Na Bakhresa anapiga kweliHili la Bakhressa na vivuko vyake ni kushindwa kutimiza wajibu wake serikali, mwishowe mtaita Wachina waendeshe JWTZ
PPP gani inayoongeza gharama ya maisha ya wananchiNani kakwambia Serikali inashindwa?
Jisomee vizuri ujue maana ya PPP Mzee
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo Cha Ubia nchini Tanzania PPPC Bw. David Kafulila amekaririwa akisema kuwa nia ya PPP ni kuvuta na kuvutia mitaji , Ufanisi pamoja na Teknolojia toka Sekta binafsi Popote Duniani.
Mkurugenzi huyo ametolea mfano faida za moja kwa moja za PPP nchini Tanzania ilizoanza kuzipata toka kwenye Vivuko vya Bakresa pamoja na Ufanisi wa kihistoria uliofikiwa na DP WORLD kwani kwa kipindi kifupi DP WORLD imetoa matokeo ambayo hayajawahi kufikiwa kwa miongo mingi iliyopita.
Kafulila anaendelea kwa kusema Serikali inaleta sekta binafsi kwaajili ya kuvuta teknolojia Kwakuwa Sekta binafsi ndio yenye teknolojia bora zaidi kuliko ile iliyoko Serikalini na huu ni utafiti kwa Dunia nzima.
Anaendelea kwa kusema, zile pesa za walipa Kodi ambazo Serikali ingeipatia TEMESA ili kununua Vivuko Sasa pesa hizo zitaelekezwa moja kwa moja kwenye Ujenzi wa miradi mingine muhimu kama vile shule, Zahati au vituo vya afya Kwakuwa Sasa huduma za Vivuko zinatolewa na Bakhresa kwa utaratibu wa Ubia na Serikali bila kutumia Senti moja ya Kodi Wala Mkopo wowote.
Tumia muda wako kupata madini toka kwa Kafulila.
View attachment 3224842
===
Anyongwe kwa kosa gani?Moja ya watu wanaotakiwa kufungwa na kuozea jela au kunyongwa ni huyu binadamu mwenzetu Kafulila...trick anayoitumia ya kutulaghai hakika inafanya kazi.
Yes kila kitu kina gharama zake lakini ipi ni cheaperAnachokisema ni common sense. Ambacho hakisesemi is no common. Ndiyo mtego wenyewe na ndipo tutakapopigwa. In short, Private sector ina gharama zake.
Vipi Kuhusu ubora wa huduma?PPP gani inayoongeza gharama ya maisha ya wananchi
Kabla hajapewa mzenji Bakhresa vivuko vitatu vilikuwa vinafanya kazi just fine..vilihujumiwa akapewa mzenji na na nauli kapandisha kutoka 200 hadi 500.
Yes kila kitu kina gharama zake lakini ipi ni cheaper
Inachofanya kilikuwa kinafanywa na yale mapantoni mawili yaliyohujumiwa.Vipi Kuhusu ubora wa huduma?
Kaziindelee tuMkurugenzi Mtendaji wa Kituo Cha Ubia nchini Tanzania PPPC Bw. David Kafulila amekaririwa akisema kuwa nia ya PPP ni kuvuta na kuvutia mitaji , Ufanisi pamoja na Teknolojia toka Sekta binafsi Popote Duniani.
Mkurugenzi huyo ametolea mfano faida za moja kwa moja za PPP nchini Tanzania ilizoanza kuzipata toka kwenye Vivuko vya Bakresa pamoja na Ufanisi wa kihistoria uliofikiwa na DP WORLD kwani kwa kipindi kifupi DP WORLD imetoa matokeo ambayo hayajawahi kufikiwa kwa miongo mingi iliyopita.
Kafulila anaendelea kwa kusema Serikali inaleta sekta binafsi kwaajili ya kuvuta teknolojia Kwakuwa Sekta binafsi ndio yenye teknolojia bora zaidi kuliko ile iliyoko Serikalini na huu ni utafiti kwa Dunia nzima.
Anaendelea kwa kusema, zile pesa za walipa Kodi ambazo Serikali ingeipatia TEMESA ili kununua Vivuko Sasa pesa hizo zitaelekezwa moja kwa moja kwenye Ujenzi wa miradi mingine muhimu kama vile shule, Zahati au vituo vya afya Kwakuwa Sasa huduma za Vivuko zinatolewa na Bakhresa kwa utaratibu wa Ubia na Serikali bila kutumia Senti moja ya Kodi Wala Mkopo wowote.
Tumia muda wako kupata madini toka kwa Kafulila.
View attachment 3224842
===
Haoanà rushwa Kafulila hapanaAngesema mafanikio ya rushwa anazopokea yeye hapo sawa
Wewe moja wapo ni mnufaikaHaoanà rushwa Kafulila hapana
Wewe kama nani?Nahitaji mjadala wa.wazi na Kafulila
UongoSasa hivi moja hadi mbili tu
Mbona anapiga zogo tu, hayo mafanikio ya DP World yako wapi in numbers, na kiuwekezaji? Wameongeza kitu gani kipya?Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo Cha Ubia nchini Tanzania PPPC Bw. David Kafulila amekaririwa akisema kuwa nia ya PPP ni kuvuta na kuvutia mitaji , Ufanisi pamoja na Teknolojia toka Sekta binafsi Popote Duniani.
Mkurugenzi huyo ametolea mfano faida za moja kwa moja za PPP nchini Tanzania ilizoanza kuzipata toka kwenye Vivuko vya Bakresa pamoja na Ufanisi wa kihistoria uliofikiwa na DP WORLD kwani kwa kipindi kifupi DP WORLD imetoa matokeo ambayo hayajawahi kufikiwa kwa miongo mingi iliyopita.
Kafulila anaendelea kwa kusema Serikali inaleta sekta binafsi kwaajili ya kuvuta teknolojia Kwakuwa Sekta binafsi ndio yenye teknolojia bora zaidi kuliko ile iliyoko Serikalini na huu ni utafiti kwa Dunia nzima.
Anaendelea kwa kusema, zile pesa za walipa Kodi ambazo Serikali ingeipatia TEMESA ili kununua Vivuko Sasa pesa hizo zitaelekezwa moja kwa moja kwenye Ujenzi wa miradi mingine muhimu kama vile shule, Zahati au vituo vya afya Kwakuwa Sasa huduma za Vivuko zinatolewa na Bakhresa kwa utaratibu wa Ubia na Serikali bila kutumia Senti moja ya Kodi Wala Mkopo wowote.
Tumia muda wako kupata madini toka kwa Kafulila.
View attachment 3224842
===
Kweli?Mbona anapiga zogo tu, hayo mafanikio ya DP World yako wapi in numbers, na kiuwekezaji? Wameongeza kitu gani kipya?
Look at you; mimi ni Kafulila?Kweli?
Wewe leta data zako sasa