Kafulila: Rais Samia Suluhu kusuka upya mfumo wa Elimu ya Tanzania ni zaidi ya Uamuzi muhimu wowote uliowahi kufanyika baada ya Uhuru

Kafulila: Rais Samia Suluhu kusuka upya mfumo wa Elimu ya Tanzania ni zaidi ya Uamuzi muhimu wowote uliowahi kufanyika baada ya Uhuru

Kafulilqa utashindwa hadi kusomesha wanao kwa kushinda ktk mitandao kuendekeza uchawa!
Tafuta kazi ya kufanya hata ukulima wa vitunguu maji utakuwa na manufaa kuliko uchawa !
 
Kafulilqa utashindwa hadi kusomesha wanao kwa kushinda ktk mitandao kuendekeza uchawa!
Tafuta kazi ya kufanya hata ukulima wa vitunguu maji utakuwa na manufaa kuliko uchawa !
A true politician is always visible in national politics. Hata akistaafu akawa nyumban😂
 
S

Sasa Kama anarekodi nzuri mbona alitemwa ,Tena siku anatemwa aliambiwa maneno makali na mtumbuaji.
Mwanasiasa hawezi kusema anafanya maisha yake na kwamba hataki kushiriki/ comment on national agenda.

Mtumbuaji alisemaje?
 
Madini gani? Kwanza mabadiliko yenyewe ni kuondoa elimu ya msingi.
Ndio maana hata akiwa RAS ata comment on politics 😂

Akiwa RC ata comment on politics

Akiwa hana nafasi yoyote ata comment politics.
Huyu ndio mwanasiasa David Kafulila
 
Kafulila mwenyewe katokea CHADEMA.
Lazima atoke Huyu ni mtu serious Sana,

Huwezi kuvumilia upigaji ule,


Alifika Simiyu ndani ya wiki1 akakuta kampuni ya kimataifa ya CHICCO imejenga Barabara ya 75bn lkn chini ya kiwango na inataka kukabidhi , akairudisha ianze upya. Mmesikia wapi kitu kama tena? Na kabla yake kulikuwa na RC😎
 
Kafulila mwenyewe katokea CHADEMA.
Hata Silinde,Mollel,Mbunge wa Babati na wengine wengi waliona huko ni miyeyusho wakawakacha..

Hata Mimi nilikuwa huko Chadomo zamani na yule mlevi wa Tarime nimewakacha baada ya kuona huko Ni zidumu fikra sahihi za Mwenyekiti 😆😆.

CCM Kuna Makundi na Kuna kunyukana ila kundi likishindwa linaunga mkono walioshinda full stop sio kufukuzana kindezi Kama huko Chadomo.
 
Mwanasiasa hawezi kusema anafanya maisha yake na kwamba hataki kushiriki/ comment on national agenda.

Mtumbuaji alisemaje?

Kumbe hukusikiliza hotuba wakati wa kuwaapisha wakuu wa mikoa wapya?. Alisema Kuna wakuu wa mikoa wanajifanya miamba ndio maana kawatema. Tena alitemwa akiwa safarini Dodoma.
 
Ndio maana hata akiwa RAS ata comment on politics 😂

Akiwa RC ata comment on politics

Akiwa hana nafasi yoyote ata comment politics.
Huyu ndio mwanasiasa David Kafulila

Na ndio maana akatemwa kwa sababu hiyo.
 
Back
Top Bottom