Kafaulu freshi form 4 anataka aende kusomea computer, Aende kusomea Taaluma ipi na chuo gani ?

Kafaulu freshi form 4 anataka aende kusomea computer, Aende kusomea Taaluma ipi na chuo gani ?

Ukimaliza form 4 inafaa uanze kusomea taaluma mapema, kuna advantages nyingi kuliko kusomea form 6 ikiwemo kuwa na uwanja mpana wa ajira unaweza kuomba ajira zote diploma na degree, kuwa na cv ndefu ya kusomea taaluma, kufanya trainings za kazi kwa vitendo zaidi, kuweza kubadili taaluma ukiingia degree, n.k.

Huna point kabisa unaposema advance inakomaza akili, kwa experience yangu nilivyosoma form 6.
  • Wanachapwa viboko kama watoto wadogo
  • wanachungwa kama form 1 kuanzia muda wa kuamka, kulala, kunyoa ndevu, n.k.
  • Ni watu wazima wasioruhusiwa kuwa na mahusiano
  • Hawaruhusiwi kumiliki simu
  • wanasubiria mtihani moja wa taifa kupima uwezo wao miaka miwili shuleni.
  • n.k.
Hujui unachokisema, ngoja nikupe shule kidogo, ndio utaelewa.
Leo hii mtoto anayemaliza form four mara nyingi utakuta hata miaka 18 hajafika, kumkimbiza kwenye maisha ya kichuo ni kumbemenda tu kiakili na kimaadili, chuo kinaishia kumuharibu tu na sio kumtengeneza. Chunguza hilo, utagundua kitu.

Pili, mtoto akishakwenda kusoma diploma ya fani fulani maana yake huko mbeleni hawezi tena kuja kusomea fani nyingine kwa msingi wa hiyo diploma. Je, watoto wetu wamejiandaa au kuandaliwa vyema kujua ni fani ipi wataishi nayo maishani?

Tatu, fahamu tu, kusoma ili kuja kuajiriwa kwa kutumia hiyo diploma kwa zama hizi hakupo kabisa, na ikitokea basi itakuwa ni kwa mshahara mdogo sana.

Mwisho, kwa mtoto aliyefaulu vizuri O-level (division one au two) halafu kwenda kusoma diploma ili mwisho wa siku kuja kusoma degree ni kupoteza muda zaidi na kubahatisha.
 
Mtoto mwenye uwezo mzuri darasani (ufaulu wa mkubwa wa kidato cha nne), matamanio ya kuwa msomi mkubwa zaidi na uwanja mpana wa kuchagua taaluma za kuja kusomea huko mbeleni, HAWEZI KUEPUKA MASOMO YA KIDATO CHA SITA.

Kwenda tofauti na hapo ni sawa ni binti aliyevunja ungo na kukimbizwa hospitali ili kufungwa kizazi na wakati huo huo wakisahau kuwa ana ndoto za kuja kuolewa na kuzaa watoto.
 
Hujui unachokisema, ngoja nikupe shule kidogo, ndio utaelewa.
Leo hii mtoto anayemaliza form four mara nyingi utakuta hata miaka 18 hajafika, kumkimbiza kwenye maisha ya kichuo ni kumbemenda tu kiakili na kimaadili, chuo kinaishia kumuharibu tu na sio kumtengeneza. Chunguza hilo, utagundua kitu.

Pili, mtoto akishakwenda kusoma diploma ya fani fulani maana yake huko mbeleni hawezi tena kuja kusomea fani nyingine kwa msingi wa hiyo diploma. Je, watoto wetu wamejiandaa au kuandaliwa vyema kujua ni fani ipi wataishi nayo maishani?

Tatu, fahamu tu, kusoma ili kuja kuajiriwa kwa kutumia hiyo diploma kwa zama hizi hakupo kabisa, na ikitokea basi itakuwa ni kwa mshahara mdogo sana.

