Kafaulu freshi form 4 anataka aende kusomea computer, Aende kusomea Taaluma ipi na chuo gani ?

Kafaulu freshi form 4 anataka aende kusomea computer, Aende kusomea Taaluma ipi na chuo gani ?

wastani kwa idadi

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2024
Posts
503
Reaction score
1,432
Nina wadogo zangu baadhi wameamua kwenda kuanza mapema kusomea Taaluma vyuoni.

Nikiwa kama mtu mzima ninayezijua changamoto za wahitimu wa sekondari kupata wakati mgumu kuchagua taaluma ya kusomea nimeona nifanye extra research wasikurupuke kusomea vitu watavyojutia baada ya kuhitimu.

Kuna mwanafunzi anapenda mambo ya computer, nilipomhoji anataka kusomea taaluma ipi akaniambia Cyber Security, baada ya kuifatilia nimeona hii kozi ina demand kubwa nchi za ulaya na Marekani lakini kibongo bongo bado sana, inaweza kumpa taabu baada ya kuhitimu.

Ushauri kautoa huko google kwenye forums za Ulaya na Marekani, hivyo haupo feasible na soko la bongo.

Kwa research ndogo niliyofanya nimeona hapa bongo kozi zinazotamba ni Computer engineering, Computer science, IT, na nyingine mnaweza kunishauri.

Pia naombeni ushauri kuhusu chuo, ila kwa research ya juu juu huwa naangalia vyuo vyenye influence kubwa ya Alumnis nchini, kwenye mambo ya computer nimeona kuna Udsm wana chuo kinaitwa UCC, naombeni mnishauri na vyuo vingine .
 
Nina wadogo zangu baadhi wameamua kwenda kuanza mapema kusomea Taaluma vyuoni.

Nikiwa kama mtu mzima ninayezijua changamoto za wahitimu wa sekondari kupata wakati mgumu kuchagua taaluma ya kusomea nimeona nifanye extra research wasikurupuke kusomea vitu watavyojutia baada ya kuhitimu.

Kuna mwanafunzi anapenda mambo ya computer, nilipomhoji anataka kusomea taaluma ipi akaniambia Cyber Security, baada ya kuifatilia nimeona hii kozi ina demand kubwa nchi za ulaya na Marekani lakini kibongo bongo bado sana, inaweza kumpa taabu baada ya kuhitimu.

Ushauri kautoa huko google kwenye forums za Ulaya na Marekani, hivyo haupo feasible na soko la bongo.

Kwa research ndogo niliyofanya nimeona hapa bongo kozi zinazotamba ni Computer engineering, Computer science, IT, na nyingine mnaweza kunishauri.

Pia naombeni ushauri kuhusu chuo, ila kwa research ya juu juu huwa naangalia vyuo vyenye influence kubwa ya Alumnis nchini, kwenye mambo ya computer nimeona kuna Udsm wana influence uwakilishi mkubwa sana, naombeni mnishauri na vyuo vingine .
Arusha (IAA)
DIT dar es salaam
 
Nina wadogo zangu baadhi wameamua kwenda kuanza mapema kusomea Taaluma vyuoni.

Nikiwa kama mtu mzima ninayezijua changamoto za wahitimu wa sekondari kupata wakati mgumu kuchagua taaluma ya kusomea nimeona nifanye extra research wasikurupuke kusomea vitu watavyojutia baada ya kuhitimu.

Kuna mwanafunzi anapenda mambo ya computer, nilipomhoji anataka kusomea taaluma ipi akaniambia Cyber Security, baada ya kuifatilia nimeona hii kozi ina demand kubwa nchi za ulaya na Marekani lakini kibongo bongo bado sana, inaweza kumpa taabu baada ya kuhitimu.

Ushauri kautoa huko google kwenye forums za Ulaya na Marekani, hivyo haupo feasible na soko la bongo.

Kwa research ndogo niliyofanya nimeona hapa bongo kozi zinazotamba ni Computer engineering, Computer science, IT, na nyingine mnaweza kunishauri.

Pia naombeni ushauri kuhusu chuo, ila kwa research ya juu juu huwa naangalia vyuo vyenye influence kubwa ya Alumnis nchini, kwenye mambo ya computer nimeona kuna Udsm wana influence uwakilishi mkubwa sana, naombeni mnishauri na vyuo vingine .
Mtoto aliyemaliza form four na fani ya kitaaluma wapi na wapi?
Anapaswa kwenda kwanza Advance level akili ikakomae, hataki hivyo, mpeleke VETA, mengine ni mbwembwe tu za kitoto.
 
