Kafulila: Rais Mkapa alijutia kuiua PSRC Parastatal Sector Reform Commission, PPP haiuzi Mali za Umma bali inazilinda kwa kipindi chote cha mkataba

Namwelewa sana Kafulila ni Bora akagombee ubunge akalisaidie Bunge
 
Navutiwa sana na staili ya kiuongozi ya David, umma wa Watanzania unataka majibu tu Wala sio pesa kama wengi wanavyofikiria.
Haka kanyani kanapiga tu porojo endelenii kuuza mali za umma na mikataba ya ovyo ya PPP kama wa DP World
 
Nakazia hapa, mzee afanye yake aondoke aache kuwa dalali..
 
Hii mada ni kubwa sana ila Kwa ujinga wa wabonge hawataweza kuipa nguvu kabisa
 
Kafulila anapambana sana jambo mambo ya nchi hii ni magumu by nature
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…