Mwisho, kwa mtoto aliyefaulu vizuri O-level (division one au two) halafu kwenda kusoma diploma ili mwisho wa siku kuja kusoma degree ni kupoteza muda zaidi na kubahatisha.
Kwanza, kwenda form 6 sio kinga ya ugeni wa uhuru chuoni, Form 4 na form 6 wakiingia chuoni huwa wapo sawa kwenye ugeni wa maisha ya uhuru, wengi wamebanwa sana huko boarding wakifika vyuoni ndio wanapata taste ya uhuru tena mbali na nyumbani, Wanafunzi wengi wanaodisko degree ni wale form 6 wanaopata taste ya uhuru na kushindwa kubalance na masomo. Ndio maana wazazi tunaaswa kuwafundisha watoto kuishi kwa namna dunia ilivyo sio kwa namna tunavyotaka.

Pili, umekosea kusema huwezi kubadili taaluma uliyoanza nayo diploma
  • unaweza kusomea diploma ya Computer engineering ukasome degree ya IT
  • unaweza kusomea diploma ya Uhasibu ukasomea degree ya procurement,
  • unaweza kusomea diploma ya civil engineering ukasomea Degree ya Architecture
  • unaweza kusomea diploma ya falsafa ukasomea degree ya sheria
Hapa ni wazi Diploma anapata nafasi ya pili kubadili kozi tofauti na wenzake wanaotoka form 6, hawapati chance ya kubadili kozi labda warudie upya degree

Tatu ajira za diploma zipo na ni kwajili ya weliopitia diploma, ajira nyingi za assistant ni za diploma kuanzia assistant accountant, assistant, engineer, assistant lawyers, assistant IT, n.k. hakuna ajira za kitaaluma za form 6.

Nne, mtoto aliefaulu vizuri form 4 na kwenda chuo kwa ndoto za kufika degree haendi kupoteza muda, akimaliza degree ana uwanja mpana wa ajira kwasababu anaweza kuomba kazi za diploma na degree, CV yake machoni mwa waajiri ni nzito kwasababu kasomea taaluma kwa miaka mingi na kapitia mafunzo mengi ya mazoezi ya kazi kwa vitendo, n.k.

JITATHMINI MKUU
 
Mtoto mwenye uwezo mzuri darasani (ufaulu wa mkubwa wa kidato cha nne), matamanio ya kuwa msomi mkubwa zaidi na uwanja mpana wa kuchagua taaluma za kuja kusomea huko mbeleni, HAWEZI KUEPUKA MASOMO YA KIDATO CHA SITA.

Kwenda tofauti na hapo ni sawa ni binti aliyevunja ungo na kukimbizwa hospitali ili kufungwa kizazi na wakati huo huo wakisahau kuwa ana ndoto za kuja kuolewa na kuzaa watoto.
umekosea kusema huwezi kubadili taaluma uliyoanza nayo diploma
  • unaweza kusomea diploma ya Computer engineering ukasome degree ya IT
  • unaweza kusomea diploma ya Uhasibu ukasomea degree ya procurement,
  • unaweza kusomea diploma ya civil engineering ukasomea Degree ya Architecture
  • unaweza kusomea diploma ya falsafa ukasomea degree ya sheria
Hapa ni wazi Diploma anapata nafasi ya pili kubadili kozi tofauti na wenzake wanaotoka form 6 hawapati chance ya kubadili kozi labda warudie upya degree
 
umekosea kusema huwezi kubadili taaluma uliyoanza nayo diploma
  • unaweza kusomea diploma ya Computer engineering ukasome degree ya IT
  • unaweza kusomea diploma ya Uhasibu ukasomea degree ya procurement,
  • unaweza kusomea diploma ya civil engineering ukasomea Degree ya Architecture
  • unaweza kusomea diploma ya falsafa ukasomea degree ya sheria
Hapa ni wazi Diploma anapata nafasi ya pili kubadili kozi tofauti na wenzake wanaotoka form 6 hawapati chance ya kubadili kozi labda warudie upya degree
Sijui kama umenielewa vyema.
Mimi nimesema, ukishasoma diploma ya field fulani basi akitaka kusomea degree inabidi akasomee field hiyo hiyo tu. Hawezi kuwa na any other option. Kama alisomea diploma ya IT (ambayo ni field ya Computer) chuoni itabidi asomee degree ya IT ama degree close relevant to IT ambayo huenda ikawa ni Computer science (lakini hiyo itategemea mnoo na vigezo vya chuo husika au TCU kuweza kulipitisha hilo na hawezi kuwa na nafasi sawa na yule anayekwenda moja kwa moja au aliyekuja very specific.)

