Kafulila: Sera ya UBWABWA ya CHAUMA na Mzee Hashimu Rungwe iingizwe kwenye Dira yetu ya Taifa ya Maendeleo ya 2025-2050 na sababu ni hizi…

Kafulila: Sera ya UBWABWA ya CHAUMA na Mzee Hashimu Rungwe iingizwe kwenye Dira yetu ya Taifa ya Maendeleo ya 2025-2050 na sababu ni hizi…

CM 1774858

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2021
Posts
5,621
Reaction score
5,029
IMG-20241217-WA0171.jpg

IMG-20241218-WA0022.jpg

===
Hatimaye sera za mzee Hashimu Rungwe Sipunda wa chama cha CHAUMA zaanza kupata utetezi wa kisayansi polepole baada ya miaka kumi kupita ( 10 )

Leo tutamuangazia Mkurugenzi Mkuu wa kituo Ubia nchini PPPC Bw David KAFULILA katika moja ya tweete zake huko tweeter X.

Mkurugenzi Kafulila anasema kama Taifa katika mwelekeo wetu mpya wa miaka 25 ijayo ni vema tukaangalia uwezekano wa kuchukua sera nzuri ya Nutritional basics maarufu kama Sera ya UBWABWA mashuleni iliyoasisiwa na mgombea wa Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 toka Chama Cha Ukombozi wa Umma Wakili Msomi Hashimu Rungwe Sipunda.

Cde Kafulila anaonesha tatizo la Utapiamlo duniani na Tanzània ikiwemo ni kubwa pamoja na yote linaigharimu dunia mabilioni ya Shilingi katika kupambana nalo akitolea mfano kuwa mpaka mwaka 2025 zaidi ya $18bn ambazo ni zaidi ya TZS 45 Trilioni zitatumika kupambana na Utapiamlo duniani Tanzania yetu ikiwemo.

Bila kujali hoja hii imetoka Upinzani au chama rafiki bado ni hoja mtambuka kwa Ustawi wa Taifa letu na Watanzania wa leo na kesho kwenye hili nampa Kafulila kongole nyingi kwa wivu wake mkubwa juu ya maisha ya Watanzania hasa watoto wanaotoka kwenye familia duni.

IMG-20241226-WA0006.jpg
 
Kwamba Ubwabwa ndio nutrition ? Na Sera ya Ubwabwa ndio ipi ? Yaani hii nchi ina vituko sana na maigizo ndio mpango mzima..., yaani kila siku wanaangalia script mpya...; Kwamba chakula Nutritional (Balanced Diet) ni kuongeza Wanga (Ubwabwa) ? Au kwa ufupi Sera hii Inasemaje ?

Yaani katika nchi ambayo ina kila kitu yet kuna watu hawana hata milo miwili let alone mitatu (kwa kukosa ujira) mnaanza kuleta story za Ubwabwa badala ya kuhakikisha watu wana disposable income ya kuweza kujinunulia Samaki ?

 
Kafulila anasema kama Taifa katika mwelekeo wetu mpya wa miaka 25 ijayo ni vema tukaangalia uwezekano ya kuchukua sera ya Nutritional basics maarufu kama Sera ya UBWABWA mashuleni iliyoasisiwa na Mgombea wa Urais wa chama Cha CHAUMA Wakili Msomi Hashimu Rungwe Shifunda katika Uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.
Soon watamuengua akaungane naye Mzee wa Ubwabwa
 
View attachment 3179311

Hatimaye Sera za Mzee Hashimu Rungwe na CHAUMA zaanza kupata utetezi wa Kisayansi polepole na leo tunamuangaziq Mkurugenzi wa kituo cha PPPC Bw David KAFULILA.

Kafulila anasema kama Taifa katika mwelekeo wetu mpya wa miaka 25 ijayo ni vema tukaangalia uwezekano ya kuchukua sera ya Nutritional basics maarufu kama Sera ya UBWABWA mashuleni iliyoasisiwa na Mgombea wa Urais wa chama Cha CHAUMA Wakili Msomi Hashimu Rungwe Shifunda katika Uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.

Kafulila anaonesha tatizo la Utapiamlo duniani na Tanzània ikiwemo ni kubwa na linaigharimu Dunia mabilioni ya Shilingi katika kupambana nalo akitolea mfano kuwa mpaka mwaka 2025 zaidi ya $18bn zaidi ya TZS 45 Trilioni zitatumika kupambana na Utapiamlo duniani.l Tanzania ikiwemo.
Sio UBWABWA tu wapewe na maziwa fresh
 
View attachment 3179311
View attachment 3179318
Hatimaye Sera za Mzee Hashimu Rungwe na CHAUMA zaanza kupata utetezi wa Kisayansi polepole na leo tunamuangaziq Mkurugenzi wa kituo cha PPPC Bw David KAFULILA.

