Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 4,151
- 4,277
Kwani ujasoma kichwa cha habari kinazungumzia nini.Unazungumzia nini T-bills ndio Mdudu gani mboni tunachanganyana?
Hapo sasa nimeelewa nikajua TTCL BillsKwani ujasoma kichwa cha habari kinazungumzia nini.
T-Bills (Treasury Bills) ni short loans za serikali malipo yake ndani mwaka.
Usichanganye na treasury bonds and notes hizo zina time frames tofauti usually 2 years plus.
Wewe unaweza amini hiyo variation ya Kafulila kwenye huo upuuzi alioandika.Hapo sasa nimeelewa nikajua TTCL Bills
Ujinga wake unapitiliza nakubariana na wewe Mayor QuimbyWewe unaweza amini hiyo variation ya Kafulila kwenye huo upuuzi alioandika.
Yaani SA yenye credit rating ya A1 itoe riba kubwa kushinda Tanzania B1.
Uoni kama huyo mtu ujinga wake unapitiliza sasa?
Ni ruksa kwa CPA hapa kutoa maoni. Wengine tunapita tu na kushangaa.Mkuu angalia usije ukakurupuka wenye akili wakakuona upstairs una makamasi kama ya huyo tumbiri anayetafuta sifa za kisiasa.
BOT inapo issue T-bill kwa umma katika riba kubwa au ndogo inategemeana na lengo la kiuchumi ambalo Serikali inataka kulifanikisha.hapo issue sio riba kubwa au ndogo inategemeana na jambo la kiuchumi lililopelekea Serikali ku offer hizo hati fungani.
Kenya anaweza offer 16% lakini lengo Lake ni ku curb inflation,Tanzania unaweza ku offer 5% but lengo lake ni kupata pesa kupeleka kwenye uchaguzi,Namibia anaweza ku offer 9% a lengo lake anataka kupata pesa apeleke kwenye kujenga mradi.
Hiyo nafasi anayoivizia ya mkurugenzi wa mawasiliano Ikulu inataka cool headed.Ujinga wake unapitiliza nakubariana na wewe Mayor Quimby
Hapa nimeshindwa kuvumilia. Jibu langu rahisi: Msikilize mama hotuba yake alipokuwa anapokea Gawio Juzi.Wewe unaweza amini hiyo variation ya Kafulila kwenye huo upuuzi alioandika.
Yaani SA yenye credit rating ya A1 (low default risk) itoe riba kubwa kushinda Tanzania B1 (Junk bond). Nani ataacha kwenda kununua SA.
Uoni kama huyo mtu ujinga wake unapitiliza sasa anaanza kujiandika mambo asiyoyaelewa.
Jaribu Nigeria halafu uje unipe habari.Kuishi Tanzania ni laana
Mimi nimezungumzia Tz nchi ambayo hata mwendokasi umetushinda kusimamia, bandari imetushinda, mashirika ya serikali yanaendeshwa kwa hasara, nchi ya machawa kuliko wachapa kaziJaribu Nigeria halafu uje unipe habari.
Tumbili wewe ni mnufaika wa moja kwa moja wa mikopo hii ya serikali! Msitutie ujinga huo, serikali kwa sasa haina uwezo wowote tena wa kutoa huduma za kijamii kwa wananchi kama ilivyokuwa hapo awali, kilakitu ni wananchi tu kujilipia! Fedha yote ya serikali kwa sasa inaelekezwa kwenye kulipia madeni, nyinyi Ndo mnazidi kuyashambikiahsyo madeni! Na kwanini kila anayetetea deni la taifa lazima apate uteuzi? Nani sasa ataiambia ukweli serikali?View attachment 3016052
CEO wa PPP Bwana David Kafulila katika Ukurasa wake wa tweeter ( X ) ameisifu Serikali ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa ndio nchi pekee inayokopa ndani kwa riba ndogo kuliko nchi nyingi za Africa.
Kafulila anasema Wakati Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan inakopa T-bills kwa asilimia 5 lakini wenzetu uchumi wao ndani ni hoi ndio sababu Riba zao kwenye T-bills ziko juu mafano Msumbiji ni asilimia 17 Kenya ni asilimia 16, Malawi ni Asilimia 16, Zambia ni Asilimia 10,Namibia ni asilimia 9,Uganda ni asilimia 9 na Africa ya kusini ni asilimia 8 hiki ni kielelezo Cha uimara wa Uchumi wetu ndani katika ukanda wa Africa.
Wakati mnaendelea kumtukana msisahau pia kuwaambia hao Wananchi kuwa ni yeye pekee ndio aliyejenga unafuu wa maisha kwa watu wake katika ukanda mzima wa Africa na baadhi ya ushahidi ni hizo taarifa za David Kafulila huko tweeter ( X )
View attachment 3016048
Shida yao ni kupenda kusema uongo, na njia ya mtu muongo uwa ni fupi ndio maana maelezo yake hayakuwa consistent.Hapa nimeshindwa kuvumilia. Jibu langu rahisi: Msikilize mama hotuba yake alipokuwa anapokea Gawio Juzi.
Alisema: Walitupandisha daraja (uchumi wa kati), mwakani watakuja tena kufuatilia kama bado tupo ktk viwango. Kama wakituthibitisha katika daraja hilo HII MIKOPO KWA MASHARTI RAHISI NA RIBA NDOGO HAITAKUWEPO TENA.
Iko hivi- hata wewe unaweza ukamchangia bureee masikini au omba omba buku 5 au zaidi. Lakini mwalimu mkuu akikuomba buku tano, pengine utamuuliza- utalipa lini pengine utaweka na riba juu.
