Imeisha hiyo mtani wangu mwambie manka akupe bapa nitalipiaTumeshaanza kutamka neno Sir 100...ni sawa na kuchomwa powersafe inachomwa taratibu
Rugimbana yupo ila kwa Mapambano na makali sana, na hadi leo hanaga mtoto kwahiyo anaweza kuwa hai kimwili ila kuna mengi yalishakufaNimesema wengi sijasema wote... Kama nimesema wote nimekosea na naomba radhi
Maana yake ni nini sasa?Kuna siku naangalia MIELEKA namsikia my best perfomer RANDY ORTON anasema "HOLLY HELLY" anarudiarudia na watu wanashangilia
Kwangu ndo ilikua mwisho wa kufatilia mieleka, hio haikua sababu pekee ila kuna mambo mengi entertainment industry inatuingiza bila sisi kujua.
Ni mtizamo wangu
Unaruhusiwa kutofautiana nami
Hujui kusoma mkuu?Maana yake ni nini sasa?
Tena wahanga wakubwa wakiwa ni walimu...Hakuna bajetj ya kukimbiza mwenge.
Huwa kuna wahisani...na michango ya kulazimishwa.
Nikosoe
Mkuu CCM ilisha kataliwa Siku nyingi Sana ila ina-itumia dola kujiweka madarakani....Kama taifa tuna hasara kubwa kuiweka CCM madarakani kwa miaka 50+
Wasalaam, Tanzania ni miongoni mwa nchi chache duniani zilizojaaliwa utajiri wa madini, gesi, mafuta, misitu na mazao ya baharini. Rasisilimali karibu zote zimebinafsishwa na serikali ya wanyonge ya ccm kwa wanyonyaji, inauma sana kuona mikataba takribani yote ya madini na gesi imefanywa kwa...www.jamiiforums.com
Just like that?Kwenye mwenge
Basi alijua , si aliambiwa auKwa hyo unataka kutuaminisha kuwa nyerere alijua kuwa atakufa mwaka 1999?