Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imasemekana alikuwa mbunge viti maalum CHADEMA, sasa hivi ana mafao ya zaidi ya milioni 250 na zile 500 alizokusanya ana karibia bilioniJesca anafanya kazi gani?!
Hahahaaaa..... Wafungue zoo watalii ni wengi sana!imasemekana alikuwa mbunge viti maalum CHADEMA, sasa hivi ana mafao ya zaidi ya milioni 250 na zile 500 alizokusanya ana karibia bilioni
Siyo Messi!Hii inaitwa kucheza kama Pele
Hahahaaaa..... Wafungue zoo watalii ni wengi sana!
Kwani Mnyika amesomea nini?!Huyu jamaa amesomea nini? si atafute kazi kama sisi badala ya kuishi kwa kulamba miguu ya mwanadamu mwenzako!!
Mpeni uteuzi jamani anahangaika sana kama kuku anayetaka kutaka .Katibu tawala mstaafu wa mkoa wa Songwe David Kafulila yuko mubashara Clouds tv akielezea mafanikio ya awamu ya 5 chini ya Rais Magufuli na makandokando ya upinzani hususani Chadema na ACT wazalendo.
Karibu.
Chanzo: Clouds TV.
Maendeleo hayana vyama!
Huyu mpumbavu amekosa kazi ya kufanya kisa anajua udhaifu wa rais magufuri kuwa ukimsifia tu anakupa cheo hivyo basi ameleta hoja ya kusifu ili atunukiwe cheo pumbavu sana.Katibu tawala mstaafu wa mkoa wa Songwe David Kafulila yuko mubashara Clouds tv akielezea mafanikio ya awamu ya 5 chini ya Rais Magufuli na makandokando ya upinzani hususani Chadema na ACT wazalendo.
Karibu.
Chanzo: Clouds TV.
Maendeleo hayana vyama!
Anataka apewe mfupaKatibu Tawala mstaafu wa mkoa wa Songwe David Kafulila yuko mubashara Clouds TV akielezea mafanikio ya awamu ya 5 chini ya Rais Magufuli na makandokando ya upinzani hususani CHADEMA na ACT-Wazalendo.
Karibu.
Chanzo: Clouds TV.
Maendeleo hayana vyama!
Hajastaafu. Alitaka kugombea Ubunge lakini kura za wajumbe hazikutosha. Maelekezo ilikuwa uchague kimoja kati ya kazi iliyokuwa nayo na Ubunge. Kwa vile alikuwa anataka vyote kwa pupa, basi akakosa vyote.Hivi Kafulila amestaafu ukatibu tawala?
Anatafuta ajiraKatibu Tawala mstaafu wa mkoa wa Songwe David Kafulila yuko mubashara Clouds TV akielezea mafanikio ya awamu ya 5 chini ya Rais Magufuli na makandokando ya upinzani hususani CHADEMA na ACT-Wazalendo.
Karibu.
Chanzo: Clouds TV.
Maendeleo hayana vyama