Jana si uliliona salio lileSishawishiki kwa lolote, mtu mwenyewe alinitumia muamala hewa jana, naye nina kesi yake hapa ngoja muda ufike
@Samaritan nitakuwa wakili wakeSishawishiki kwa lolote, mtu mwenyewe alinitumia muamala hewa jana, naye nina kesi yake hapa ngoja muda ufike
SureHili ni lamuhimu ili tumsaidie wakimpenda wote tutamkosa mapema
Kichwa KichafuMbona wewe hugombaniwi??
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tunaunda tume
Embu kwanza, masikio yangu yamesikia vizuri au ? [emoji101][emoji101]Aliyekuteka nani? unaniachaje hivo
Mbona nipo?
We ndo u apotea,sijui yule baby wako ndo anakufungia siku hizi.
Aje lakini?
Hivi bado una bifu na mimi eePutin we kaka angu bana usione wivu
Najiuliza sana hii nyota ya aina gani naomba jirani yako asione kabisa huu uzi sitapenda kilio chakeMtu karushwa hewani [emoji23]
HAPANA kubwa ulikuwepo wapi dogo umeanza lini kunidanganya.Mbona nipo?
We ndo u apotea,sijui yule baby wako ndo anakufungia siku hizi.
Aje lakini?
Kafiwa nani?jah!kumbuka leo una msiba dina
Itakua mna zunguukana ujue ha ha haaaKila mtu yuko bize na wake hatupendi kujitangaza tu na kupigia watu makelele misumari ipo mingi humu kuliko mapango ke gani wa kudandia makombo yako
Cheupe leo nimekunywa lubisi nisamehe bure
Kafiwa nani?
[emoji23][emoji23][emoji23]Embu kwanza, masikio yangu yamesikia vizuri au ? [emoji101][emoji101]
Kweli leo nina kuni za kutosha kuchochea moto
Mapenzi yamefunika msibaakafiwa dina na nyanya ake
Cha peke yako ni hilo ulonalo katikati ya mapaja kwani huko uliko hamna kuzungukana???Itakua mna zunguukana ujue ha ha haaa
Nipo bhana ni vile hatujaonana tu maana siku hizi nimekuwa kifaranga si popo tena.HAPANA kubwa ulikuwepo wapi dogo umeanza lini kunidanganya.
Poa, nilikuhamu si kidogo si kitoto
Nishakusanya info. za kutosha ngoja niwapishe sasa muongee yenu[emoji23][emoji23][emoji23]
Naona unakisanya info tu hapa...
Hebu subiri niongee na kipenzi changu sijamuona siku nyingi sana
Mapenzi yamefunika msibaa
Utasahau mambo muhimu sasaEmbu kwanza, masikio yangu yamesikia vizuri au ? [emoji101][emoji101]
Kweli leo nina kuni za kutosha kuchochea moto