Kafulila: Rais Samia kuongoza mwelekeo wa Tanzania ya miaka 25 ijayo baada ya ile 25 ya Mkapa kukamilika

Ile dira ya kuwalipa mashkeikh na Wachungaji laki tisa kila mwezi na kwamba azam tv wapunguze bei ya ving'amuzi ndio dira bora duniani?
 
Ile dira ya kuwalipa mashkeikh na Wachungaji laki tisa kila mwezi na kwamba azam tv wapunguze bei ya ving'amuzi ndio dira bora duniani?
Hilo la kuwalipa mashekh lipo ukurasa wa ngapi maana nimesoma Dira yote sijaona hayo
 
Mbona hao chadema wanaunga mkono harakati za mpina wa ccm iweje wamkatae huyo kafulila?
Kafulila anawapiga za uso, agenda zao nyingi zimekufa kifo Cha kawaida kabisa baada ya Interview zake

Hasa deni la Taifa
 
Kafulila anawapiga za uso, agenda zao nyingi zimekufa kifo Cha kawaida kabisa baada ya Interview zake

Hasa deni la Taifa
Kiongozi mzuri ni yule anae simamia maslahi ya wananchi kupigana vijembe vya kisiasa haituhusu sisi kama wananchi .
 
 

Attachments

  • 1edaac7a3e34dc7dbc36bb899a6e6430_1738702701936.mp4
    5.4 MB
Tanzania ina,
1. Lissu,
2. Zitto
3. Kafulila
4. Heche
5. Polepole
 
Huyu tumbili kila siku anatafuta airtime humu na mada zake zisizoeleweka lkn watu wamempuuza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…