Masomo hayo hayo yanawajenga zaidi kisha kwenda kwenye taaluma
HUO NI UONGO

Form 6 tumesoma topics kibao, tunaingia chuoni tunakutana na vitu vingi sana vigeni almost 70% mambo ni mapya.

Wale waliosoma diploma wanarudia vitu vingi wakiingia dgree, ni sawa na degree akienda kusoma masters anarudia vitu vingi.

Tatizo zamani form 4 wengi walioenda diploma walikuwa na uwezo mdogo darasani, anafika degree yeye anarudia somo lakini anapitwa na waliotoka form 6 au anaomba afundishwe na waliotoka form 6.

Hawa vijana wa sikuhizi wanaingia dip wako vizuri darasani, wakifika degree ni marudio tu wanabutua.
 
Mie mwenyewe nimepita njia hizo ukifika six chuo mseleleko sana kuliko kutoka form four kuja kusotea certificate kisha diploma halafu degree wachache sana wanaotoboa kwa style hio.

Unajua wanaosoma shule za ems wakienda secondary wanaona wamerusia masomo yale yale wakati wa kayumba wanaona mambo ni mageni kumbe ni yale yale waliyosoma kwa kiswahili yamerudiwa kwa kizungu tena kwa undani zaidi.

Hata saiv wanaokimbia advance uwezo mdogo wameona wamebahatisha form four imetosha wasijeyakanyaga advance
HUO NI UONGO

Form 6 tumesoma topics kibao, tunaingia chuoni tunasoma baadhi tu, tunakutana na vitu vingi vipya.

Wale waliosoma diploma wanafundishwa masomo mengi wanayoenda kuyarudia Degree, ni sawa na degree akienda kusoma masters anarudia vitu vingi.

Tatizo zamani wanaoenda diploma walikuwa na uwezo mdogo darasani, tunakutana nao degree wengine tunaanza kuwafundisha sisi tuliotoka form 6.
 
Hasa wa kike na dunia hii ya mabazazi yenye ulimbo wa kila aina ni kuzalisha bomu bila kujua. Advance inakomaza akili na kumkuza kijana. Ile anaenda chuo tayari akili za utoto zinakua zishamtoka hivyo anakuwa tayari kupambana na maisha ya uhuru uliopitiliza vyuoni
Mtoto aliyemaliza form four na fani ya kitaaluma wapi na wapi?
Anapaswa kwenda kwanza Advance level akili ikakomae, hataki hivyo, mpeleke VETA, mengine ni mbwembwe tu za kitoto.
 
Nina wadogo zangu baadhi wameamua kwenda kuanza mapema kusomea Taaluma vyuoni.

Nikiwa kama mtu mzima ninayezijua changamoto za wahitimu wa sekondari kupata wakati mgumu kuchagua taaluma ya kusomea nimeona nifanye extra research wasikurupuke kusomea vitu watavyojutia baada ya kuhitimu.

Kuna mwanafunzi anapenda mambo ya computer, nilipomhoji anataka kusomea taaluma ipi akaniambia Cyber Security, baada ya kuifatilia nimeona hii kozi ina demand kubwa nchi za ulaya na Marekani lakini kibongo bongo bado sana, inaweza kumpa taabu baada ya kuhitimu.

Ushauri kautoa huko google kwenye forums za Ulaya na Marekani, hivyo haupo feasible na soko la bongo.

Kwa research ndogo niliyofanya nimeona hapa bongo kozi zinazotamba ni Computer engineering, Computer science, IT, na nyingine mnaweza kunishauri.

Pia naombeni ushauri kuhusu chuo, ila kwa research ya juu juu huwa naangalia vyuo vyenye influence kubwa ya Alumnis nchini, kwenye mambo ya computer nimeona kuna Udsm wana influence uwakilishi mkubwa sana, naombeni mnishauri na vyuo vingine .
Jamani! Elimu ya kidato cha nne ni elimu ya msingi! Ndo maana ukimaliza kidato cha nne tu unakiwa huna sifa ya kwenda chuo kikuu mpaka uende chuo cha Diploma au uende kidato cha tano na sita! Narudia! Elimu ya kidato cha nne ni Advanced Primary School
 
Mtoto aliyemaliza form four na fani ya kitaaluma wapi na wapi?
Anapaswa kwenda kwanza Advance level akili ikakomae, hataki hivyo, mpeleke VETA, mengine ni mbwembwe tu za kitoto.
Ukimaliza form 4 inafaa uanze kusomea taaluma mapema, kuna advantages nyingi kuliko kusomea form 6 ikiwemo kuwa na uwanja mpana wa ajira unaweza kuomba ajira zote diploma na degree, kuwa na cv ndefu ya kusomea taaluma, kufanya trainings za kazi kwa vitendo zaidi, kuweza kubadili taaluma ukiingia degree, n.k.

