Kaeni Mkao wa kula wiki ijayo naingia trending. Tanzania nzima inaenda kunijua

Hii serikali ina jukumu zito sana la kuongeza watahalamu wa saikolojia na magonjwa ya akili.

Si ajabu watu kama mtoa thread huanza hiv hiv huku watu mnambeza, na baadae majuto hutokea baada ya ninyi kushindwa kutoa msaada ama yeye mwenyewe kukosa msaada.

Uvumilivu kizazi hiki ni jambo ambalo halipo kabisa, mtu akichitiwa, akisalitiwa, akitingwa na maisha, akionewa ama kudhurumiwa anaona alternative ya kusolve matatzo ni kufanya maamuzi yasiyo sahihi, either kujitoa uhai, ama kumtoa uhai msababishaji, ama kumsababishia fedhea/kumuumiza jambo ambalo halistahili.

Ifike hatua kila mtu awe na kawaida ya kuhudhuria mahospitalin kila baada ya miezi kadhaa kucheki afya yake mwili mzima, bila kusahau suala la akili na mpangilio mzima wa control ya maamuzi yako.

Hali ni mbaya jamn, tukiendelea kuchukulia simple hili jambo, itafika wakati tutalaumiana lkn itakuwa too late.

[emoji117]Naandika haya namimi nikiwa na depression ya kuzinguliwa na mpuuz fulani[emoji23][emoji23], itabidi nikacheki afya pia
 
Fanya kitu mkuu. Ubaya ubayani[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…