Kafulila: Rais Samia Suluhu kusuka upya mfumo wa Elimu ya Tanzania ni zaidi ya Uamuzi muhimu wowote uliowahi kufanyika baada ya Uhuru

Kafulila: Rais Samia Suluhu kusuka upya mfumo wa Elimu ya Tanzania ni zaidi ya Uamuzi muhimu wowote uliowahi kufanyika baada ya Uhuru

Mama, hebu mgeukia kijana wako hali ni mbaya huku mtaani, sisi wengine tushazoea.
 
Je huo Mfumo wa Elimu inasukwqje?
Nasoma mipasho tu huku, mbali zaidi hata seniors wanaandika ngongera
Unafumuliwa na kupangwa upya from the grass root to the top,

Elimu ijielekeze zaidi kwa vijana kujiajiri sio kutegemea kuajiriwa kama ilivyo sasa
 
Huu ni mwendelezo wa Kafulila kuendelea kusaka uteuzi upya baada ya kutimuliwa kule Simiyu kwa upigaji na ufitini. Uchawa umemharibu mnoo Kafulila.

Pole sana Kafulila. CCM ni mafisi hawapendi kujichanganya na ngedere.


Tangu lini wa Kigoma wakawa na msimamo hadi waaminike? Wanayumba sana hawa watu japo wanajitahidi kuwa na ufahamu wa mambo but njaa yao imewazidi.

Kafulila ni Babalevo aliyechangamka
 
Huu ni mwendelezo wa Kafulila kuendelea kusaka uteuzi upya baada ya kutimuliwa kule Simiyu kwa upigaji na ufitini. Uchawa umemharibu mnoo Kafulila.

Pole sana Kafulila. CCM ni mafisi hawapendi kujichanganya na ngedere.


Tangu lini wa Kigoma wakawa na msimamo hadi waaminike? Wanayumba sana hawa watu japo wanajitahidi kuwa na ufahamu wa mambo but njaa yao imewazidi.

Kafulila ni Babalevo aliyechangamka
Kafulila amegundua kisifu na kuabudu baada ya kutemwa. Atafute mradi wa kujikimu, afanye kazi na kulipa kodi.

Kuna maisha baada ya siasa.
Babalevo aliyechangamka huyu Kafulila
 
Tangu lini wa Kigoma wakawa na msimamo hadi waaminike? Wanayumba sana hawa watu japo wanajitahidi kuwa na ufahamu wa mambo but njaa yao imewazidi.

Kafulila ni Babalevo aliyechangamka

Babalevo aliyechangamka huyu Kafulila
Kafulila anawatesa sana aise
 
===
Hiki ndicho alichoandika aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe David Zacharia Kafulila katika kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan katika Sekta ya Elimu na walimu,

Leo, Nchi yetu Kuna baadhi ya maeneo bado hatufanyi vizuri Kutokana na aina ya nguvu kazi tuliyonayo kama Taifa,

Kama Taifa, kunabaadhi ya Sehemu tunapata hasara na sababu ikiwa ni aina ya watu tulionao katika Maeneo na nyanja hizo za kiutendaji,

Lazima tukubali Rais Samia Suluhu Hassan ndio mtu anayefuatilia kwa karibu Sana sababu ya Sisi Tanzania kuendelea kuwa masikini regardless utajiri mkubwa tulionao kama Taifa,

#SamiaRoadto2025|30 View attachment 2419093
Kafulila atawatoa roho Anti Samia,
 
===
Hiki ndicho alichoandika aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe David Zacharia Kafulila katika kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan katika Sekta ya Elimu na walimu,

Leo, Nchi yetu Kuna baadhi ya maeneo bado hatufanyi vizuri Kutokana na aina ya nguvu kazi tuliyonayo kama Taifa,

Kama Taifa, kunabaadhi ya Sehemu tunapata hasara na sababu ikiwa ni aina ya watu tulionao katika Maeneo na nyanja hizo za kiutendaji,

Lazima tukubali Rais Samia Suluhu Hassan ndio mtu anayefuatilia kwa karibu Sana sababu ya Sisi Tanzania kuendelea kuwa masikini regardless utajiri mkubwa tulionao kama Taifa,

#SamiaRoadto2025|30 View attachment 2419093
Zuhura Kafulila Ngedere Yunus aliyechangamka.
 
Back
Top Bottom