Mngemkaba kudai kinguvu fedha zake alizopata toka kwa wale wafanya biashara alioingia nao makubaliano na kuweka muhuri wake.Mama gani?
Hashimu Rungwe ni mwana CCM mwenzetu hufahamu?
Nadhani Kuna kitu unatakiwa kukifahamu vizuri,Kama mlipa Kodi nadhani hata haya malalamiko ni machache hivyo sifanyi my civic duty, ni kipofu pekee au mtu asiyejua mifumo inavyotakiwa kufanya kazi au mtu mediocre ndio anaweza kuridhika na status quo...
Yaani return ya Kodi zetu inasoma minus hakuna kinachofanyika ni kuzidi kurudi nyuma afadhali tungekuwa tunapiga mark time.., ila ni kwamba tunarudi nyuma na upuuzi unaofanyika leo ndio utalicost taifa miaka ijayo
Ustawi wa Jamii: Tunajiandaa Vipi na Kuzuia Wimbi la Wazee Ombaomba wa Kesho ?
Wahenga walisea Mchumia Juani Hulia Kivulini; Ila nadhani hawaku-consider kama cha kuchuma hakipo inakuwaje...; Baba wa Taifa alisema katika Hotuba ya TANU (ambayo ndio Baba wa huyu CCM anayetawala Leo) CHAMA CHETU KINASEMA - mtu mwenye Afya ambaye tumeshindwa kumpa njia halali ya kujipatia...www.jamiiforums.com
Sio zamani kihivyo uliza watu wote waliosoma miaka ya tisini tu hapa Shule za Serikali tena hata Day.., Tambaza, Azania, Pamba, Mwanza Secondary na nyingine zote walikuwa wanatoa ADA kiasi gani kwa mwaka na walikuwa wanapewa nini (Tena hio ilipanda) uliza Babu zako ambao walikuwa wanasomeshwa from Primary mpaka Chuo Kikuu na kupewa Boom let alone leo hii mtu hata mkopo (SIO GRANT) hapewi....
Moja unaji contradict ingawa unalosema sio kweli kama lingekuwa kweli sasa hio so called Sera ya Ubwabwa ni ya nini kama tayari kuna Uji na Chakula ? Au unataka wafute Uji wawape Ubwabwa..., Pili hizo shule sasa hivi kuna michango kiasi gani ? Yaani kipindi cha mapato machache na sasa hivi mapato lukuki huduma zimepungua au zimeongezeka ?
Hapana dawa ya deni ni kulipa tuMngemkaba kudai kinguvu fedha zake alizopata toka kwa wale wafanya biashara alioingia nao makubaliano na kuweka muhuri wake.
Mwisho mkataka kumbambika na kesi.
CCM ni hopeless kabisa.
Na Amekuwa akiwaita "Majizi"
Man of the countryHashimu Rungwe Sipunda
Umeeleweka viburi cde,Nadhani Kuna kitu unatakiwa kukifahamu vizuri,
Kwanza, Ufahamu kuwa Dira ni msingi hivyo hata kama Leo uji upo lakini je ni sera ya Taifa au ni mawazo ya mtu mmoja,
Tunachokihitaji jambo hili jema liwe kama Sheria kwa yeyote atakayeongoza Taifa hili,
Leo Serikali ya CCM inatoa Elimu Bora Bure Sasa kwanini usione nia njema ya Kodi zako unazolipa?
CHADEMA hawafahamu hiiUmeeleweka viburi cde,
Elimu ni Bure Chekechea mpaka kidato cha sita.
Pamoja na kufahamu hayo ninafahamu pia kwa mlipa Kodi kuna mambo ambayo anatakiwa apate kutokana na kodi yake na sasa hivi Matozo yamekuwa mengi bila value for money zaidi ya kulishwa propaganda na watu kuwa madalali na machawa tu..., Busy Talking the Talk.....Nadhani Kuna kitu unatakiwa kukifahamu vizuri,
Kwamba mpaka leo hatuna DIRA theoretically ? (Sababu practically hatuna ndio maana kila siku kila anayeamka anakuja na ngonjera zake na kuleta vitu abstract wala visivyoeleweka).., Issue sio kuwa na maandiko mazuri bali issue ni kufanyia kazi vilivyopo na kuvifanya...Kwanza, Ufahamu kuwa Dira ni msingi hivyo hata kama Leo uji upo lakini je ni sera ya Taifa au ni mawazo ya mtu mmoja,
Sheria ? Sheria ambazo zinavunjwa kila dakika (kwahio hata ukisema liwe kama sheria wakati kuna vitu vipo wazi hata kipofu anaona utagundua kwamba haya yote ya Michakato ni Miradi ya kuendelea kupiga Kodi zetu)Tunachokihitaji jambo hili jema liwe kama Sheria kwa yeyote atakayeongoza Taifa hili,
Leo Serikali ya CCM inatoa Elimu Bora Bure Sasa kwanini usione nia njema ya Kodi zako unazolipa?