Huna point kabisa unaposema advance inakomaza akili, kwa experience yangu nilivyosoma form 6.
  • Wanachapwa viboko kama watoto wadogo
  • wanachungwa kama form 1 kuanzia muda wa kuamka, kulala, kunyoa ndevu, n.k.
  • Ni watu wazima wasioruhusiwa kuwa na mahusiano
  • Hawaruhusiwi kumiliki simu
  • wanasubiria mtihani moja wa taifa kupima uwezo wao miaka miwili shuleni.
  • n.k.
 
Ukimaliza form 4 inafaa uanze kusomea taaluma mapema, kuna advantages nyingi kuliko kusomea form 6.

Huna point unaposema advance inakomaza akili
  • Wanachapwa viboko kama watoto wadogo
  • wanachungwa kama form 1 kuanzia muda wa kuamka, kulala, kyvaa, n.k.
  • Ni watu wazima wasioruhusiwa kuwa na mahusiano
  • n.k.
Nyamaza weee! Sasa kama Advance wako hivyo sembuze O level! Kidato cha nne ni elimu ya msingi ndo maana imetakiwa iwe ya lazima. Secondary ni kidato cha sita!
 
aende advance akasome PMC(phy, math, computer)

kisha zingatia ule ushauri wangu wa jana

soma hapa uelewe umuhimu wa ushauri wangu
 
HUO NI UONGO

Form 6 tumesoma topics kibao, tunaingia chuoni tunasoma baadhi tu, tunakutana na vitu vingi vipya.

Wale waliosoma diploma wanafundishwa masomo mengi wanayoenda kuyarudia Degree, ni sawa na degree akienda kusoma masters anarudia vitu vingi.

Tatizo zamani wanaoenda diploma walikuwa na uwezo mdogo darasani, ilikuwa kawaida kukuta baadhi ya diploma wanarudia masomo degree lakini wanaomba kufundishwa upya na wale waliotoka form 6.

Hawa vijana wa sikuhizi wanaingia dip wako vizuri darasani, wakifika degree ni marudio tu, vipya vichache sana,
Unaongea nini kuhusu elimu cha chuo kikuu! Labda course nyingine! Mimi ni Muhandisi nimeingia chuo kutokea kidato cha sita! Uwezi kunidanganya kuwa Chuo ni marudio ya kidato cha sita! Endelea kujidanganya umasikinibna changamoto za maisha zitawanyosha!
 
aende advance akasome PMC(phy, math, computer)

kisha zingatia ule ushauri wangu wa jana

soma hapa uelewe umuhimu wa ushauri wangu
Hio PMC na mimi nimeifuatilia ila nimeona ipo kisiasa sana, wamefosi tu iwepo ilimradi

Wanafunzi hawaruhusiwei kwenda na laptops shuleni, huwezi kulinganisha na wenzao wanaotumia laptops hostel, madarasani, kwenye discussion, n.k.

Hio kombi kuna somo moja tu la computer, wenzao wa vyuoni wanasoma masomo mengi ya computer

kuna rafiki yangu ofisini kaniambia kuna mashindano ya wanafunzi wa computer Tanzania yanaitwa Cyber Stars, Form 6 hawaruhusiwi kushiriki.
 
Hio PMC na mimi nimeifuatilia ila nimeona ipo kisiasa sana, wamefosi tu iwepo ilimradi

Wanafunzi hawaruhusiwei kwenda na laptops shuleni, huwezi kulinganisha na wenzao wanaotumia laptops hostel, madarasani, kwenye discussion, n.k.

Hio kombi kuna somo moja tu la computer, wenzao wa vyuoni wanasoma masomo mengi ya computer

Pia kuna rafiki yangu kaniambia kuna mashindano ya wanafunzi wa computer Tanzania yanaitwa Cyber Stars, Form 6 hawaruhusiwi kushiriki.
lakini ni msingi, umesoma kweli nilichokuelekeza?

ila sawa tu
 
Nina wadogo zangu baadhi wameamua kwenda kuanza mapema kusomea Taaluma vyuoni.

Nikiwa kama mtu mzima ninayezijua changamoto za wahitimu wa sekondari kupata wakati mgumu kuchagua taaluma ya kusomea nimeona nifanye extra research wasikurupuke kusomea vitu watavyojutia baada ya kuhitimu.

