imma mkatoliki
JF-Expert Member
- Jun 23, 2024
- 218
- 159
Huyu jamaa asikilizweView attachment 3196432
===
Akizungumza na Waheshimiwa madiwani waliofika ofisini kwake kwaajili ya kujifunza maswala mbalimbali ya PPP Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini David Kafulila amesema Serika inapata hasara kubwa karibu kila mwaka kwa sababu ya kukosa efficiency.
Kafulila anasema duniani kote sekta binafsi ndio sekta inayomiliki teknolojia ya kiwango Cha juu zaidi ya Serikali ndio maana moja ya lengo la PPP ni kuvuta teknolojia toka kwa sekta binafsi.
<<<<msikilize mpaka mwisho>>>>
View attachment 3196218
Wengine kwani hawapo?Naona kabaki Kafulila tu kazini 😀😀
Hawapo kwenye Nini?Wengine kwani hawapo?
Mabasi yako njiani ni swala la muda tuLeteni mabasi ya mwendokasi, raia wanateseka.
Ni Kweli au mchongo tuMabasi yako njiani ni swala la muda tu
CCM hatuaminiani?Ni Kweli au mchongo tu
Samia mitano tenaView attachment 3196432
===
Akizungumza na Waheshimiwa madiwani wa Ilemela waliofika ofisini kwake kwaajili ya kujifunza mambo mbalimbali yahusuyo PPP kwenye kituo hicho cha PPPC Tanzània,
Mkurugenzi Mtendaji wa kituo hicho cha Ubia nchini Bw. David Kafulila amewaambia madiwani hao kuwa Serika inapata hasara kubwa karibu katika kila mwaka kwa sababu ya inefficiency ufanisi mdogo
Kafulila anasema duniani kote na Wala sio Tanzania tu Sekta binafsi ndio Sekta inayomiliki teknolojia ya kiwango cha juu zaidi ya Serikali ndio maana moja ya lengo la PPP ni kuvuta teknolojia toka kwa sekta binafsi.
Mkurugenzi Kafulila anaendelea kuwa kusema kwamba PPPC inavutia Wawekezaji kwa njia ya PPP ili kupata vitu vitatu muhimu,
|• Ilikupata Mtaji
||• Ilikupata teknolojia
|||• Ilikupata Ujuzi/Uzoefu
View attachment 3196218
====
Hakika hata iwe 10 ni sawa tuSamia mitano tena
Katiba haimuruhusu ni mitano tu itatoshaHakika hata iwe 10 ni sawa tu
Tuondoe ukomo kama CHADEMAKatiba haimuruhusu ni mitano tu itatosha
Wengine wako wapi?Naona kabaki Kafulila tu kazini 😀😀
Nimesoma sana Leo hiI thradView attachment 3196432
===
Akizungumza na Waheshimiwa madiwani wa Ilemela waliofika ofisini kwake kwaajili ya kujifunza mambo mbalimbali yahusuyo PPP kwenye kituo hicho cha PPPC Tanzània,
Mkurugenzi Mtendaji wa kituo hicho cha Ubia nchini Bw. David Kafulila amewaambia madiwani hao kuwa Serika inapata hasara kubwa karibu katika kila mwaka kwa sababu ya inefficiency ufanisi mdogo
Kafulila anasema duniani kote na Wala sio Tanzania tu Sekta binafsi ndio Sekta inayomiliki teknolojia ya kiwango cha juu zaidi ya Serikali ndio maana moja ya lengo la PPP ni kuvuta teknolojia toka kwa sekta binafsi.
Mkurugenzi Kafulila anaendelea kuwa kusema kwamba PPPC inavutia Wawekezaji kwa njia ya PPP ili kupata vitu vitatu muhimu,
|• Ilikupata Mtaji
||• Ilikupata teknolojia
|||• Ilikupata Ujuzi/Uzoefu
View attachment 3196218
====
Yuko Vizuri sana KafulilaJamaa anachapa kazi sana
Nimetoka kapaSOMEDAY TANZANIA WILL PAVE WAY FOR TECH ENTHUSIASTS
Yuko njema sanaNaona kabaki Kafulila tu kazini 😀😀
Nakubaliana na hiiView attachment 3196432
===
Akizungumza na Waheshimiwa madiwani wa Ilemela waliofika ofisini kwake kwaajili ya kujifunza mambo mbalimbali yahusuyo PPP kwenye kituo hicho cha PPPC Tanzània,
Mkurugenzi Mtendaji wa kituo hicho cha Ubia nchini Bw. David Kafulila amewaambia madiwani hao kuwa Serika inapata hasara kubwa karibu katika kila mwaka kwa sababu ya inefficiency ufanisi mdogo
Kafulila anasema duniani kote na Wala sio Tanzania tu Sekta binafsi ndio Sekta inayomiliki teknolojia ya kiwango cha juu zaidi ya Serikali ndio maana moja ya lengo la PPP ni kuvuta teknolojia toka kwa sekta binafsi.
Mkurugenzi Kafulila anaendelea kuwa kusema kwamba PPPC inavutia Wawekezaji kwa njia ya PPP ili kupata vitu vitatu muhimu,
|• Ilikupata Mtaji
||• Ilikupata teknolojia
|||• Ilikupata Ujuzi/Uzoefu
View attachment 3196218
====
😆😆 wamegawana majukumuNaona kabaki Kafulila tu kazini 😀😀
Boss wa Kafulila