Mtu aliyesoma diploma ya IT hawezi kwenda chuoni kusomea degree ya Civil engineer. Kwa kuwa Diploma yake IT haiko relevant na Civil engineer.

Sasa waza binti aliyemaliza form four na kufaulu vizuri mnoo akiwa na miaka 17, kwa sababu ya mkumbo akakimbilia kwenda kusoma diploma ya IT, alipofika miaka 20 akiwa anataka kuingia chuoni akawa amejitambua na kujiona yeye anapenda na kufaa kuwa architecture engineer na mkononi ana Diploma ya IT, anafanyaje?
 
Husim-force asomee ishu asizozipenda, utapoteza hela yako
 
Kwanza, kwenda form 6 sio kinga ya ugeni wa uhuru chuoni, Form 4 na form 6 wakiingia chuoni huwa wapo sawa kwenye ugeni wa maisha ya uhuru, wengi wamebanwa sana huko boarding wakifika vyuoni ndio wanapata taste ya uhuru tena mbali na nyumbani, Wanafunzi wengi wanaodisko degree ni wale form 6 wanaopata taste ya uhuru na kushindwa kubalance na masomo. Ndio maana wazazi tunaaswa kuwafundisha watoto kuishi kwa namna dunia ilivyo sio kwa namna tunavyotaka.

Pili, umekosea kusema huwezi kubadili taaluma uliyoanza nayo diploma
  • unaweza kusomea diploma ya Computer engineering ukasome degree ya IT
  • unaweza kusomea diploma ya Uhasibu ukasomea degree ya procurement,
  • unaweza kusomea diploma ya civil engineering ukasomea Degree ya Architecture
  • unaweza kusomea diploma ya falsafa ukasomea degree ya sheria
Hapa ni wazi Diploma anapata nafasi ya pili kubadili kozi tofauti na wenzake wanaotoka form 6, hawapati chance ya kubadili kozi labda warudie upya degree

Tatu ajira za diploma zipo na ni kwajili ya weliopitia diploma, ajira nyingi za assistant ni za diploma kuanzia assistant accountant, assistant, engineer, assistant lawyers, assistant IT, n.k. hakuna ajira za kitaaluma za form 6.

Nne, mtoto aliefaulu vizuri form 4 na kwenda chuo kwa ndoto za kufika degree haendi kupoteza muda, akimaliza degree ana uwanja mpana wa ajira kwasababu anaweza kuomba kazi za diploma na degree, CV yake machoni mwa waajiri ni nzito kwasababu kasomea taaluma kwa miaka mingi na kapitia mafunzo mengi ya mazoezi ya kazi kwa vitendo, n.k.

JITATHMINI MKUU
Nitakujibu hapa.
Sote tunajua elimu ya sekondari imeambatana mnoo na makuzi, malezi, umri na saikolojia za ukuaji. Mwalimu wa sekondari na shule za sekondari zimejengwa kwa misingi hiyo. Wakati huo huo elimu ya Chuoni ni elimu ya watu wazima, tofauti kabisa na sekondari. Mwanafunzi aliyemaliza kidato cha nne kwa sasa hapa Tanzania ni mtoto, kumpeleka chuoni moja kwa moja kwa kiasi kikubwa nikumburuza tu. Hakuna sekondari inayomuandaa mwanafunzi wa kidato cha nne kwenda chuoni, mwanafunzi wa A-level ndio huandaliwa kwenda kukabiliana na maisha, mifumo na elimu ya chuoni.

Kama mtoto aliyemaliza form four na kufaulu vizuri anataka kusoma diploma ili akimalize akafanye kazi basi atakuwa yuko sahihi zaidi kuliko kuwaza kusoma diploma ili baadaye akaingie chuoni kusoma degree.

Kupitia elimu ya A-level ndipo ambapo mwanafunzi anajenga upeo mpana wa kujua nini cha kwenda kusomea Chuoni. Tusiwanyime hiyo fursa watoto wetu.
 
