Kafulila: Mafanikio ya Kihistoria ya Bandari chini ya DP World na Vivuko vya Bakresa ni mwanzo tu wa matunda ya PPP kwenye kujenga Uchumi wa kisasa

Kafulila: Mafanikio ya Kihistoria ya Bandari chini ya DP World na Vivuko vya Bakresa ni mwanzo tu wa matunda ya PPP kwenye kujenga Uchumi wa kisasa

Hili la Bakhressa na vivuko vyake ni kushindwa kutimiza wajibu wake serikali, mwishowe mtaita Wachina waendeshe JWTZ
Na Bakhresa anapiga kweli
Kuvuka ni 500/=
Mv magogoni na mv kigamboni vimefichwa baharini huko.
 
Nani kakwambia Serikali inashindwa?
Jisomee vizuri ujue maana ya PPP Mzee
PPP gani inayoongeza gharama ya maisha ya wananchi
Kabla hajapewa mzenji Bakhresa vivuko vitatu vilikuwa vinafanya kazi just fine..vilihujumiwa akapewa mzenji na na nauli kapandisha kutoka 200 hadi 500.
 
IMG-20250205-WA0108.jpg
 
Moja ya watu wanaotakiwa kufungwa na kuozea jela au kunyongwa ni huyu binadamu mwenzetu Kafulila...trick anayoitumia ya kutulaghai hakika inafanya kazi.
 
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo Cha Ubia nchini Tanzania PPPC Bw. David Kafulila amekaririwa akisema kuwa nia ya PPP ni kuvuta na kuvutia mitaji , Ufanisi pamoja na Teknolojia toka Sekta binafsi Popote Duniani.

Mkurugenzi huyo ametolea mfano faida za moja kwa moja za PPP nchini Tanzania ilizoanza kuzipata toka kwenye Vivuko vya Bakresa pamoja na Ufanisi wa kihistoria uliofikiwa na DP WORLD kwani kwa kipindi kifupi DP WORLD imetoa matokeo ambayo hayajawahi kufikiwa kwa miongo mingi iliyopita.

Kafulila anaendelea kwa kusema Serikali inaleta sekta binafsi kwaajili ya kuvuta teknolojia Kwakuwa Sekta binafsi ndio yenye teknolojia bora zaidi kuliko ile iliyoko Serikalini na huu ni utafiti kwa Dunia nzima.

Anaendelea kwa kusema, zile pesa za walipa Kodi ambazo Serikali ingeipatia TEMESA ili kununua Vivuko Sasa pesa hizo zitaelekezwa moja kwa moja kwenye Ujenzi wa miradi mingine muhimu kama vile shule, Zahati au vituo vya afya Kwakuwa Sasa huduma za Vivuko zinatolewa na Bakhresa kwa utaratibu wa Ubia na Serikali bila kutumia Senti moja ya Kodi Wala Mkopo wowote.

Tumia muda wako kupata madini toka kwa Kafulila.


View attachment 3224842



===

Anachokisema ni common sense. Ambacho hakisesemi is no common. Ndiyo mtego wenyewe na ndipo tutakapopigwa. In short, Private sector ina gharama zake.
 
PPP gani inayoongeza gharama ya maisha ya wananchi
Kabla hajapewa mzenji Bakhresa vivuko vitatu vilikuwa vinafanya kazi just fine..vilihujumiwa akapewa mzenji na na nauli kapandisha kutoka 200 hadi 500.
Vipi Kuhusu ubora wa huduma?
 
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo Cha Ubia nchini Tanzania PPPC Bw. David Kafulila amekaririwa akisema kuwa nia ya PPP ni kuvuta na kuvutia mitaji , Ufanisi pamoja na Teknolojia toka Sekta binafsi Popote Duniani.

Mkurugenzi huyo ametolea mfano faida za moja kwa moja za PPP nchini Tanzania ilizoanza kuzipata toka kwenye Vivuko vya Bakresa pamoja na Ufanisi wa kihistoria uliofikiwa na DP WORLD kwani kwa kipindi kifupi DP WORLD imetoa matokeo ambayo hayajawahi kufikiwa kwa miongo mingi iliyopita.

Kafulila anaendelea kwa kusema Serikali inaleta sekta binafsi kwaajili ya kuvuta teknolojia Kwakuwa Sekta binafsi ndio yenye teknolojia bora zaidi kuliko ile iliyoko Serikalini na huu ni utafiti kwa Dunia nzima.

Anaendelea kwa kusema, zile pesa za walipa Kodi ambazo Serikali ingeipatia TEMESA ili kununua Vivuko Sasa pesa hizo zitaelekezwa moja kwa moja kwenye Ujenzi wa miradi mingine muhimu kama vile shule, Zahati au vituo vya afya Kwakuwa Sasa huduma za Vivuko zinatolewa na Bakhresa kwa utaratibu wa Ubia na Serikali bila kutumia Senti moja ya Kodi Wala Mkopo wowote.

Tumia muda wako kupata madini toka kwa Kafulila.


View attachment 3224842



===
Kaziindelee tu
 
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo Cha Ubia nchini Tanzania PPPC Bw. David Kafulila amekaririwa akisema kuwa nia ya PPP ni kuvuta na kuvutia mitaji , Ufanisi pamoja na Teknolojia toka Sekta binafsi Popote Duniani.

Mkurugenzi huyo ametolea mfano faida za moja kwa moja za PPP nchini Tanzania ilizoanza kuzipata toka kwenye Vivuko vya Bakresa pamoja na Ufanisi wa kihistoria uliofikiwa na DP WORLD kwani kwa kipindi kifupi DP WORLD imetoa matokeo ambayo hayajawahi kufikiwa kwa miongo mingi iliyopita.

Kafulila anaendelea kwa kusema Serikali inaleta sekta binafsi kwaajili ya kuvuta teknolojia Kwakuwa Sekta binafsi ndio yenye teknolojia bora zaidi kuliko ile iliyoko Serikalini na huu ni utafiti kwa Dunia nzima.

Anaendelea kwa kusema, zile pesa za walipa Kodi ambazo Serikali ingeipatia TEMESA ili kununua Vivuko Sasa pesa hizo zitaelekezwa moja kwa moja kwenye Ujenzi wa miradi mingine muhimu kama vile shule, Zahati au vituo vya afya Kwakuwa Sasa huduma za Vivuko zinatolewa na Bakhresa kwa utaratibu wa Ubia na Serikali bila kutumia Senti moja ya Kodi Wala Mkopo wowote.

Tumia muda wako kupata madini toka kwa Kafulila.


View attachment 3224842



===
Mbona anapiga zogo tu, hayo mafanikio ya DP World yako wapi in numbers, na kiuwekezaji? Wameongeza kitu gani kipya?
 
Back
Top Bottom