitenge sio kiongozi yanga anapigwa vita mbaya.Ila yule kitenge ndo maana manara alimwambia sio riziki yeye huwa anawatafuta wazee wa simba tu ila wa yanga hawagusi .