Kafulila anasema kama Taifa katika mwelekeo wetu mpya wa miaka 25 ijayo ni vema tukaangalia uwezekano ya kuchukua sera ya Nutritional basics maarufu kama Sera ya UBWABWA mashuleni iliyoasisiwa na Mgombea wa Urais wa chama Cha CHAUMA Wakili Msomi Hashimu Rungwe Shifunda katika Uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.

Kafulila anaonesha tatizo la Utapiamlo duniani na Tanzània ikiwemo ni kubwa na linaigharimu Dunia mabilioni ya Shilingi katika kupambana nalo akitolea mfano kuwa mpaka mwaka 2025 zaidi ya $18bn zaidi ya TZS 45 Trilioni zitatumika kupambana na Utapiamlo duniani.l Tanzania ikiwemo.

View attachment 3179316
Starch siyo good picture ya lishe
 
Kwamba Ubwabwa ndio nutrition ? Na Sera ya Ubwabwa ndio ipi ? Yaani hii nchi ina vituko sana na maigizo ndio mpango mzima..., yaani kila siku wanaangalia script mpya...; Kwamba chakula Nutritional (Balanced Diet) ni kuongeza Wanga (Ubwabwa) ? Au kwa ufupi Sera hii Inasemaje ?

Yaani katika nchi ambayo ina kila kitu yet kuna watu hawana hata milo miwili let alone mitatu (kwa kukosa ujira) mnaanza kuleta story za Ubwabwa badala ya kuhakikisha watu wana disposable income ya kuweza kujinunulia Samaki ?

Nadhani hujamwelewa vizuri Kafulila,

Yeye anatoa mapendekezo swala la mlo kamili kwa watoto wetu hasa wa shule lizimgatiwe kwenye Dira ya Taifa,

Hii haiondoi ukweli kwamba kuelekea 2050 kipato cha kila Mtanzania kitakuwa juu sana,

Mungu ibariki Tanzania,
 
Nadhani hujamwelewa vizuri Kafulila,
Wont be the first time nor the last kama ndio hizi sound za kipopraganda na ki dalali anazotembea nazo
Yeye anatoa mapendekezo swala la mlo kamili kwa watoto wetu hasa wa shule lizimgatiwe kwenye Dira ya Taifa,
Wont be the first time kuna kipindi shule zote za serikali mpaka day watu walikuwa wanakunywa chai na chakula mchana plus tunda na hapo ni kwa kutoa kiasi cha Tshs 5000/= kwa mwaka (yaani hio ndio ADA) hakuna mchango mwingine wowote kila kitu kinapatikana kutokana na kodi zetu (na hapo ni kipindi ambacho makusanyo yalikuwa machache kuliko sasa na Serikali ilitoa Huduma zaidi ya Sasa)

Hii haiondoi ukweli kwamba kuelekea 2050 kipato cha kila Mtanzania kitakuwa juu sana,

Mungu ibariki Tanzania,
Kitakuwa juu kutokea wapi ? Wakati sasa hivi hata zile chache ambazo anazo watu wanafanya upuuzi kwa kukamua mwananchi na kuleta story za alinacha...; Kesi in Point issue ya Nishati Safi ya kupikia kwanini tunamrubuni mwananchi kwa kukataza kuni na kumpa mitungi ya gesi badala ya kutumia Umeme ?

 
View attachment 3179311
View attachment 3179318
===
Hatimaye sera za mzee Hashimu Rungwe Shifunda wa Chama Cha Umma (CHAUMA) zaanza kupata utetezi wa kisayansi polepole baada ya miaka kumi kupita ( 10 ) leo tutamuangazia Mkurugenzi wa kituo Ubia nchini PPPC Bw David KAFULILA katika moja ya tweete zake huko X.

Kafulila anasema kama Taifa katika mwelekeo wetu mpya wa miaka 25 ijayo ni vema tukaangalia uwezekano wa kuchukua sera nzuri ya Nutritional basics maarufu kama Sera ya UBWABWA mashuleni iliyoasisiwa na mgombea wa Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 toka Chama Cha UMMA Wakili Msomi Hashimu Rungwe Shifunda.

Kafulila anaonesha tatizo la Utapiamlo duniani na Tanzània ikiwemo ni kubwa pamoja na yote linaigharimu dunia mabilioni ya Shilingi katika kupambana nalo akitolea mfano kuwa mpaka mwaka 2025 zaidi ya $18bn ambazo ni zaidi ya TZS 45 Trilioni zitatumika kupambana na Utapiamlo duniani na Tanzania ikiwemo.

Bila kujali hoja hii imetoka Upinzani au chama rafiki bado ni hoja mtambuka kwa Ustawi wa Tanzania na Watanzania wa leo na kesho kwenye hili nampa Kafulila kongole nyingi kwa wivu wake mkubwa juu ya Maisha ya Watanzania hasa watoto wanaotoka kwenye familia duni.

