[emoji33] [emoji33] [emoji33] [emoji33] [emoji33] [emoji33]Ntakusemea Kwa Da mange
Hayo ndio mambo unayopenda eti eehHahaha hiyo ndoto nime ipenda
Tunahaja ya kuifanyia kazi hiyo
Hamnaaa si hivoHayo ndio mambo unayopenda eti eeh
Sawa kabisa
Huyo Ni hunter mwenzangu toka utotoniJirani ila hii taarifa hukunipa ningempoteza mapema kabla hajarudi hapa
Mmh!![emoji124] [emoji124] [emoji124]Huyo Ni hunter mwenzangu toka utotoni
Njoo kwanza huyo mwondoko umenikamata na kunimalizaMmh!![emoji124] [emoji124] [emoji124]
Namuogopa baby wako mie[emoji124] [emoji124]Njoo kwanza huyo mwondoko umenikamata na kunimaliza
Punguza woga we njooNamuogopa baby wako mie[emoji124] [emoji124]
......haswa haswa unapokuwa bado nyumbani,shule ya kuunga unga kwa dip/cert na usijue unachosomea kitakusaidiaje mbeleni!Lazima JF iondoe MsongoMsongo wa mawazo unapozidi humfanya mwanadamu kuishi na kuwaza kama njiwa pori aliekoswa na manati..rubbish
Basi sawaNi Hivi Hawa watu Kaeni Mbali nao nawamiliki mimi ndio meneja wao.
Huyu G hamumjuui na sitaki mumjue Maana Wanawake wa humu nawajua wengine kupendwa hamjawah pendwa nikiwapatia username yake mtanipindua japo Ana msimamo kama Osama (anaishi Us?), hababaiki hata Uwe na nini ashaona Wanawake duniani wote si hababaiki namuamini 100% (baby unajua Nakuamini usiniangushe).
Anaefata Iceman 3D huyu mwanaume ni smart sana Jf ni namba 2 kwangu pia sidhani kama kuna anamfikia Labda Daby hawa ni smart sana wanaheshimu sana Wanawake ukitegemea leo ni Siku ya Wanawake duniani (hutakuta anatukana mwanamke au yeyote yule Jf wote Hawa) nawapenda Kufa japo G wangu na S hawachangii nao wanatuheshimu sana.
Sasa ni hivi, ukimtaka ice man password ninayo bora nifate kwanza mimi sitaki kumchagulia nyungaembe Daby, S, Iceman japo Daby ananizidi ujanja Basi jueni hizi ni Roho za Dinazarde Mkiwagusa mmenigusa na mimi pia.
Nawapenda Hawa watu nipo tayari Kwa lolote nawajua wananipenda pia kwa mwanamke ni mmoja tu humu huwa nae Yupo busy sana
Hala hala mkiwataka S, Daby, Iceman Nitafutieni kwanza nawajua sio maharage ya mbeya Hawa watu nawajua vyema humu. G simtaji .. Yupo maskini kuliko yeyote humu hahitaji kujulikana Kwa yeyote zaidi ya mimi PM zake Nimesoma nacheka tu mimi.
Kwa wanaonitaja bila Hawa ujue wanataka dudu na hawatopata, mimi ni muhimu sana humu jueni hivyo tu.
Mmenielewa nadhani niacheni roho zangu jamani
Nadhani wadada wamekusikia na wamekuelewa. ILA acha uchoyo na ujiamini. Kwa mkifaidi wote utapungukiwa nini maana sio Sabuni kwamba itaisha....Ni Hivi Hawa watu Kaeni Mbali nao nawamiliki mimi ndio meneja wao.
Huyu G hamumjuui na sitaki mumjue Maana Wanawake wa humu nawajua wengine kupendwa hamjawah pendwa nikiwapatia username yake mtanipindua japo Ana msimamo kama Osama (anaishi Us?), hababaiki hata Uwe na nini ashaona Wanawake duniani wote si hababaiki namuamini 100% (baby unajua Nakuamini usiniangushe).
Anaefata Iceman 3D huyu mwanaume ni smart sana Jf ni namba 2 kwangu pia sidhani kama kuna anamfikia Labda Daby hawa ni smart sana wanaheshimu sana Wanawake ukitegemea leo ni Siku ya Wanawake duniani (hutakuta anatukana mwanamke au yeyote yule Jf wote Hawa) nawapenda Kufa japo G wangu na S hawachangii nao wanatuheshimu sana.
Sasa ni hivi, ukimtaka ice man password ninayo bora nifate kwanza mimi sitaki kumchagulia nyungaembe Daby, S, Iceman japo Daby ananizidi ujanja Basi jueni hizi ni Roho za Dinazarde Mkiwagusa mmenigusa na mimi pia.
Nawapenda Hawa watu nipo tayari Kwa lolote nawajua wananipenda pia kwa mwanamke ni mmoja tu humu huwa nae Yupo busy sana
Hala hala mkiwataka S, Daby, Iceman Nitafutieni kwanza nawajua sio maharage ya mbeya Hawa watu nawajua vyema humu. G simtaji .. Yupo maskini kuliko yeyote humu hahitaji kujulikana Kwa yeyote zaidi ya mimi PM zake Nimesoma nacheka tu mimi.
Kwa wanaonitaja bila Hawa ujue wanataka dudu na hawatopata, mimi ni muhimu sana humu jueni hivyo tu.
Mmenielewa nadhani niacheni roho zangu jamani