Sijui kama umenielewa vyema.
Mimi nimesema, ukishasoma diploma ya field fulani basi akitaka kusomea degree inabidi akasomee field hiyo hiyo tu. Hawezi kuwa na any other option. Kama alisomea diploma ya IT (ambayo ni field ya Computer) chuoni itabidi asomee degree ya IT ama degree close relevant to IT ambayo huenda ikawa ni Computer science (lakini hiyo itategemea mnoo na vigezo vya chuo husika au TCU kuweza kulipitisha hilo na hawezi kuwa na nafasi sawa na yule anayekwenda moja kwa moja au aliyekuja very specific.)

Mtu aliyesoma diploma ya IT hawezi kwenda chuoni kusomea degree ya Civil engineer. Kwa kuwa Diploma yake IT haiko relevant na Civil engineer.

Sasa waza binti aliyemaliza form four na kufaulu vizuri mnoo akiwa na miaka 17, kwa sababu ya mkumbo akakimbilia kwenda kusoma diploma ya IT, alipofika miaka 20 akiwa anataka kuingia chuoni akawa amejitambua na kujiona yeye anapenda na kufaa kuwa architecture engineer na mkononi ana Diploma ya IT, anafanyaje?
Sasa mkuu unaona ipo feasible vipi mtu asomee Diploma ya upishi aende kusomea Degree ya IT, Masters asomee Uhasibu wapi na wapi ?

Advantage ya diploma ni kuweza kuja kubadili taaluma ndani ya uwanja anayosomea, Mtu anapenda mambo ya computer kamaliza form 4 ameenda kusomea Cyber security, anagundua kwamba hakufanya research ya kutosha hio kozi haina soko bongo au anataka kuongeza taaluma akifika degree anabadili taaluma asomee computer engineering, IT, Computer science, n.k.

Form 6 hawezi kwasababu anaenda kuanza kusomea taaluma degree kwa mara ya kwanza, cheti cha form 6 hakina uzito wowote kitaaluma.

hio paragraph yako ya mwisho nikujuze kwamba form 6 wengi tu wamemaliza degree wanakuja kugundua walikurupuka kuchagua taaluma, advantage ya diploma ni kwamba anaweza kubadili taaluma ndani ya uwanja wake, kaona IT hawezi kuendelea nayo anaweza kubadili kozi nyingine za uwanja wa computer.
 
Kwanini hujiulizi, wazazi wengi wanaotaka watoto wao waende kusoma diploma wao ndio wako busy kuuliza na kutaka kujua kipi watoto wao wakasomee chuoni kuliko hao watoto wenyewe?

Ama kwanini hujiulizi, kwanini watoto wengi wanaotaka kukimbilia kusoma diploma hawajui chochote kwa kina hicho wanachokitaka?

JIBU RAHISI SANA, MKUMBO!
 
Kwanini hujiulizi, wazazi wengi wanaotaka watoto wao waende kusoma diploma wao ndio wako busy kuuliza na kutaka kujua kipi watoto wao wakasomee chuoni kuliko hao watoto wenyewe?

Ama kwanini hujiulizi, kwanini watoto wengi wanaotaka kukimbilia kusoma diploma hawajui chochote kwa kina hicho wanachokitaka?

JIBU RAHISI SANA, MKUMBO!
Kufuata mkumbo ni tatizo kwa wanafunzi wengi wanaotoka sekondari kwasababu hawana information ya kutosha kusomea kipi, kuna wanafunzi wengi sana wa form 6 wakimaliza degree wanajutia kusoma degree za food science, anthropogy, philosophy, insurance, n.k. kuna uzi humu jamiiforums watu wengi sana waliomaliza degree wanaelezea masikitiko yao.

Advantage ya diploma ni kwamba anaweza kusahisha makosa aliyofanya kwa kufuata mkumbo, form 4 anaweza kufuata mkumbo wa kwenda kusoma philosophy diploma akifika degree anasoma sheria, anaweza kufuata mkimbo kusomea cyber security diploma lakini degree akasomea computer engineering, Form 6 akifuata mkumbo hana hio chance
 
Sasa mkuu unaona ipo feasible vipi mtu asomee Diploma ya upishi aende kusomea Degree ya IT, Masters asomee Uhasibu wapi na wapi ?