Pamoja na ufafanuzi wake juu ya uBWABWA Bado mliita rushwa/ Hongo ila yeh alijua fika Jambo la chini kabisa linalotesa watu Ni njaa inayopelekea kukosa utimamu wa Akili na kuathiri utafutaji wao.Hapana dawa ya deni ni kulipa tu
Si kweli kwamba kila shule ya msingi kuna chakula.Mkuu unalalamika sana,
Sijui kama huoni juhudi kubwa na nzuri zinazofanywa na Serikali yako,
Kuhusu hiyo ADA ya elfu 5,000 kwaajili ya chakula Mimi Sina kumbukumbu nayo ni kipindi gani l,
===
lakini hata hivyo Leo kila shule ya msingi Kuna chakula Cha mchana na uji asubuhi,
Najua unajua mambo mengi ila Kuna haya pia uyafahamu kwaajili ya kesho,Pamoja na kufahamu hayo ninafahamu pia kwa mlipa Kodi kuna mambo ambayo anatakiwa apate kutokana na kodi yake na sasa hivi Matozo yamekuwa mengi bila value for money zaidi ya kulishwa propaganda na watu kuwa madalali na machawa tu..., Busy Talking the Talk.....
Kwamba mpaka leo hatuna DIRA theoretically ? (Sababu practically hatuna ndio maana kila siku kila anayeamka anakuja na ngonjera zake na kuleta vitu abstract wala visivyoeleweka).., Issue sio kuwa na maandiko mazuri bali issue ni kufanyia kazi vilivyopo na kuvifanya...
Vilevile kwa nchi ambayo watunga Sera wamekuwa madalali unategemea wanaweza kufanya lolote zuri ambalo hawana faida nalo kifedha ? Case in Point nimekuletea hapo Juu, kuhusu nishati ya kupikia
Unadhani hawa mchwa wasio na uchungu na taifa bali matumbo yao kama ndio tunawaachia wawe na tochi ya kumulika wapi tunakwenda watatupelekea wapi ?
- Misaada imetoka dunia nzima kwahio kuna fedha lukuki
- Badala ya kuhimiza umeme ambao tunao hawa jamaa wamekuwa madalali wa kupigia chapuo gesi ambayo ina gharama kwa watu wapikie na wanawakataza kuni ambazo wangetumia bure
- Mbaya zaidi wanakwenda kutafuta watoa mlungula kina Adani ili waje wasambaze umeme (ambao wanasema hautoshi) ili bei za umeme zizidi kupanda hivyo kumuumiza mwananchi
Sheria ? Sheria ambazo zinavunjwa kila dakika (kwahio hata ukisema liwe kama sheria wakati kuna vitu vipo wazi hata kipofu anaona utagundua kwamba haya yote ya Michakato ni Miradi ya kuendelea kupiga Kodi zetu)
Hakuna jipya hapa bali kuendelea recycling maneno ambayo hayafanyiwi kazi zaidi ya kujilipa pesa za kuleta maandiko / mawazo na kufanya propaganda na maigizo yasiyofurahisha wala kumsaidia yoyote...; Badala ya kubwabwaja waanze kufanya kama wameona watu lishe ni mbovu na pesa kila siku tunazitoa kwanini wasipeleke hio lishe leo au jana ?
Ipi haina chakula?Si kweli kwamba kila shule ya msingi kuna chakula.
MaCCM kwani baba yenu ni yule baba wa uongo au ninyi ndio baba mwenyewe wa uongo!!???
Kwenye hili to unamuunga mkono kiroho safi kabisaPamoja na ufafanuzi wake juu ya uBWABWA Bado mliita rushwa/ Hongo ila yeh alijua fika Jambo la chini kabisa linalotesa watu Ni njaa inayopelekea kukosa utimamu wa Akili na kuathiri utafutaji wao.
Nina michepuko yangu ni walimu Mkuranga,Rufiji na Newala, tena wengine ni DEOs kabisa,unataka nikuwekee list hapa ya hizo shule zisizo na chakula!!??Ipi haina chakula?
