Kafara la kukimbiza moto linavyoligharimu Taifa

Nimesema wengi sijasema wote... Kama nimesema wote nimekosea na naomba radhi
Rugimbana yupo ila kwa Mapambano na makali sana, na hadi leo hanaga mtoto kwahiyo anaweza kuwa hai kimwili ila kuna mengi yalishakufa
 
Ndio maana hawa wanaovaa beret zenye mambo ya mwenge ni wajinga wajinga hasa polisi
 
Maana yake ni nini sasa?
 
Mkuu CCM ilisha kataliwa Siku nyingi Sana ila ina-itumia dola kujiweka madarakani....
 
Kwa hyo unataka kutuaminisha kuwa nyerere alijua kuwa atakufa mwaka 1999?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…