Kafara la kukimbiza moto linavyoligharimu Taifa

Duh! Sikujua kuwa viongozi wanaokimbiza mwenge huishia kufa ndani ya miaka mitano! Bahati mbaya hata sijui nitapata wapi majina yao nijihakikishie.
baadhi ninaowajua bado wapo
 
Hatari yaani mtu anasifia Jahanam
 
Ile ilikuwa sala ya St. Francis of Asisi. Originally inatoka Tibet.
Lakini haimaanishi kwamba Mzee Forojo Ganze naye hawezi kuipata spontaneously.

 
Ukimbizaji mwenge ni upigaji wa pesa tu. Alaf mataifa ya watu weusi sijui nani kawalaani. Kukomaa na vitu vya ovyo ndio zao
 
Mazindiko noma sana maana yanakuwa kama kiapo na ahadi usipotekeleza yanakukuta ya kukukuta,mwaka 2020 kuna mtu alisitisha mbio za mwenge hakumaliza mwaka kasepa wenye zindiko lao wamekasirika.
 
Watu wamepumbazwa kwa pamoja,

Watu wamefanywa mazuzu kwa pamoja,

Watu wamegeuzwa mabwege kwa pamoja

Na watu hao wala hawasikii harufu ya dawa ya ajabu wanayopuliziwa

MaCCM hayaoni hatari kuzungusha kibatari kwa mabilioni ya kodi zenu

Kwanini msitunze makumbusho ya taifa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Loh, hiyo picha inanifikirisha.
 
Halafu ukutane na huyo kiongozi wao anawagombeza wazee wake hadharani, kama vile yeye ndo mkuu wa nchi😀. Wanasema unamulika huko na kule, nmesoma nikamaliza shule, sijaona faida chanya ya mwenge.
 
Halafu ukutane na huyo kiongozi wao anawagombeza wazee wake hadharani, kama vile yeye ndo mkuu wa nchi[emoji3]. Wanasema unamulika huko na kule, nmesoma nikamaliza shule, sijaona faida chanya ya mwenge.
nmesoma nikamaliza shule, sijaona faida chanya ya mwenge.[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kibatari kinalindwa kwa gharama. Watoto wetu kuna siku watakuja kufukua makaburi yetu na kwenda kuyapima mafuvu yetu kuona kama tulikua na akili za aina gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…