Advantage ya diploma ni kuweza kuja kubadili taaluma ndani ya uwanja anayosomea, Mtu anapenda mambo ya computer kamaliza form 4 ameenda kusomea Cyber security, anagundua kwamba hakufanya research ya kutosha hio kozi haina soko bongo au anataka kuongeza taaluma akifika degree anabadili taaluma asomee computer engineering.

Form 6 hawezi kwasababu anaenda kuanza kusomea taaluma degree.

hio paragraph yako ya mwisho naipiga spin tu

Sasa waza binti aliyemaliza form six na kufaulu vizuri mnoo akiwa na miaka 19, kwa sababu ya mkumbo akakimbilia kwenda kusoma degree ya IT, alipofika miaka 24 akawa amejitambua na kujiona yeye anapenda na kufaa kuwa architecture engineer na mkononi ana Degree ya IT, anafanyaje?
Mimi hapa ninamlinganisha mwanafunzi aliyemaliza form six dhidi ya mwanafunzi aliyemaliza diploma, wote wanataka kuomba kusoma degree mbali mbali chuoni. Yupi mwenye uwanja mpana zaidi wa degree ya kuchagua kusomea chuoni?
Jibu liko wazi mhitimu wa kidato cha Sita. Hilo halina ubishi.

Ukweli mwingine ni huu, zama hizi wahitimu wa kidato cha nne ni wadogo mnoo, ni kawaida kabisa leo kukuta mtoto wa miaka 16 amemaliza kidato cha nne. Na mifumo ya maisha ya sasa utakuwa wengi hawajapitia hustle zozote nzito binafsi za kimaisha. Huyu kumkimbiza chuoni ni hatari. Na kwa hakika huyo hajui hata maisha ni nini na fani ya kusomea ni nini na huenda kwa 80% ya maamuzi ya makubwa ya maisha yake yanasukumwa na mkumbo au usaidizi wa mzazi/mlezi/mwalimu wake, sio yeye haswa.

Binti wa miaka 19 ambaye amehitimu form six na kuamua kusomea degree ya IT, huko mbeleni akigundua alikosea hicho alichosomea, hana wa kumlaumu, maana umri wake, saikolojia ya kimakuzi na exposure aliyoipata akiwa A-level ilitosha kumpa uhuru wa kuamua hicho alichosomea. Hiyo ni tofauti kabisa na binti aliyeamuliwa kusoma Diploma ya IT baada ya kumaliza form four akiwa na miaka 16 na baadaye kujutia alichosomea.
 
Kufuata mkumbo ni tatizo kwa wanafunzi wengi wanaotoka sekondari kwasababu hawana information ya kutosha kusomea kipi, kuna wanafunzi wengi sana wa form 6 wakimaliza degree wanajutia kusoma degree za anthropogy, philosophy, n.k. kuna uzi humu jamiiforums watu wengi sana waliomaliza degree wanaelezea masikitiko yao.

Advantage ya diploma ni kwamba anaweza kusahisha makosa aliyofanya kwa kufuata mkumbo, form 4 anaweza kufuata mkumbo wa kwenda kusoma philosophy diploma akifika degree anasoma sheria, anaweza kufuata mkimbo kusomea cyber security diploma lakini degree akasomea computer engineering, Form 6 akifuata mkumbo hana hio chance
Sasa kama mwanafunzi aliyemaliza kidato cha sita anaweza kukosea kuchagua fani ya kusomea chuoni, vipi huyu wa kidato cha nne?
Hali itakuwa mbaya zaidi.
 
Sasa kama mwanafunzi aliyemaliza kidato cha sita anaweza kukosea kuchagua fani ya kusomea chuoni, vipi huyu wa kidato cha nne?
Hali itakuwa mbaya zaidi.
Naomba nikuulize swali tu maana naona huna nia ya kujifunza bali upo kwa ubishi,

Form 4 anaweza kukosea kuchagua fani akasomea diploma ya Philisophy, anafika degree anasahisha kosa kwa kusomea Sheria.

Form 6 aliekosea kuchagua fani akasomea degree ya Philosophy afanye nini ?
 