Wala sifahamu mambo mengi, and for my sanity nimeamua kabisa kuacha kufuatilia haya maigizo ila hata ninavyofumba macho na kujifanya hamnazo bado nakutana nayo kila kona..., kwahio kwa asiyeona either ni part of problem au anafaidika..., na kwa mantiki hio halitakii mema taifa hili...Najua unajua mambo mengi
Kama leo ni ngumu na kesho yetu inaamuliwa na tunayofanya leo huoni kwamba kwa kuwa na vijana wengi ambao hawana ujira leo kwahio kutokuwa na pensheni kesho ni balaa tunalowaachia hili taifa ?ila Kuna haya pia uyafahamu kwaajili ya kesho,
All the generalities leads to mwananchi / mlipa Kodi kupata value for money kwa kodi yake..., ndio maana nimeamua kujikita kwenye masuala mawili tu ambayo yanaweza kumsaidia mtu wa kitaa, ili niyalalamikie hayo mengine nayaacha pending sababu haya kwa kufanikiwa kwake wala hakuhitaji kutembeza bakuli bali ni hata ukitaka kesho..., nayo ni kuhakikisha Mwananchi anabakiziwa pesa ya matumizi (kwa kupunguzwa kunyonywa).....Malalamiko yako ni too general kiasi kwamba unashindwa usaidie lipi na uache lipi,
Kama unaona huu ndio uzuri basi tuombe tusije uona huo ubaya..., Yaani nchi tajiri kama hii yenye vyanzo vya kumwaga (vingine mpaka tunavyo sisi pekee dunia nzima) Maziwa makubwa matatu Afrika, Utalii, Wananchi wenye Utaifa hawana Ukabila alafu unaongelea Kusini mwa Jangwa la Sahara...., Kwa tulivyonavyo ingebidi tuwe head and sholders above, sio Afrika pekee bali dunia nzima, after all we are a Cradle of Humanity.....Serikali ya chama Cha Mapinduzi inafanya kazi nzuri sana karibu maeneo yote yaliyo kusini mwajangwa la Sahara
Wazo zuri sana ila waiingize kwenye dira kwa kutumia jina jipya kama vile HASHIMU RUNGWE LISHE/ DIETView attachment 3179311
View attachment 3179318
===
Hatimaye sera za mzee Hashimu Rungwe Shipunda wa Chama Cha Umma (CHAUMA) zaanza kupata utetezi wa kisayansi polepole baada ya miaka kumi kupita ( 10 ) leo tutamuangazia Mkurugenzi wa kituo Ubia nchini PPPC Bw David KAFULILA katika moja ya tweete zake huko X.
Kafulila anasema kama Taifa katika mwelekeo wetu mpya wa miaka 25 ijayo ni vema tukaangalia uwezekano wa kuchukua sera nzuri ya Nutritional basics maarufu kama Sera ya UBWABWA mashuleni iliyoasisiwa na mgombea wa Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 toka Chama Cha UMMA Wakili Msomi Hashimu Rungwe Shifunda.
Kafulila anaonesha tatizo la Utapiamlo duniani na Tanzània ikiwemo ni kubwa pamoja na yote linaigharimu dunia mabilioni ya Shilingi katika kupambana nalo akitolea mfano kuwa mpaka mwaka 2025 zaidi ya $18bn ambazo ni zaidi ya TZS 45 Trilioni zitatumika kupambana na Utapiamlo duniani na Tanzania ikiwemo.
Bila kujali hoja hii imetoka Upinzani au chama rafiki bado ni hoja mtambuka kwa Ustawi wa Tanzania na Watanzania wa leo na kesho kwenye hili nampa Kafulila kongole nyingi kwa wivu wake mkubwa juu ya Maisha ya Watanzania hasa watoto wanaotoka kwenye familia duni.
View attachment 3179316
Kafulila ni kichwa sana namsikiliza hapa UTVView attachment 3179311
View attachment 3179318
===
Hatimaye sera za mzee Hashimu Rungwe Shipunda wa Chama Cha Umma (CHAUMA) zaanza kupata utetezi wa kisayansi polepole baada ya miaka kumi kupita ( 10 ) leo tutamuangazia Mkurugenzi wa kituo Ubia nchini PPPC Bw David KAFULILA katika moja ya tweete zake huko X.
Kafulila anasema kama Taifa katika mwelekeo wetu mpya wa miaka 25 ijayo ni vema tukaangalia uwezekano wa kuchukua sera nzuri ya Nutritional basics maarufu kama Sera ya UBWABWA mashuleni iliyoasisiwa na mgombea wa Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 toka Chama Cha UMMA Wakili Msomi Hashimu Rungwe Shifunda.
