johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Vijana chapeni kazi!Anataka kuteuliwa tena
Alishachezea shilingi choon
Atupishe na sisi kwanza arudi huko upinzan alipokuwa
Ndio!hivi kafulila amestaafu ukatibu tawala?
Ni kama kwenye daladala ukishuka mtu mwingine anakaa safari inaendelea!Kwani si Magufuli alisema wataendelea na nafasi zao?
Kafulila aache kuiponda chademi ili mke wake Jesca Kishoa afikiriwe kwenye viti maalum.Hahahaaaa...... Mtaka yote kwa pupa hukosa yote!
Huko Bawacha msimsahau mama tumbili wana familia ya kulisha!Utupe leo mkate wetu baba.
Hahahaaaa...... Mtaka yote kwa pupa hukosa yote!
Hahahaaaa...... Hali ni tete walitegemea wangekuwa wote bungeni!Kafulila aache kuiponda chademi ili mke wake jesca kishoa afikiriwe kwenye viti maalum.
Foleni ni ndefu inayosubiri teuzi tena kuna PhD kibao.Anajipigia debe ili asisahaulike.. hana jipya