Kafulila: Mafanikio ya Kihistoria ya Bandari chini ya DP World na Vivuko vya Bakresa ni mwanzo tu wa matunda ya PPP kwenye kujenga Uchumi wa kisasa

Kafulila: Mafanikio ya Kihistoria ya Bandari chini ya DP World na Vivuko vya Bakresa ni mwanzo tu wa matunda ya PPP kwenye kujenga Uchumi wa kisasa

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo Cha Ubia nchini Tanzania PPPC Bw. David Kafulila amekaririwa akisema kuwa nia ya PPP ni kuvuta na kuvutia mitaji , Ufanisi pamoja na Teknolojia toka Sekta binafsi Popote Duniani.

Mkurugenzi huyo ametolea mfano faida za moja kwa moja Tanzania ilizoanza kuzipata toka kwenye Vivuko vya Bakresa pamoja na Ufanisi wa kihistoria uliofikiwa na DP WORLD kwani kwa kipindi kifupi DP WORLD imetoa matokeo ambayo hayajawahi kufikiwa kwa miongo mingi iliyopita.

Kafulila anaendelea kwa kusema Serikali inaleta sekta binafsi kwaajili ya kuvuta teknolojia Kwakuwa Sekta binafsi ndio yenye teknolojia bora kuliko ile iliyoko Serikalini na huu ni utafiti kwa Dunia nzima.

Anaendelea kwa kusema, zile pesa za walipa Kodi ambazo Serikali ingeipatia TEMESA ili kununua Vivuko Sasa pesa hizo zitaelekezwa kwenye Ujenzi wa miradi mingine muhimu kama vile shule, Zahati au vituo vya afya Kwakuwa Sasa huduma za Vivuko zinatolewa na Bakhresa kwa utaratibu wa Ubia na Serikali bila kutumia Senti moja ya Kodi Wala Mkopo.

Tumia muda wako kupata madini toka kwa Kafulila.


View attachment 3224842



===
Nahitaji mjadala wa.wazi na Kafulila
 
Nimewahi waambia wanajisumbua Bure,wanavyozidi Kujitoa ufahamu ndio kwanza wanampa Nguvu na baraka.

Pinga Pinga wote kuanzia CCM na wale wa Upinzani hakuna hata mmja anaweza Kuna hapa na takwimu zozote zile na sekta yeyote akamshinda Samia Kwa ufanisi.

View: https://x.com/wizara_afyatz/status/1886753351720710436?t=3-_lqw2w8ewErxBRRrsWfQ&s=19

Mkataba wa DP world uliahidiwa kupelekwa bungeni kujadiliwa, Je tayari ushajadiliwa? Na kama bado haujapelekwa, nitaanzia wapi kusifia jambo hili hata kama limeleta matunda?

Yes! Rais Samia aweza kuwa yuko good sana lkn kwa nini yale ya kuwekwa wazi hataki yawe wazi?
 
Mkataba wa DP world uliahidiwa kupelekwa bungeni kujadiliwa, Je tayari ushajadiliwa? Na kama bado haujapelekwa, nitaanzia wapi kusifia jambo hili hata kama limeleta matunda?

Yes! Rais Samia aweza kuwa yuko good sana lkn kwa nini yale ya kuwekwa wazi hataki yawe wazi?
Nijuavyo mimi ulipelekwa ila Kwakuwa ni Bunge hamlisikiliza ndio sababu ya swali lako
 
Kwenye bandari hata Mimi naungana na Kafulila
Palikuwa na urasimu sana pale ila Leo kwakweli acha Samia aongoze tu hata kama mpaka 2035 ni sawa tu
Ni kweli ila wasomi watanzania waliopewa walikuwa na tatizo gani?

Kwa sababu walishindwaje kufikia lengo ,au ndiyo Yale ya kufanya kazi kwa mazoea

Bakhresa ana timu ya watu wataalamu ni sehemu ya wafanyakazi wake ...Inawakuwaje serikali Ina watu lakini wanashindwa wanakuja kusifia private?
 
Ni kweli ila wasomi watanzania waliopewa walikuwa na tatizo gani?

Kwa sababu walishindwaje kufikia lengo ,au ndiyo Yale ya kufanya kazi kwa mazoea

Bakhresa ana timu ya watu wataalamu ni sehemu ya wafanyakazi wake ...Inawakuwaje serikali Ina watu lakini wanashindwa wanakuja kusifia private?
Tatizo la Watanzania sisi ni majizi kwa asili,
Zamani watu wa Bandari walikuwa na majina sana mjini lakini kumbe walikuwa wanashindana kwa kutuibia sisi Watanzania,

Acha Wageni watunyooshe tumezidi ujinga na wizi wa Mali zetu wenyewe
 
Tatizo la Watanzania sisi ni majizi kwa asili,
Zamani watu wa Bandari walikuwa na majina sana mjini lakini kumbe walikuwa wanashindana kwa kutuibia sisi Watanzania,

Acha Wageni watunyooshe tumezidi ujinga na wizi wa Mali zetu wenyewe
Sema baadhi ya Watanzania sio Watanzania wote ni wezi
 
Mkataba wa DP world uliahidiwa kupelekwa bungeni kujadiliwa, Je tayari ushajadiliwa? Na kama bado haujapelekwa, nitaanzia wapi kusifia jambo hili hata kama limeleta matunda?

