Kafara la kukimbiza moto linavyoligharimu Taifa

Daah
 
Tukimbize tu mwenge...

Nadhan ni bora saana kuliko kukimbizana wenyewe.
 
Mwenge I mungu wa ccm aliyeanzishwa kuwafaya watanzania mabumbumbu ,wasiohoji ,wakukubali kila kitu ,kuwafanya kondoo hata wafanyiwe nini ni uchawi mkubwa sana .Mwenge ni mungu anaitwa nyamrunda na mwenzie yupo butiama kwa mwanzilishi anaitwa muhunda connect dot you will understand .
 
Lakin Shawn Michael wakat anaaga na huku akilia, alisema "Thank you ma fans, WWE, and thank you JESUS CHRIST"
 
Lakin Shawn Michael wakat anaaga na huku akilia, alisema "Thank you ma fans, WWE, and thank you JESUS CHRIST"
I think Shawn Michaels anajua anachokifanya, sidhani kama alimaanisha. Mungu pekee ndiye anayejua.
 
Kweli! Niliona kila kitu! Hakika nilishtuka kwa ghafla lakini ujasiri ukaniingia hebu nijaribu kufanya jaribio la kuuaibisha na wadanganyika wote wajue kilichofichwa nyuma ya pazia na waukatae kabisa ushetani huu!
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umesema.. , '' kwenye ulimwengu wa giza moto unatumika pia''
Ebu elezea kidogo hapo maana sijakuelewa kabisa.
 
Muwe wastaarabu kuelimishwa msivyovijua,Mwenge unaambatana na makafara makubwa sana siyo kuukimbiza tu ,kuna makafara mpaka ya binadamu hasa wanaopotezwa .
 
Muwe wastaarabu kuelimishwa msivyovijua,Mwenge unaambatana na makafara makubwa sana siyo kuukimbiza tu ,kuna makafara mpaka ya binadamu hasa wanaopotezwa .
Wengi wetu tunaishi kwa kukariri mambo mkuu.
Kuna mwanafalsafa mmoja anasema "Ni rahisi sana kumpatia ujinga binadamu lakini ni ngumu sana kumwambia kumuondoa ujinga"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…