Kuna mwanafunzi anapenda mambo ya computer, nilipomhoji anataka kusomea taaluma ipi akaniambia Cyber Security, baada ya kuifatilia nimeona hii kozi ina demand kubwa nchi za ulaya na Marekani lakini kibongo bongo bado sana, inaweza kumpa taabu baada ya kuhitimu.

Ushauri kautoa huko google kwenye forums za Ulaya na Marekani, hivyo haupo feasible na soko la bongo.

Kwa research ndogo niliyofanya nimeona hapa bongo kozi zinazotamba ni Computer engineering, Computer science, IT, na nyingine mnaweza kunishauri.

Pia naombeni ushauri kuhusu chuo, ila kwa research ya juu juu huwa naangalia vyuo vyenye influence kubwa ya Alumnis nchini, kwenye mambo ya computer nimeona kuna Udsm wana influence uwakilishi mkubwa sana, naombeni mnishauri na vyuo vingine .
1000047280.jpg
HAPA NDIO TAIFA TUNAKOSEA,WATOTO KUFAULU ILA UTAALAMU KUSOMEA.

JE,HAWANA KIPAJI CHOCHOTE ILI KUKISOMEA KIENDELEE?
 
Nina wadogo zangu baadhi wameamua kwenda kuanza mapema kusomea Taaluma vyuoni.

Nikiwa kama mtu mzima ninayezijua changamoto za wahitimu wa sekondari kupata wakati mgumu kuchagua taaluma ya kusomea nimeona nifanye extra research wasikurupuke kusomea vitu watavyojutia baada ya kuhitimu.

Kuna mwanafunzi anapenda mambo ya computer, nilipomhoji anataka kusomea taaluma ipi akaniambia Cyber Security, baada ya kuifatilia nimeona hii kozi ina demand kubwa nchi za ulaya na Marekani lakini kibongo bongo bado sana, inaweza kumpa taabu baada ya kuhitimu.

Ushauri kautoa huko google kwenye forums za Ulaya na Marekani, hivyo haupo feasible na soko la bongo.

Kwa research ndogo niliyofanya nimeona hapa bongo kozi zinazotamba ni Computer engineering, Computer science, IT, na nyingine mnaweza kunishauri.

Pia naombeni ushauri kuhusu chuo, ila kwa research ya juu juu huwa naangalia vyuo vyenye influence kubwa ya Alumnis nchini, kwenye mambo ya computer nimeona kuna Udsm wana influence ya uwakilishi mkubwa sana, naombeni mnishauri na vyuo vingine .
Sijui kwa sasa hii mitaala mipya ila akipitia advance combination yenye Hisabati ni rahisi kuingia chuo degree Computer science na kuspecialise anapotaka baadae.

Kusoma certificate ya cyber security tokea o level atakua mweupe unless kuna Chuo cha serikali anachakuliwa direct na kuna njia ya kufika chuo kikuu.
 
lakini ni msingi, umesoma kweli nilichokuelekeza?

ila sawa tu
Mkuu nilisoma ushauri wako wa kufanya mitihani ya SAT

tatizo linapokuja hawa wahitimu wa vyuo vya nje wanapata shida sana kwenye soko la ajira Tz, waajiri huwa wanavitilia mashaka vyuo vya nchi za nje hasa China, India, Malaysia, n.k. vyuo vinavyoaminika zaidi ni zile top universities za Marekani na Ulaya kama Havard, Oxford, Manchester, MIT, Yale, n.k. na wengi wao wakisoma hivyo vyuo huwa hawarudi TZ.

Ukisoma nje inabidi uende TCU tume ya vyuo waidhinishe cheti chako, hapa huwa kuna mgongano kama umesoma vyuo ambavyo havipo high ranking duniani, ukienda kuomba kazi hao waajiri nao waanze kufuatilia tcu, huwa wanaona ni process ndefu kama hujasomea chuo high ranking,

Nimesoma uzi mwengine, huyo alieshauri kusoma form 6 ili uende kusomea degree nje ya nchi huu ushauri wake ni kwa wale form 6 waliopo kwenye mazingira ya kusoma nje mfano kwao kuna pesa nyingi, wana ndugu nje ya nchi, wana connections za scholarships, n.k.

Kuhusu kusomea masters watu wengi huwa wanaenda kusoma masters baada ya kupata kazi, hivyo unaweza kwenda hata nje ya nchi hata kama hukusoma form 6
 
Back
Top Bottom