Wewe ndio umejichanganya. Ni hivi- unapoanza kazi kuna kipindi cha kutazamiwa kabla hujathibitishwa. Hivyo TZ sasa hivi tupo kwenye middle income lakini bado hatujathibitishwa, hivyo bado tunachukuliwa katika daraja lile tulilokuwa nalo kabla.Shida yao ni kupenda kusema uongo, na njia ya mtu muongo uwa ni fupi ndio maana maelezo yake hayakuwa consistent.
Nchi kwa sasa ipo uchumi daraja la chini, yeye mwanzo alitaka kutuaminisha tupo kwenye middle income.
Baadae akaanza kujichanganya kwenye maelezo kwa sasa tunapata mikopo rahisi kwa sababu ni least developed nation (maana yake hatupo kwenye middle income).
Mwakani kuna tathmini nyingine hiko mbeke tunaweza panda kuwa middle income, hizi fursa za sasa zitapotea (mikopo rahisi) ya maendeleo ya jamii.
Sasa kwanini alisema tukifanyiwa tathmini mwakani tukapandishwa daraja kuwa middle-income hizi fursa za mikopo ya least developed nations itapotea?Wewe ndio umejichanganya. Ni hivi- unapoanza kazi kuna kipindi cha kutazamiwa kabla hujathibitishwa. Hivyo TZ sasa hivi tupo kwenye middle income lakini bado hatujathibitishwa, hivyo bado tunachukuliwa katika daraja lile tulilokuwa nalo kabla.
Habari ya kupandishwa katika daraja la middle income ilitolewa na IMF, sio na Samia. Samia ananukuu tu maneno ya hiyo taasisi kubwa duniani. Google utaipata.
Acha mawazo mgando, kama wewe ni mmoja wa viongozi huko serikalini, inabidi upishe wengine wenye uelewa wa namna bora ya kutukwamua na kausha damu bila kukinga bakuri kila sehemu ( Ni fedheha). Waachieni wengine walete mawazo mbadala, mnangangania kuwemo tu huki ili hali akili zenu zimedumaa na kusinyaa tayari. Tuko zaidi ya million 60 na hamuwezi kuwa na monopoly ua ideas kwamba mo lazima kukopa... uwezo wetu wa kuilipa hiyo mikopo upoje au ndio yale yale ya kukabidhi maliasili zetu kwa wageni kama collateral? acheni hizi mambo ya kushabikia mikopo. Binafsi, sijui hata kama wewe umeisha wahi kuwa na credit card na ukajua ivyofanya kazi.. mikopo ni utumwa ndugu yangu.Nimejibu hii ishu Yako mara nyingi na hii itakuwa mara ya mwisho
-Kukopa ni lazima Kwa sababu ni economic tool
-Iko.wazi Nchi maskini Zina Changamoto ya Mitaji(as per vicious circle of poverty) na the only way utapata mtaji ni kukopa na kuvutia wawekezaji Ili uweze ku exploit resources na kubadili kuwa weath
Mwisho kukopa na kukopesha is a must,hakuna Nchi iliwahi endelea bila kukopa na msilete dhana zenu duni za mikopo ya mtaani kwenye muktadha wa Nchi,hakunaga kitu kama hicho.
Tatizo la sio ukopaji tatizo ni vipaumbele ya hiyo mikopo na usimamizi wa hizo fedha asilimia kubwa fedha za mikopo zinafanyiwa ufisadi na nchi inabebeshwa zigo la deniView attachment 3016052
CEO wa PPP Bwana David Kafulila katika Ukurasa wake wa tweeter ( X ) ameisifu Serikali ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa ndio nchi pekee inayokopa ndani kwa riba ndogo kuliko nchi nyingi za Africa.
Kafulila anasema Wakati Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan inakopa T-bills kwa asilimia 5 lakini wenzetu uchumi wao ndani ni hoi ndio sababu Riba zao kwenye T-bills ziko juu mafano Msumbiji ni asilimia 17 Kenya ni asilimia 16, Malawi ni Asilimia 16, Zambia ni Asilimia 10,Namibia ni asilimia 9,Uganda ni asilimia 9 na Africa ya kusini ni asilimia 8 hiki ni kielelezo Cha uimara wa Uchumi wetu ndani katika ukanda wa Africa.
Wakati mnaendelea kumtukana msisahau pia kuwaambia hao Wananchi kuwa ni yeye pekee ndio aliyejenga unafuu wa maisha kwa watu wake katika ukanda mzima wa Africa na baadhi ya ushahidi ni hizo taarifa za David Kafulila huko tweeter ( X )
View attachment 3016048
Sikatai ila kopa ukiwa na watu wenye uchungu na huo mkopo ..sasa ww kila siku utasikia kuna wilaya wamepiga billions kadhaaa na huyo huyo mwizi adhabu yake ni kuhamishwa kituo cha kazi ama kupangiwa kazi nyingine.Sio Sifa ila hata familia yako kama unataka kuwa tajiri kuwazidi wengine lazima ukope, Bakresa pia analoan kibao kwenye mabenki
Inaonyesha wewe una chuki binafsi . Maana kila mtu anafahamu vyema kabisa namna Mh Kafulila alivyo mtulivu,mwenye uwezo mkubwa wa kujenga na kutetea hoja pamoja na uchapakazi uliotukuka. Lakini vilevile Mh Kafulila ni kiongozi mbunifu na mwenye uelewa na ufahamu wa masuala mbalimbali.Hiyo nafasi anayoivizia ya mkurugenzi wa mawasiliano Ikulu inataka cool headed.
Anaropoka na kujaza machawa humu mpaka anaanza kuonekana mtu wa hovyo sasa.