Kiherehere
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,806
- 622
Kwa speed hii anayokuja nayo mh Kafulila anaweza akawa tishio kwenye bunge la 10 kama alivyokua Mh Zitto kwenye bunge lililopita but waswas wangu ni huyu zitto ambaye amekua haeleweki ndani ya CDM.Eti nyinyi mnalionaje hili jamani?
Mi sioni kitu hapo