Mimi hapa ninamlinganisha mwanafunzi aliyemaliza form six dhidi ya mwanafunzi aliyemaliza diploma, wote wanataka kuomba kusoma degree mbali mbali chuoni. Yupi mwenye uwanja mpana zaidi wa degree ya kuchagua kusomea chuoni?
Jibu liko wazi mhitimu wa kidato cha Sita. Hilo halina ubishi.

Ukweli mwingine ni huu, zama hizi wahitimu wa kidato cha nne ni wadogo mnoo, ni kawaida kabisa leo kukuta mtoto wa miaka 16 amemaliza kidato cha nne. Na mifumo ya maisha ya sasa utakuwa wengi hawajapitia hustle zozote nzito binafsi za kimaisha. Huyu kumkimbiza chuoni ni hatari. Na kwa hakika huyo hajui hata maisha ni nini na fani ya kusomea ni nini na huenda kwa 80% ya maamuzi ya makubwa ya maisha yake yanasukumwa na mkumbo au usaidizi wa mzazi/mlezi/mwalimu wake, sio yeye haswa.

Binti wa miaka 19 ambaye amehitimu form six na kuamua kusomea degree ya IT, huko mbeleni akigundua alikosea hicho alichosomea, hana wa kumlaumu, maana umri wake, saikolojia ya kimakuzi na exposure aliyoipata akiwa A-level ilitosha kumpa uhuru wa kuamua hicho alichosomea. Hiyo ni tofauti kabisa na binti aliyeamuliwa kusoma Diploma ya IT baada ya kumaliza form four akiwa na miaka 16 na baadaye kujutia alichosomea.
Yaani mtu aliyekosea kuchagua field ya kusomea wakati akisoma diploma, atawezaje kujisahihisha tena wakati wa kutaka kusoma degree?
Yaani kwa mfano alikosea kuchagua field ya Computer wakati akisoma diploma, sasa anataka kusoma degree lakini sio ya field ya computer, hiyo itawezekanaje?

Kwa mhitimu wa kidato cha Sita, ambaye alikosea kusoma degree
ya fani fulani, hilo la kurejea upya kusomea degree ya fani nyingine tofauti linawezakana kwa 100%.
 
Mtoto aliyemaliza form four na fani ya kitaaluma wapi na wapi?
Anapaswa kwenda kwanza Advance level akili ikakomae, hataki hivyo, mpeleke VETA, mengine ni mbwembwe tu za kitoto.
Acha akili mgando kwahiyo we lengo la kumpeleka mtoto shule ni kwenda kukua na kukomaa?
 
Yaani mtu aliyekosea kuchagua field ya kusomea wakati akisoma diploma, atawezaje kujisahihisha tena wakati wa kutaka kusoma degree?
Yaani kwa mfano alikosea kuchagua field ya Computer wakati akisoma diploma, sasa anataka kusoma degree lakini sio ya field ya computer, hiyo itawezekanaje?

Kwa mhitimu wa kidato cha Sita, ambaye alikosea kusoma degree
ya fani fulani, hilo la kurejea upya kusomea degree ya fani nyingine tofauti linawezakana kwa 100%.
Naomba nikuulize swali tu maana naona huna nia ya kujifunza bali upo kwa ubishi,

Form 4 anaweza kukosea kuchagua fani akasomea diploma ya Philisophy, anafika degree anasahisha kosa kwa kusomea Sheria.

Form 6 aliekosea kuchagua fani akasomea degree ya Philosophy afanye nini ?
 
Nasikitika kwamba bado kuna vita ya advance vs chuo ukweli unabaki kuwa dunia ya sasa is no longer base in certificate bali ni kuwa practically oriented na ROI,dogo wa IT akasomee IT focus iwe data related areas big data engineering,data analysis,data engineering,machine learning
 
Naomba nikuulize swali tu maana naona huna nia ya kujifunza bali upo kwa ubishi,

Form 4 anaweza kukosea kuchagua fani akasomea diploma ya Philisophy, anafika degree anasahisha kosa kwa kusomea Sheria.

Form 6 aliekosea kuchagua fani akasomea degree ya Philosophy afanye nini ?
Inabidi apambane na supp za kutosha
 
Back
Top Bottom