Kafulila: Rais Mkapa alijutia kuiua PSRC Parastatal Sector Reform Commission, PPP haiuzi Mali za Umma bali inazilinda kwa kipindi chote cha mkataba

Nashukuru

Kafulila yuko sahihi kabisa ila kwa Culture ya Watanzania ni Heri uimarishe sekta binafsi Ili upate Kodi kuliko hii PPP yenye mchanganyiko

Mifano ni TBL na Sigara πŸ˜„πŸ˜„
Tatizo ni hizo sekta binafsi zinazoomba ruzuku serikalini ili kujiendesha sijui kama kweli zitalipa hiyo Kodi
 
Toa mifano ya hiyo Miradi ya PPP ambayo Serikali ilishawahi kuingia ubia na sekta Binafsi ili tuongee kwa mifano.
 
Nashukuru

Kafulila yuko sahihi kabisa ila kwa Culture ya Watanzania ni Heri uimarishe sekta binafsi Ili upate Kodi kuliko hii PPP yenye mchanganyiko

Mifano ni TBL na Sigara πŸ˜„πŸ˜„
Sekta binafsi si ndo sasa inaimarishwa kupitia huu mfumo wa PPP au wewe ulitaka sekta binafsi iimarishwe Kwa namna gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…