Kafulila ammwagia sifa Rais Magufuli kwa uongozi bora

Kafulila ammwagia sifa Rais Magufuli kwa uongozi bora

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Katibu Tawala mstaafu wa mkoa wa Songwe David Kafulila yuko mubashara Clouds TV akielezea mafanikio ya awamu ya 5 chini ya Rais Magufuli na makandokando ya upinzani hususani CHADEMA na ACT-Wazalendo.

Karibu.

Chanzo: Clouds TV.

Maendeleo hayana vyama!
 
KINYAAA KABISA HUYU ....AONGEZE SAUTI APEWE KAZI ...TENA !! ALIYEMUAMBIA AKAGOMBEE UBUNGE NANI ?
 
Kafulila yupo vizuri sana katika kujenga hoja za kitaalam. Wale wapenda kutazama mtu badala ya hoja zake siku zote hawapungukiwi ujinga wa kuandika mitandaoni.
 
Back
Top Bottom