Kafara la kukimbiza moto linavyoligharimu Taifa

Je tafsiri ya kuulinda huu moto kwa kutumia askari wakakamu wenye silaha za moto ni nini? View attachment 1106605

Wewe una agenda zako binafsi..
Mwege upo na utaendelea kuwepo..hizo story zako za gomora/sodoma ni vistory vyamakaburu vyakusadikika..

Mwenge unafaida sawasawa kabisa na hasara zake. Hivyo jifunze kubalance takwimu zako na achana na mifano hewa
 
Yaani umeandika hivi tu na unataka wenye akili wakuamini? Kwa nini mnapenda kudharau akili za members humu ndani? Umekaa ukaandika hiyo figure halafu na sisi tukuunge mkono. Just like that?

Hiyu jamaa ana Upumbavu mwingi kichwani..
Mpuuze tuu..
 
WWE ni seat ya shetani. Kwa mfano ikitokea kuna mtu kasign up na wwe utasikia watangazaji wakisema, "he's just signed a deal with the devil himself"

John cena, randy orton, aj styles, bray wyatt etc wote ni occultists. Binafsi nimeacha pia kufuatilia wwe
 
Nimefuatilia sana WWE kuanzia Smackdown, RAW Mpaka zile pigano za Westelmenia...
Hii ni more than Devil's arena guys....
 
Mtoa hoja MOTO pia unatumika hadi leo kiroho.

Kumbuka Yohana Mbatizaji alibatiza kwa Maji huku akisema " Mimi nawabatiza kwa maji ila ajaye baada yangu yeye atawabatiza kwa MOTO."

Roho mtakatifu ni MOTO..
Alikuwa anamzungumzia Jiwe nini πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Je tafsiri ya kuulinda huu moto kwa kutumia askari wakakamu wenye silaha za moto ni nini? View attachment 1106605
Kwa mujibu wa maelezo yako ya awali,mimi nahisi/huenda ikawa
Mwenge unaangaza Taifa kupitia Mizimu ya Bagamoyo na ile ya Mlima Kilimanjaro..unapougusa pasipo ridhaa ya mila na desturi ya waliopewa dhamana ya kuukimbiza au kuupokea pia ukijaribu kuufata hadi usawa wa askari "you are shot on spot"
Tambiko lolote ukilivunja gharama yake ni nzito.
NB: Kama Mungu yupo pia Shetani yupo
 
Hivi watu mnaoamini uchawi na madude ya mazindiko mnaishije?
Na iq zenu sijui zikoje..yaani vitu havina logic wala havimake sense na bado mtu anakomaa kuamini..

Maajabu ni kwamba unakuta wanawashangaa wasioamini kama vile wao wana iq kubwa kwamba kina kitu wamegundua kumbe ni delusion tu (ugonjwa wa akili)
 
Sababu mbili tu unafukuzwa kazi Barua inafata baadae kwa watumishi wa Umma ni MWENGE na MITIHANI haoa hakuna mchakato wa nidhamu.

Ndo ujue Mwenge unavyosujudiwa[emoji35][emoji35]
Soma tena ulichoandika, hueleweki!
 
Hata malikia wa ana mwenge wake,ambao huwa unakimbizwa mataifa yote ya jumuiya ya madola.
Lengo la kuanzishwa kwa mwenge ni zuri,ni la kihistoria.Kuna mapungufu kidogo katika ukimbizwaji mwenge,matumizi ya pesa nyingi,ngono zembe,yakiboreshwa bado ni jambo zuri.
Sio lazima tuache kila kitu chetu,kwa vile tu wakubwa wetu wazungu hawafanyi.
Umeishawahi kujiuliza Familia ya kifalme ya UK inafaida gani kwa nchi yao.?wanatunzwa na kodi za wananchi,hata wasipofsnya kazi,watakula bule mpaka wave,lakini kitendo cha kusema tuondoe ufalme,utaonekana wewe ni muhaini kule UK.
Tutunze vyetu tuviboreshe,tusibeze kila kitu,tuhoji,na tuje na njia mbadala ya kufanya mambo,sisi ni weusi,abadani hatuwezi kuwa wazungu,hata tuongee English kama royal family members.
 
Mkuu tukumbushe mazindiko/makafara mengine ya kitaifa
 
Mwenge sijaona umuhimu wake zaidi ya ngono zembe, magonjwa ya ngono mimba zisizo tarajiwa.

Umepumbaza watanzania wengi.
UK kule kuna mfumo wa kifalme,hiyo familia,inakula bure,inalipwa mishahara bure,hawazalishi chochote,
Lakini huwezi kumsikia RAIA wa UK anapiga kelele kwamba huo ni unyonyaji.Vyetu sio vibaya kwasababu tu hakuna wazungu wanaofsnya kama sisi.Hata malikia wa UK anakifimbo chake,na huwa kinakimbizwa nchi zote zilizotawaliwa na Uingereza.
USA kuna utamaduni ambao raisi hufsnya kitendo cha kumuweka huru Turkey,"setting the turkey free"
Hufanyika kila mwaka.
Huyu turkey ni ndege jamii ya kuku,Mwaka Jana,Trump alionekana akisema"in the name of ....iam setting you free/.
Wewe unaweza kuona huu utamaduni ni wa kipuuzi,lakini kwa wa America ni symbol kubwa sana.
Usidharau na kubeza vya kwako kwa sababu tu mabwana wakubwa wazungu,hawavifanyi,au wamesema ni vya kishenzi.
Fanya tafakuri kubwa,njoo na njia mbadala ya kuweka mambo.
Vitu visivyo na tija ni kama kuwa na Mkuu wa mkoa,wakuu wa wilaya,mkurugenzi,katibu tawala wa mkoa,katibu tawala wa wilaya.Au kila wakati kuongeza idadi ya wilaya na mikoa.wakati ukubwa wa eneo la kijiografia upo pale pale.
Majimbo ya US yapo Yale Yale,sijawahi kusikia jimbo limegawanywa kutengeneza jimbo lingine,kwa sababu ya idadi ya watu
 
Ndo maana ukiwa huelewki tunasema wewe ni mtoto wa mwenge " yaani umetungwa kwenye mkesha wa mwenge".maana pale ni full zindiko
 
nyie mnao taka matambiko yafe....mmewaza kwa kutumia akili gani...? serikali haina dini lakini ina imani sana juu ya kutambika....iacheni kabisa serikali ifanye matambiko....πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mwenge wafipa huita Ichaka,kweli mwenge Sumbawanga enzi hizo ilikuwa ikitokea kuna jambo baya limetekea basi kila nyumba ilitoa majani toka kwenye paa la nyumba ulitengenezwa mwenge (ichaka)na wazee waliwasha moto yale majani na kuanza kuzunguka kijiji huku wakisema maneno sijui yapi.sitaki kusema mengi kwani haya ni ya huko.lakini mambo haya mmmmh.
 
Alafu wote walioleta ma kuanzisha haya matambiko juu ya nchi ni waislam. Nafikiri waislam wanakitu cha kujibu juu ya Matambiko.
 
Kumbe tupo wengi.... Kuna ufalme wanawakilisha
 
Thinking great way... Kila kitu kina pande mbili
 
Ndo maana ukiwa huelewki tunasema wewe ni mtoto wa mwenge " yaani umetungwa kwenye mkesha wa mwenge".maana pale ni full zindiko
[emoji44][emoji44][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…