Yes! Rais Samia aweza kuwa yuko good sana lkn kwa nini yale ya kuwekwa wazi hataki yawe wazi?
Mkataba gani mwingine wowote umewahi pelekwa Bungeni kujadiliwa? Mkataba ni Siri
 
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo Cha Ubia nchini Tanzania PPPC Bw. David Kafulila amekaririwa akisema kuwa nia ya PPP ni kuvuta na kuvutia mitaji , Ufanisi pamoja na Teknolojia toka Sekta binafsi Popote Duniani.

Mkurugenzi huyo ametolea mfano faida za moja kwa moja za PPP nchini Tanzania ilizoanza kuzipata toka kwenye Vivuko vya Bakresa pamoja na Ufanisi wa kihistoria uliofikiwa na DP WORLD kwani kwa kipindi kifupi DP WORLD imetoa matokeo ambayo hayajawahi kufikiwa kwa miongo mingi iliyopita.

Kafulila anaendelea kwa kusema Serikali inaleta sekta binafsi kwaajili ya kuvuta teknolojia Kwakuwa Sekta binafsi ndio yenye teknolojia bora zaidi kuliko ile iliyoko Serikalini na huu ni utafiti kwa Dunia nzima.

Anaendelea kwa kusema, zile pesa za walipa Kodi ambazo Serikali ingeipatia TEMESA ili kununua Vivuko Sasa pesa hizo zitaelekezwa moja kwa moja kwenye Ujenzi wa miradi mingine muhimu kama vile shule, Zahati au vituo vya afya Kwakuwa Sasa huduma za Vivuko zinatolewa na Bakhresa kwa utaratibu wa Ubia na Serikali bila kutumia Senti moja ya Kodi Wala Mkopo wowote.

Tumia muda wako kupata madini toka kwa Kafulila.


View attachment 3224842



===
Hivo Vivuko Viko we wapi?
 
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo Cha Ubia nchini Tanzania PPPC Bw. David Kafulila amekaririwa akisema kuwa nia ya PPP ni kuvuta na kuvutia mitaji , Ufanisi pamoja na Teknolojia toka Sekta binafsi Popote Duniani.

Mkurugenzi huyo ametolea mfano faida za moja kwa moja za PPP nchini Tanzania ilizoanza kuzipata toka kwenye Vivuko vya Bakresa pamoja na Ufanisi wa kihistoria uliofikiwa na DP WORLD kwani kwa kipindi kifupi DP WORLD imetoa matokeo ambayo hayajawahi kufikiwa kwa miongo mingi iliyopita.

Kafulila anaendelea kwa kusema Serikali inaleta sekta binafsi kwaajili ya kuvuta teknolojia Kwakuwa Sekta binafsi ndio yenye teknolojia bora zaidi kuliko ile iliyoko Serikalini na huu ni utafiti kwa Dunia nzima.

Anaendelea kwa kusema, zile pesa za walipa Kodi ambazo Serikali ingeipatia TEMESA ili kununua Vivuko Sasa pesa hizo zitaelekezwa moja kwa moja kwenye Ujenzi wa miradi mingine muhimu kama vile shule, Zahati au vituo vya afya Kwakuwa Sasa huduma za Vivuko zinatolewa na Bakhresa kwa utaratibu wa Ubia na Serikali bila kutumia Senti moja ya Kodi Wala Mkopo wowote.

Tumia muda wako kupata madini toka kwa Kafulila.


View attachment 3224842



===
Kafulila anatufungua sana macho namwomba akagpmbee ubunge
 
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo Cha Ubia nchini Tanzania PPPC Bw. David Kafulila amekaririwa akisema kuwa nia ya PPP ni kuvuta na kuvutia mitaji , Ufanisi pamoja na Teknolojia toka Sekta binafsi Popote Duniani.

Mkurugenzi huyo ametolea mfano faida za moja kwa moja za PPP nchini Tanzania ilizoanza kuzipata toka kwenye Vivuko vya Bakresa pamoja na Ufanisi wa kihistoria uliofikiwa na DP WORLD kwani kwa kipindi kifupi DP WORLD imetoa matokeo ambayo hayajawahi kufikiwa kwa miongo mingi iliyopita.

Kafulila anaendelea kwa kusema Serikali inaleta sekta binafsi kwaajili ya kuvuta teknolojia Kwakuwa Sekta binafsi ndio yenye teknolojia bora zaidi kuliko ile iliyoko Serikalini na huu ni utafiti kwa Dunia nzima.

Anaendelea kwa kusema, zile pesa za walipa Kodi ambazo Serikali ingeipatia TEMESA ili kununua Vivuko Sasa pesa hizo zitaelekezwa moja kwa moja kwenye Ujenzi wa miradi mingine muhimu kama vile shule, Zahati au vituo vya afya Kwakuwa Sasa huduma za Vivuko zinatolewa na Bakhresa kwa utaratibu wa Ubia na Serikali bila kutumia Senti moja ya Kodi Wala Mkopo wowote.

Tumia muda wako kupata madini toka kwa Kafulila.


View attachment 3224842



===
Kafulila sio Raia
 
Kwenye Vivuko nampongeza sana Kafulila Sasa ni kama Ulaya
Mv Magogoni na Mv Kigamboni vimehujumiwa ili mzenji mwenzetu Bakhresa apige hela
Vivuko vyake ni 500/=
Wakati vivuko vyote vitatu vinafanya kazi hakukuwa na shida..
Pale feri ni ufisadi unaohitaji special audit.
 
Back
Top Bottom