Kiherehere
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,806
- 622
Kwa speed hii anayokuja nayo mh Kafulila anaweza akawa tishio kwenye bunge la 10 kama alivyokua Mh Zitto kwenye bunge lililopita but waswas wangu ni huyu zitto ambaye amekua haeleweki ndani ya CDM.Eti nyinyi mnalionaje hili jamani?
Kila siku Zitto Zitto jamani jadilini mambo muhimu yanayo husu hii nchi kwa nini tunarudi hatua 7 nyuma?
Kafulila amekuuliza nawe ukaingia kwenye mtego wake kumjibu!!!!! ulitakuwa kumwambia ajiangalie kwenye kioo halafu ajibu mwenyewe!!!!muanzilishi kauliza TUNAONAJE..... mi nimemjibu SIONI KITU... so mi simo.
kama zitto alivyochakachuliwa..ndivyo na kafulila atakavyochakachuliwa soon..
Kwa speed hii anayokuja nayo mh Kafulila anaweza akawa tishio kwenye bunge la 10 kama alivyokua Mh Zitto kwenye bunge lililopita but waswas wangu ni huyu zitto ambaye amekua haeleweki ndani ya CDM.Eti nyinyi mnalionaje hili jamani?
Thats is right unajua napata mashaka sana juu ya hawa w2 wa2 Z'kabwe&Kafulila wanasemasema sna mwisho wa cku wana2peleka puta cc wapenda upinzani.Nazani TAMAA ya maisha mazuri na PESA za haraka haraka za njia za mkato, NDIZO ZINAZOWAHARIBU hawa
Kwa speed hii anayokuja nayo mh Kafulila anaweza akawa tishio kwenye bunge la 10 kama alivyokua Mh Zitto kwenye bunge lililopita but waswas wangu ni huyu zitto ambaye amekua haeleweki ndani ya CDM.Eti nyinyi mnalionaje hili jamani?