Kafanyaje huyu?

Kafanyaje huyu?

Tanzania nchi ambayo kufa kwa mawazo ni kujitakia mwenyewe.

Siku za karibuni kumeibuka katuni zikiwaonesha watu watatu huku mmoja kati yao akiwa Kalala kwenye machela kukiwa na swali "KAFANYAJE HUYU?"

Hayo majibu ya hilo swali hebu tiririkeni hapo.View attachment 2149390
Si kampa juve Jana akijua atashinda
 
[emoji16]
Screenshot_20220309-215309_WhatsAppBusiness.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20220309-215309_WhatsAppBusiness.jpg
    Screenshot_20220309-215309_WhatsAppBusiness.jpg
    29.5 KB · Views: 51
Mtu aliemdharau katambulishwa Kama ni boss wake mpya.
 
Back
Top Bottom