Kafulila: Serikali inakopa T-bills kwa 5% wakati Msumbiji 17%, Kenya 16%, Malawi 16%, Zambia 10%, Namibia 9%, Uganda 9%, SA 8%. Uelekeo wetu ni sahihi

Kafulila: Serikali inakopa T-bills kwa 5% wakati Msumbiji 17%, Kenya 16%, Malawi 16%, Zambia 10%, Namibia 9%, Uganda 9%, SA 8%. Uelekeo wetu ni sahihi

Ni Tz tu mtu kama Kafulila anaweza kupayuka payuka mambo asiyoyafahamu undani wake na watu wakaamini anajua..ana tabia ya kusoma soma magazeti na taarifa za mitandaoni na kudhani vinampa ujuzi wa kueleza kama anavyosoma..ni vitu vya kukariri tu, hajawahi kufanya analysis yoyote ya kiuchumi au mambo ya fedha inavyotakiwa, kupitia maandiko(makala)..issue ya mikopo kupitia hati fungani huwezi itenganisha na kiwango cha mfumuko wa bei na hata kiwango cha ubadilishaji fedha za kigeni kwa nchi husika dhidi ya nchi nyingine..bei ya hati fungani Kenya au Mauritius haiwezi kufanana au kulingana, na si kweli kwamba ukiona bei ya hati fungani Mauritius iko juu kwa maana ya tarakimu, haimaanishi kwamba bei ya hati fungani Kenya iko chini..tafsiri yake inaweza kuwa bei ya hati fungani Mauritius ni ya chini zaidi ya ile ya Kenya pamoja na kwamba ki-tarakimu inaonekana iko juu zaidi ya ile ya Kenya..ni kwa sababu viwango vya mfumuko wa bei na ubadilishaji fedha za kigeni unatofautiana kati ya nchi hizi mbili.
Nimekudharau sana unaposema Mh Kafulila hawezi kufanya uchambuzi wa masuala ya kiuchumi na kwamba anakariri habari za kwenye magazeti. Kila mtanzania anafahamu uwezo mkubwa sana na uelewa wa masuala ya uchumi. Kila mtu ameona kwa macho na kusikia kwa masikio yake namna Mheshimiwa Kafulila anavyochambua na kuelezea kwa undani na kina masuala mbalimbali ya uchumi kwa takwimu na ushahidi wa kutosha . Mheshimiwa Kafulila ni mtu mtulivu , mnyenyekevu na mwenye uwezo wa kujenga hoja kwa data.
 
Nimekudharau sana unaposema Mh Kafulila hawezi kufanya uchambuzi wa masuala ya kiuchumi na kwamba anakariri habari za kwenye magazeti. Kila mtanzania anafahamu uwezo mkubwa sana na uelewa wa masuala ya uchumi. Kila mtu ameona kwa macho na kusikia kwa masikio yake namna Mheshimiwa Kafulila anavyochambua na kuelezea kwa undani na kina masuala mbalimbali ya uchumi kwa takwimu na ushahidi wa kutosha . Mheshimiwa Kafulila ni mtu mtulivu , mnyenyekevu na mwenye uwezo wa kujenga hoja kwa data.
Wewe una matatizo binafsi, sentesi yako moja tu inanionyesha matatizo mengi uliyo nayo...na hayo ndio yanakufanya uwe hivyo ulivyo, onyesha makala 3 tu za uchumi au fedha alizoandika kafulila, kuna taaluma zingine haitoshi kupiga vuvuzela kama kweli unafahamu a,b,c, d .. hasa masuala ya fedha na uchumi, na kwa hali ilivyo nchini kwetu utashawishika kuandika hata makala ya page 1 km njia ya kutoa mchango kwa serikali iliyokupa kazi..wajinga ndio wanahadaiwa na nukuu za mitandaoni anazokariri kafulila!
 
Wewe una matatizo binafsi, sentesi yako moja tu inanionyesha matatizo mengi uliyo nayo...na hayo ndio yanakufanya uwe hivyo ulivyo, onyesha makala 3 tu za uchumi au fedha alizoandika kafulila, kuna taaluma zingine haitoshi kupiga vuvuzela kama kweli unafahamu a,b,c, d .. hasa masuala ya fedha na uchumi, na kwa hali ilivyo nchini kwetu utashawishika kuandika hata makala ya page 1 km njia ya kutoa mchango kwa serikali iliyokupa kazi..wajinga ndio wanahadaiwa na nukuu za mitandaoni anazokariri kafulila!
Uchumi ni kanuni ndugu yangu na siyo kusema sijuwi ana kariri. Ndio maana nimesema kwa akili yako hiyo uliyonayo huwezi hata kidogo kulinganisha uwezo wako na ule alionao Mheshimiwa Kafulila.uwezo ambao umewafumbua wengi sana na kuwapa Elimu kubwa sana
 
View attachment 3016052
CEO wa PPP Bwana David Kafulila katika Ukurasa wake wa tweeter ( X ) ameisifu Serikali ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa ndio nchi pekee inayokopa ndani kwa riba ndogo kuliko nchi nyingi za Africa.