View attachment 3179316
Najuaga Hashimu Rungwe comedian tu kumbe ni serious kabisa huyu mtu
 
Wont be the first time nor the last kama ndio hizi sound za kipopraganda na ki dalali anazotembea nazo

Wont be the first time kuna kipindi shule zote za serikali mpaka day watu walikuwa wanakunywa chai na chakula mchana plus tunda na hapo ni kwa kutoa kiasi cha Tshs 5000/= kwa mwaka (yaani hio ndio ADA) hakuna mchango mwingine wowote kila kitu kinapatikana kutokana na kodi zetu (na hapo ni kipindi ambacho makusanyo yalikuwa machache kuliko sasa na Serikali ilitoa Huduma zaidi ya Sasa)


Kitakuwa juu kutokea wapi ? Wakati sasa hivi hata zile chache ambazo anazo watu wanafanya upuuzi kwa kukamua mwananchi na kuleta story za alinacha...; Kesi in Point issue ya Nishati Safi ya kupikia kwanini tunamrubuni mwananchi kwa kukataza kuni na kumpa mitungi ya gesi badala ya kutumia Umeme ?

Mkuu unalalamika sana,

Sijui kama huoni juhudi kubwa na nzuri zinazofanywa na Serikali yako,

Kuhusu hiyo ADA ya elfu 5,000 kwaajili ya chakula Mimi Sina kumbukumbu nayo ni kipindi gani l,
===
lakini hata hivyo Leo kila shule ya msingi Kuna chakula Cha mchana na uji asubuhi,
 
View attachment 3179311
View attachment 3179318
===
Hatimaye sera za mzee Hashimu Rungwe Shifunda wa Chama Cha Umma (CHAUMA) zaanza kupata utetezi wa kisayansi polepole baada ya miaka kumi kupita ( 10 ) leo tutamuangazia Mkurugenzi wa kituo Ubia nchini PPPC Bw David KAFULILA katika moja ya tweete zake huko X.

Kafulila anasema kama Taifa katika mwelekeo wetu mpya wa miaka 25 ijayo ni vema tukaangalia uwezekano wa kuchukua sera nzuri ya Nutritional basics maarufu kama Sera ya UBWABWA mashuleni iliyoasisiwa na mgombea wa Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 toka Chama Cha UMMA Wakili Msomi Hashimu Rungwe Shifunda.

Kafulila anaonesha tatizo la Utapiamlo duniani na Tanzània ikiwemo ni kubwa pamoja na yote linaigharimu dunia mabilioni ya Shilingi katika kupambana nalo akitolea mfano kuwa mpaka mwaka 2025 zaidi ya $18bn ambazo ni zaidi ya TZS 45 Trilioni zitatumika kupambana na Utapiamlo duniani na Tanzania ikiwemo.

Bila kujali hoja hii imetoka Upinzani au chama rafiki bado ni hoja mtambuka kwa Ustawi wa Tanzania na Watanzania wa leo na kesho kwenye hili nampa Kafulila kongole nyingi kwa wivu wake mkubwa juu ya Maisha ya Watanzania hasa watoto wanaotoka kwenye familia duni.

View attachment 3179316
😂😂😂ivi ule ubwabwa ulikuwa unaiva viburi
 
Mkuu unalalamika sana,
Kama mlipa Kodi nadhani hata haya malalamiko ni machache hivyo sifanyi my civic duty, ni kipofu pekee au mtu asiyejua mifumo inavyotakiwa kufanya kazi au mtu mediocre ndio anaweza kuridhika na status quo...
Sijui kama huoni juhudi kubwa na nzuri zinazofanywa na Serikali yako,
Yaani return ya Kodi zetu inasoma minus hakuna kinachofanyika ni kuzidi kurudi nyuma afadhali tungekuwa tunapiga mark time.., ila ni kwamba tunarudi nyuma na upuuzi unaofanyika leo ndio utalicost taifa miaka ijayo

Kuhusu hiyo ADA ya elfu 5,000 kwaajili ya chakula Mimi Sina kumbukumbu nayo ni kipindi gani l,
Sio zamani kihivyo uliza watu wote waliosoma miaka ya tisini tu hapa Shule za Serikali tena hata Day.., Tambaza, Azania, Pamba, Mwanza Secondary na nyingine zote walikuwa wanatoa ADA kiasi gani kwa mwaka na walikuwa wanapewa nini (Tena hio ilipanda) uliza Babu zako ambao walikuwa wanasomeshwa from Primary mpaka Chuo Kikuu na kupewa Boom let alone leo hii mtu hata mkopo (SIO GRANT) hapewi....
===
lakini hata hivyo Leo kila shule ya msingi Kuna chakula Cha mchana na uji asubuhi,
Moja unaji contradict ingawa unalosema sio kweli kama lingekuwa kweli sasa hio so called Sera ya Ubwabwa ni ya nini kama tayari kuna Uji na Chakula ? Au unataka wafute Uji wawape Ubwabwa..., Pili hizo shule sasa hivi kuna michango kiasi gani ? Yaani kipindi cha mapato machache na sasa hivi mapato lukuki huduma zimepungua au zimeongezeka ?
 
Back
Top Bottom