Kafanya kosa kuoa house girl?

Kama nafsi yake inamkubali na anaona ndio sababu tosha kumuoa huyo mdada sio mbaya kwanza ni vizuri sababu watoto wamesha mzowea kama house girl watakua na wakati mgumu kwa mda kubadili kwamba sasa ni MAMA lakini watazowea,ndugu hausiki kwenye hili
akiwa kama mwanamme afanye mamuzi yalo sahihi na isijekua alikua anamrandia ndio mana ndugu wanakata asemekweli...
 
Beware of name calling.............haya majina tunayowapa wasaidizi zimegeuka kuwa label za kuwasakama hawa watu kiasi tunasau msingi wa kwnza wa ubinadamu..........kuwa WOTE TUKO SAWA TU!
 

Mwambie kama mahari haitoshi anitafute.Wandugu mapenzi yanapaswa kuwa na bima (sio nyumba ndogo) kama mnavyokata bima kwa ishu nyingine. Kifupi bima ni kurudisha back to normal situation.Kufa kupo hakuombwi,je umejiuliza mwenzio akitutoka leo nani atashika nafasi? Je si yule unayefahamu kuwa unamuelewa na anakuelewa, potelea mbali hata kama ni huyo hausigeli? Mwambie a-go ahead amuoe huyo binti na ndugu wote wanonko waufyate. Yuko safi kwa yeye, yuko safi kwa watoto, unataka nini tena na hasa kama hizi tabia anashuhudia mwenyewe na si kusimuliwa? TRUE LOVE ,does not count on background. Wewe na rafiki yako mmenikera sana tena sana!
 
Mke mwema ni nani awezaye kumjua? wasifu wa nje inasemekana ni mtaratibu,mstaarabu mpenda na mlezi mzuri wa watoto na hapo mwanzo hakuwahi kutia doa ndoa ya hiyo familia,wakapime waendelee na maisha .Ni heri huyo h/gal mwanamke mwingine atakuwa stranger total kwa watoto na si wote wenye mapenz toka moyoni na watoto wa mume,ila aombe Mungu huyo mdada akizaa wangine asibague wa mwanzo (hiyo ni kwa mwanamke yeyote simaanishi h/gal pekee mara nyingi tunakua na spirit ya selfish)
 
Remember and keep this,

Anayekaribisha ni babu...Kwa hiyo hakuna ubishoo au ushalobaro!!...He will take of you all!!

Wewe ukuje tu....na wambie na wadogo zako pia!
Kheeee...ubishoo kwenye kula babu?Hiyo bado mimi kujaribu.
 
Ni mtihani mgumu. Anahofu watoto kulelewa na mama wa kambo hivyo inampelekea kumuoa house girl kisa kawazoea watoto! Isiwe tatizo kama kweli anampenda HG its fine ila HG apewe nafasi ya kuchagua. Vinginevyo huyo jamaa atafute mwanamke mwingine na HG abakie hapo hapo maana watoto wamemzoea. Aweke wazi kwa huyo mwanamke kuhusu watoto na awe tayari kuishi nao kama wanawe.
 
Hivi Lizzy, DC na Bishanga nini tatizo?

Mie niingie timu ya nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…