Kafanya kosa kuoa house girl?

Kwan mwanaume ni yy peke yake tu humu dunian?
Babu acha hizo,watu hawafanani kbs!!

Kweli kabisa, kwa maumbo hawafanani...Ila kwenye mambo ya MMU, diversity kati ya wanaume ni karibu na zero!!

Watch out ndugu!!
 
Please Lizzy,

Siyo kweli kwamba sie hatupendi haki....Tunachofanya ni kuwaeleza yale tuliyokutana nayo kwenye hii safari ndefu ya maisha.

Ni makosa kufanya hivyo??

Ofcourse sio makosa babu DC na naomba nishukuru kwa hilo la wewe kutuhabarisha.Ila kuhalalisha "infidelity inayofanywa kwa heshima" sijui heshima gani hapo , haitokaa iniingie akilini.
 
Kweli kabisa, kwa maumbo hawafani...Ila kwenye mambo ya MMU, diversity kati ya wanaume ni karibu na zero!!

Watch out ndugu!!
Babu I beg to differ,
Makundi yoyote yale ya watu lazima yawe na utofauti ndani yao.Pamoja na kwamba zipo tabia zinazoweza kubeba kundi zima kwa mazoea bado wapo watu ambao hua ni tofauti kabisa. Nimeona mwenyewe.
 
Kweli kabisa, kwa maumbo hawafani...Ila kwenye mambo ya MMU, diversity kati ya wanaume ni karibu na zero!!

Watch out ndugu!!
Km ipo ipo tu Mzee wangu,
Nakila mtu ameumbiwa wake,haijalishi atakuja lini so km mapenz kwa jamaaa hakuna basi na amuache binti wa watu,aliye wake akitokea atampenda akiwa wala hajui km anajua kulea watoto au kufanya kazi vizuri!!!ndio maana huwa inatokea watu wanaulizaga "hivi jamaa pale kapenda nn/au huyu binti pale kapenda nn,majibu wanakuwa nayo wao wapendanao!!!
Sio rahisi kila mwanaume kumpenda mwanamke kwa vigezo alivyopendea mwanaume mwingine!!
 
HP Ndoa ni maelewano ndugu! kama wao waelewena .. na mwenyewe ana uhakika anaweza kuwatunza wanaye hakuna tatizo hapo.. akae kitako tu na ndugu zake awape shule
 
Babu I beg to differ,
Makundi yoyote yale ya watu lazima yawe na utofauti ndani yao.Pamoja na kwamba zipo tabia zinazoweza kubeba kundi zima kwa mazoea bado wapo watu ambao hua ni tofauti kabisa. Nimeona mwenyewe.

Soma hapo chini!!



Naona mnachanganya mambo nyie wadada,

Ndoa na mambo ya mapenzi ni vitu tofauti kabisa......Kama hamtaki kukubali basi tuishie hapo!!
 
Sometimes we got do what is right even if it feels wrong.
 
Mapenzi kuzoeana tu,wataanza mdogo mdogo baadae watakolea wenyewe, kama Big Brother vile
 
Soma hapo chini!!




Naona mnachanganya mambo nyie wadada,

Ndoa na mambo ya mapenzi ni vitu tofauti kabisa......Kama hamtaki kukubali basi tuishie hapo!!
Asante kwa kukubali yaishe coz,ni ngumu kunishawishi niamin kile unachoamini ww kuwa ndio sahihi!!
Ile hali kila mtu ana nafasi ya kufanya option kwa kile anachoamin yeye!
Na uwe na siku njema Mzee wangu DC.
 
Soma hapo chini!!

Naona mnachanganya mambo nyie wadada,

Ndoa na mambo ya mapenzi ni vitu tofauti kabisa......Kama hamtaki kukubali basi tuishie hapo!!
Kwahiyo unataka kuniambia kwamba wanaume wote hua mnaoa kwa sababu/nia zinazofanana na pia vigezo vyenu vinafanana?
 
mzee mwenzangu nisamehe bure,katika hili niko upande wa Lizzy,haki sawa kwa wote,hahahaaaaa!!!!!
Haki sawa!! Hawa wamama walienda Beijing kujiwekea malengo ya walau kuwa sawa kwa upande wa haki.Wewe ullienda wapi??
Wanaume tunazaliwa na haki na Kamwe hatutakuwa sawa. WANAUMEEEEE
 
Mapenzi kuzoeana tu,wataanza mdogo mdogo baadae watakolea wenyewe, kama Big Brother vile

Wanaume walio wengi siku zote wanaenda kwa mwendo huo.....!!

Kwahiyo unataka kuniambia kwamba wanaume wote hua mnaoa kwa sababu/nia zinazofanana na pia vigezo vyenu vinafanana?

Soma hapo juu Lizzy,

Vigezo vinatofautiana sana kulingana na kitu kinachomzingua mhusika...Ila basic principle au rule of the thumb ni kama alivyoiongelea ndugu yangu hapo juu!!

Ni wanaume wachache sana wanawekeza hata 50% mwanzoni mwa mahusiano au ndoa!!!

Ngoja nikapate lunch kwanza....karibuni mmsindikize Babu!!
 
Haki sawa!! Hawa wamama walienda Beijing kujiwekea malengo ya walau kuwa sawa kwa upande wa haki.Wewe ullienda wapi??
Wanaume tunazaliwa na haki na Kamwe hatutakuwa sawa. WANAUMEEEEE


Wewe sasa unataka kuzua vita....Babu hana nguvu tena za ku-stand fight....

Babu DC!!
 
Wana JF, swali la huyu kaka ni kuwa amuoe au asimuoe huyo house gel? na kwanini?
 
Haya bana, i'll settle for the lunch offer, au unakaribisha tu ila hulipi?
 
Wana JF, swali la huyu kaka ni kuwa amuoe au asimuoe huyo house gel? na kwanini?
Hiyo "kwanini" tumjibie sisi kwani sisi ndio tunaoa?
Kama mpaka sasa hivi hajui kwanini amuoe au asimuoe aachane kabisa na hilo wazo.Amwache dada wa watu kama alivyo.
 
Haya bana, i'll settle for the lunch offer, au unakaribisha tu ila hulipi?

Remember and keep this,

Anayekaribisha ni babu...Kwa hiyo hakuna ubishoo au ushalobaro!!...He will take of you all!!

Wewe ukuje tu....na wambie na wadogo zako pia!
 
Wana JF, swali la huyu kaka ni kuwa amuoe au asimuoe huyo house gel? na kwanini?

Mweleze akirudia kuuliza mwaswali ya kitoto kama hayo, Babu atamcharaza bakora!!

Yaani kama hamuoi huyo binti anataka amwachie nani???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…