Kafulila: Kama kuna mtu au kampuni wameona kuna mradi serikali inauendesha kwa hasara na wana mbinu za kuifanya serikali na wao kupata faida waje

Kafulila: Kama kuna mtu au kampuni wameona kuna mradi serikali inauendesha kwa hasara na wana mbinu za kuifanya serikali na wao kupata faida waje

Mkurugenzi Mkuu wa kituo cha ubia kati ya Serikali na Sekta binafsi (PPP-Centred) Bw. David Kafulila ametoa wito kwa sekta na watu binafsi wenye utafiti kwenye miradi yoyote ya Serikali kwenye ngazi yoyote ya kiserikali na wamebaini serikali inapoteza mapato na wao wako tayari kuisaidia Serikali kuepuka hasara na kupata faida kwaajili yao na kwa Serikali yao wanakaribishwa kwa majadiliano na PPP.

Kafulila ameyasema hayo katika kituo cha runinga cha Clouds Media wakati akifafanua maana halisi ya UBIA, WABIA na aina zake.

Msikilize mpaka mwisho.
Namwamini sana huyu jamaa
 
Mkurugenzi Mkuu wa kituo cha ubia kati ya Serikali na Sekta binafsi (PPP-Centred) Bw. David Kafulila ametoa wito kwa sekta na watu binafsi wenye utafiti kwenye miradi yoyote ya Serikali kwenye ngazi yoyote ya kiserikali na wamebaini serikali inapoteza mapato na wao wako tayari kuisaidia Serikali kuepuka hasara na kupata faida kwaajili yao na kwa Serikali yao wanakaribishwa kwa majadiliano na PPP.

Kafulila ameyasema hayo katika kituo cha runinga cha Clouds Media wakati akifafanua maana halisi ya UBIA, WABIA na aina zake.

Msikilize mpaka mwisho.
PPP itanisaidia sana Tanzania
 
Mkurugenzi Mkuu wa kituo cha ubia kati ya Serikali na Sekta binafsi (PPP-Centred) Bw. David Kafulila ametoa wito kwa sekta na watu binafsi wenye utafiti kwenye miradi yoyote ya Serikali kwenye ngazi yoyote ya kiserikali na wamebaini serikali inapoteza mapato na wao wako tayari kuisaidia Serikali kuepuka hasara na kupata faida kwaajili yao na kwa Serikali yao wanakaribishwa kwa majadiliano na PPP.

Kafulila ameyasema hayo katika kituo cha runinga cha Clouds Media wakati akifafanua maana halisi ya UBIA, WABIA na aina zake.

Msikilize mpaka mwisho.
Well done PPP
 
Mkurugenzi Mkuu wa kituo cha ubia kati ya Serikali na Sekta binafsi (PPP-Centred) Bw. David Kafulila ametoa wito kwa sekta na watu binafsi wenye utafiti kwenye miradi yoyote ya Serikali kwenye ngazi yoyote ya kiserikali na wamebaini serikali inapoteza mapato na wao wako tayari kuisaidia Serikali kuepuka hasara na kupata faida kwaajili yao na kwa Serikali yao wanakaribishwa kwa majadiliano na PPP.

Kafulila ameyasema hayo katika kituo cha runinga cha Clouds Media wakati akifafanua maana halisi ya UBIA, WABIA na aina zake.

Msikilize mpaka mwisho.
Bahati mbaya sena pesa tu ningenununia mradi mmoja wa maji niuendeshe kwa ufanisi mkubwa
 

====
Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha ubia kati ya Serikali na Sekta binafsi Tanzània (PPP-Centred) Bw. David Kafulila ametoa wito kwa Sekta binafsi au watu binafsi wenye mitaji, teknolojia na utafiti kwenye mradi au miradi yoyote ya Serikali kwenye ngazi yoyote ya kiserikali wafike ofisini kwake kwaajili ya mazungumzo ya namna ya kuifanya miradi hiyo.

Mkurugenzi David Kafulila anasema ikiwa wadau hao wa maendeleo watakuwa wamebaini Serikali inapoteza mapato na wao wako tayari kuisaidia Serikali kuepuka hasara hizo na kuiendesha kwa faida kwaajili yao na kwa Serikali yao wanakaribishwa kwa majadiliano na PPPC.

Mkurugenzi Kafulila ameyasema hayo alipohokiwa katika kituo cha runinga cha Clouds Media wakati akifafanua maana halisi ya UBIA, WABIA na aina zake.

Mkurugenzi David Kafulila amesema Serikali na sekta binafsi wanaweza kufanya mradi wa Ubia na sekta binafsi kwa njia nne ambazo ni,

1. Solicited
2. Unsolicited


Kafulila ni mtu mzuri sana
 

====
Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha ubia kati ya Serikali na Sekta binafsi Tanzània (PPP-Centred) Bw. David Kafulila ametoa wito kwa Sekta binafsi au watu binafsi wenye mitaji, teknolojia na utafiti kwenye mradi au miradi yoyote ya Serikali kwenye ngazi yoyote ya kiserikali wafike ofisini kwake kwaajili ya mazungumzo ya namna ya kuifanya miradi hiyo.

Mkurugenzi David Kafulila anasema ikiwa wadau hao wa maendeleo watakuwa wamebaini Serikali inapoteza mapato na wao wako tayari kuisaidia Serikali kuepuka hasara hizo na kuiendesha kwa faida kwaajili yao na kwa Serikali yao wanakaribishwa kwa majadiliano na PPPC.

Mkurugenzi Kafulila ameyasema hayo alipohokiwa katika kituo cha runinga cha Clouds Media wakati akifafanua maana halisi ya UBIA, WABIA na aina zake.

Mkurugenzi David Kafulila amesema Serikali na sekta binafsi wanaweza kufanya mradi wa Ubia na sekta binafsi kwa njia nne ambazo ni,

1. Solicited
2. Unsolicited


Tuko tayari Wana wa Songambele
 
Back
Top Bottom