Kafulila: Kila mwaka Serikali inapata hasara kutokana na ufanisi mdogo. Sekta binafsi duniani inamiliki teknolojia kubwa kuliko Serikali

Kafulila: Kila mwaka Serikali inapata hasara kutokana na ufanisi mdogo. Sekta binafsi duniani inamiliki teknolojia kubwa kuliko Serikali

View attachment 3196432
===
Akizungumza na Waheshimiwa madiwani wa Ilemela waliofika ofisini kwake kwaajili ya kujifunza mambo mbalimbali yahusuyo PPP kwenye kituo hicho cha PPPC Tanzània,

Mkurugenzi Mtendaji wa kituo hicho cha Ubia nchini Bw. David Kafulila amewaambia madiwani hao kuwa Serika inapata hasara kubwa karibu katika kila mwaka kwa sababu ya inefficiency ufanisi mdogo

Kafulila anasema duniani kote na Wala sio Tanzania tu Sekta binafsi ndio Sekta inayomiliki teknolojia ya kiwango cha juu zaidi ya Serikali ndio maana moja ya lengo la PPP ni kuvuta teknolojia toka kwa sekta binafsi.

Mkurugenzi Kafulila anaendelea kuwa kusema kwamba PPPC inavutia Wawekezaji kwa njia ya PPP ili kupata vitu vitatu muhimu,
|• Ilikupata Mtaji
||• Ilikupata teknolojia
|||• Ilikupata Ujuzi/Uzoefu





View attachment 3196218

====
Huyu jamaa kazi yake ni kutoa takwimu tu?
 
View attachment 3196432
===
Akizungumza na Waheshimiwa madiwani wa Ilemela waliofika ofisini kwake kwaajili ya kujifunza mambo mbalimbali yahusuyo PPP kwenye kituo hicho cha PPPC Tanzània,

Mkurugenzi Mtendaji wa kituo hicho cha Ubia nchini Bw. David Kafulila amewaambia madiwani hao kuwa Serika inapata hasara kubwa karibu katika kila mwaka kwa sababu ya inefficiency ufanisi mdogo

Kafulila anasema duniani kote na Wala sio Tanzania tu Sekta binafsi ndio Sekta inayomiliki teknolojia ya kiwango cha juu zaidi ya Serikali ndio maana moja ya lengo la PPP ni kuvuta teknolojia toka kwa sekta binafsi.

Mkurugenzi Kafulila anaendelea kuwa kusema kwamba PPPC inavutia Wawekezaji kwa njia ya PPP ili kupata vitu vitatu muhimu,
|• Ilikupata Mtaji
||• Ilikupata teknolojia
|||• Ilikupata Ujuzi/Uzoefu





View attachment 3196218

====
Kwa hiyo mheshimiwa tumbili mwambie Bibi aanzishe DOGE yake na wewe uwe mkurugenzi wake.
 
View attachment 3196432
===
Akizungumza na Waheshimiwa madiwani wa Ilemela waliofika ofisini kwake kwaajili ya kujifunza mambo mbalimbali yahusuyo PPP kwenye kituo hicho cha PPPC Tanzània,

Mkurugenzi Mtendaji wa kituo hicho cha Ubia nchini Bw. David Kafulila amewaambia madiwani hao kuwa Serika inapata hasara kubwa karibu katika kila mwaka kwa sababu ya inefficiency ufanisi mdogo

Kafulila anasema duniani kote na Wala sio Tanzania tu Sekta binafsi ndio Sekta inayomiliki teknolojia ya kiwango cha juu zaidi ya Serikali ndio maana moja ya lengo la PPP ni kuvuta teknolojia toka kwa sekta binafsi.

Mkurugenzi Kafulila anaendelea kuwa kusema kwamba PPPC inavutia Wawekezaji kwa njia ya PPP ili kupata vitu vitatu muhimu,
|• Ilikupata Mtaji
||• Ilikupata teknolojia
|||• Ilikupata Ujuzi/Uzoefu





View attachment 3196218

====
Kwa hiyo Nini kifanyike?
 
Simbachawene alisema 40% ya WAFANYAKAZI wa Serikali ni maboya hiki anachokisema Kafulila naamini ni kweli
 
Back
Top Bottom