Kafara la kukimbiza moto linavyoligharimu Taifa

 
Kama ukweli vile duh.jf kitovu cha maarifa.ila na wewe mshanar unachafua taifa lako kabisaa.ila umenifungua jicho juu ya huu mwenge.
 
Hivi unaweza kuthibitisha hizi PUMBA ZAKO HAPA UKIENDA POLISI !!!

KUNAVITU UNATAKIWA KUOJI KWA BUSALA SANA (namna vilivyosesitivu)
Mwenge Na Muungano
Unajua faida za Mwenge kweli Ww?? lkn kunavijana SIJUI MMECHOKA KUKAA MTAANI kila LA kheri
 
Hivi unaweza kuthibitisha hizi PUMBA ZAKO HAPA UKIENDA POLISI !!!

KUNAVITU UNATAKIWA KUOJI KWA BUSALA SANA (namna vilivyosesitivu)
Mwenge Na Muungano
Unajua faida za Mwenge kweli Ww?? lkn kunavijana SIJUI MMECHOKA KUKAA MTAANI kila LA kheri
.
 
Ndio maana huyu mzee kawaacha wanae hawana ramani,

#yaani wanaishi kama mapopo.. me nahisi ni matokeo ya hizi mambo.
 
Siri ya huu moto ukimbizwao inaisha... Hakuna kiongozi wake aliyewahi kumaliza miaka mitano akiwa hai baada ya kuukimbiza nchi nzima.
Japo ni kweli baadhi ya wakimbiza Mwenge hufa, ila sio ndani ya miaka mitano. Mfano mzuri ni Leonidas Gama alikiwa kiongozi wa mbio za Mwenge mwaka 1992, akaja kufariki more than 20 years later.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…