Kafulila anasema Wakati Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan inakopa T-bills kwa asilimia 5 lakini wenzetu uchumi wao ndani ni hoi ndio sababu Riba zao kwenye T-bills ziko juu mafano Msumbiji ni asilimia 17 Kenya ni asilimia 16, Malawi ni Asilimia 16, Zambia ni Asilimia 10,Namibia ni asilimia 9,Uganda ni asilimia 9 na Africa ya kusini ni asilimia 8 hiki ni kielelezo Cha uimara wa Uchumi wetu ndani katika ukanda wa Africa.

Wakati mnaendelea kumtukana msisahau pia kuwaambia hao Wananchi kuwa ni yeye pekee ndio aliyejenga unafuu wa maisha kwa watu wake katika ukanda mzima wa Africa na baadhi ya ushahidi ni hizo taarifa za David Kafulila huko tweeter ( X )

View attachment 3016048
source ya hii ngonjera ni wapi
 
Uchumi ni kanuni ndugu yangu na siyo kusema sijuwi ana kariri. Ndio maana nimesema kwa akili yako hiyo uliyonayo huwezi hata kidogo kulinganisha uwezo wako na ule alionao Mheshimiwa Kafulila.uwezo ambao umewafumbua wengi sana na kuwapa Elimu kubwa sana
Jambo dogo ambalo mwanafunzi mwaka wa kwanza chuo kikuu tena anayesoma micro au macro km minor course anafahamu matokeo ya tofauti za inflation na exchange rate kwenye uchumi..huyo mjinga mwenzio analeta hoja ya kulinganisha vitu visivyolingana, mtu mwenye akili nyepesi ana tabia ya kurukia rukia mambo hata asiyoyajua..mambo ya uchumi au fedha si kupiga domo..andika tuone!
 
source ya hii ngonjera ni wapi
Umeharibu ulipoita ngonjera kwa hoja nzito kama hizo za Mheshimiwa Kafulila,Kiongozi ambaye amefanya kazi kubwa sana ya kutoa Elimu kwa wananchi. Hakuna mwenye uwezo wa kupangua hoja za Mheshimiwa Kafulila kwa hoja .maana yeye huongea kwa takwimu na ushahidi
 
Jambo dogo ambalo mwanafunzi mwaka wa kwanza chuo kikuu tena anayesoma micro au macro km minor course anafahamu matokeo ya tofauti za inflation na exchange rate kwenye uchumi..huyo mjinga mwenzio analeta hoja ya kulinganisha vitu visivyolingana, mtu mwenye akili nyepesi ana tabia ya kurukia rukia mambo hata asiyoyajua..mambo ya uchumi au fedha si kupiga domo..andika tuone!
Wewe ndio mpiga domo.lakini Mheshimiwa Kafulila amenyooka kama rula na hoja zake zenye takwimu na ushahidi.sasa wewe unafanya kazi ya kupiga domo domo na porojo tu.
 
Wewe ndio mpiga domo.lakini Mheshimiwa Kafulila amenyooka kama rula na hoja zake zenye takwimu na ushahidi.sasa wewe unafanya kazi ya kupiga domo domo na porojo tu.
Hauko sawa kichwani..mlambe kafulila hata makalio yake ukiweza, you r exempted!
 
Tunakopa hata kwa makandarasi wajenzi wa barabara, tinalipa pesa nyingi kwa kushindwa kuwalipa kwa wakati. Hii no aibu mno
 
Tunakopa hata kwa makandarasi wajenzi wa barabara, tinalipa pesa nyingi kwa kushindwa kuwalipa kwa wakati. Hii no aibu mno
Serikali imelipa madeni yote ya wakandarasi ambayo yalikuwa yamehakikiwa.kwa sasa mambo yanakwenda vizuri sana.
 
Wakikopa Kwa wazungu wanalipa riba nzuri na masharti kibao, Kwa wananchi wao wanawalipa na kuwapiga kama walivyozoea, inalipa 5% wakati inflation ni 5% hiyo hiyo, kama sio wizi ni Nini, na sijamwelewa Kafulila, anafikiri hii ni sifa au wizi tuu, ila katupa akili tuanze kuangalia nchi nyingine maana haya masoko yanaruhusu watu wa nje pia
hoja nzuri ila sio sawa
 
Back
Top Bottom