Kafulila anaonesha tatizo la Utapiamlo duniani na Tanzània ikiwemo ni kubwa pamoja na yote linaigharimu dunia mabilioni ya Shilingi katika kupambana nalo akitolea mfano kuwa mpaka mwaka 2025 zaidi ya $18bn ambazo ni zaidi ya TZS 45 Trilioni zitatumika kupambana na Utapiamlo duniani na Tanzania ikiwemo.
Bila kujali hoja hii imetoka Upinzani au chama rafiki bado ni hoja mtambuka kwa Ustawi wa Tanzania na Watanzania wa leo na kesho kwenye hili nampa Kafulila kongole nyingi kwa wivu wake mkubwa juu ya Maisha ya Watanzania hasa watoto wanaotoka kwenye familia duni.
View attachment 3179316
Mkuu nakuelewa sana,Pamoja na kufahamu hayo ninafahamu pia kwa mlipa Kodi kuna mambo ambayo anatakiwa apate kutokana na kodi yake na sasa hivi Matozo yamekuwa mengi bila value for money zaidi ya kulishwa propaganda na watu kuwa madalali na machawa tu..., Busy Talking the Talk.....
Kwamba mpaka leo hatuna DIRA theoretically ? (Sababu practically hatuna ndio maana kila siku kila anayeamka anakuja na ngonjera zake na kuleta vitu abstract wala visivyoeleweka).., Issue sio kuwa na maandiko mazuri bali issue ni kufanyia kazi vilivyopo na kuvifanya...
Vilevile kwa nchi ambayo watunga Sera wamekuwa madalali unategemea wanaweza kufanya lolote zuri ambalo hawana faida nalo kifedha ? Case in Point nimekuletea hapo Juu, kuhusu nishati ya kupikia
Unadhani hawa mchwa wasio na uchungu na taifa bali matumbo yao kama ndio tunawaachia wawe na tochi ya kumulika wapi tunakwenda watatupelekea wapi ?
- Misaada imetoka dunia nzima kwahio kuna fedha lukuki
- Badala ya kuhimiza umeme ambao tunao hawa jamaa wamekuwa madalali wa kupigia chapuo gesi ambayo ina gharama kwa watu wapikie na wanawakataza kuni ambazo wangetumia bure
- Mbaya zaidi wanakwenda kutafuta watoa mlungula kina Adani ili waje wasambaze umeme (ambao wanasema hautoshi) ili bei za umeme zizidi kupanda hivyo kumuumiza mwananchi
Sheria ? Sheria ambazo zinavunjwa kila dakika (kwahio hata ukisema liwe kama sheria wakati kuna vitu vipo wazi hata kipofu anaona utagundua kwamba haya yote ya Michakato ni Miradi ya kuendelea kupiga Kodi zetu)
Hakuna jipya hapa bali kuendelea recycling maneno ambayo hayafanyiwi kazi zaidi ya kujilipa pesa za kuleta maandiko / mawazo na kufanya propaganda na maigizo yasiyofurahisha wala kumsaidia yoyote...; Badala ya kubwabwaja waanze kufanya kama wameona watu lishe ni mbovu na pesa kila siku tunazitoa kwanini wasipeleke hio lishe leo au jana ?
Wewe ni mfuasi wa MBOWE tuKwamba Ubwabwa ndio nutrition ? Na Sera ya Ubwabwa ndio ipi ? Yaani hii nchi ina vituko sana na maigizo ndio mpango mzima..., yaani kila siku wanaangalia script mpya...; Kwamba chakula Nutritional (Balanced Diet) ni kuongeza Wanga (Ubwabwa) ? Au kwa ufupi Sera hii Inasemaje ?
Yaani katika nchi ambayo ina kila kitu yet kuna watu hawana hata milo miwili let alone mitatu (kwa kukosa ujira) mnaanza kuleta story za Ubwabwa badala ya kuhakikisha watu wana disposable income ya kuweza kujinunulia Samaki ?
Ustawi wa Jamii; A Penny Saved is a Penny Earned; Serikali inaweza Kumpunguzia Mzigo wa Matumizi Mwananchi hivyo Kumwongezea Kipato cha Kutumia
Maadui wetu hawajawahi Kubadilika Umasikini, Ujinga na Maradhi..., Vilevile Mahitahi Muhimu ya Binadamu hayabadilika (Chakula Malazi na Mavazi); Karne ya sasa ambayo sio kila mtu anaweza kuchukua Jembe na kwenda kulima mihogo na kupata kitoweo Pesa inahitajika. Hii ndio itakupatia mahitaji...www.jamiiforums.com
✔️✔️✔️Kafulila ni kichwa sana namsikiliza hapa UTV