Kafulila: Tunataka ifike wakati Serikali ipunguze kutumia kodi na mikopo kufanya miradi ambayo sekta binafsi inaweza kutekeleza kwa PPP

Kafulila: Tunataka ifike wakati Serikali ipunguze kutumia kodi na mikopo kufanya miradi ambayo sekta binafsi inaweza kutekeleza kwa PPP

Mwananchi Huru

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2021
Posts
2,128
Reaction score
1,896

===
Akihojiwa na kituo Cha Utangazaji Cha Wasafi Jijini Dar es salaam Mkurugenzi Mkuu wa PPP nchini Mhe David Kafulila amesema nia ya Rais Samia ni kuona miradi yote yenye sura ya kibiashara inaendeshwa na kutekellezwa na sekta binafsi kwa sharti la Ubia na Serikali.

Mkurugenzi huyo amewataka wale wote wenye mitaji, Ujuzi au tekinolojia waangalie Serikalini ni huduma/fursa gani wanaweza wakazitoa kwa faida yao na faida ya Serikali inayoongozwa na Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan.

Kafulila anasema kutokana na kasungura ketu kuwa kadogo ( budget ) ifike wakati miradi mingi yenye sura ya kibiashara tusitumie Kodi za walala hoi Wala Mikopo toka kwa wahisani wa Maendeleo bali itekelezwa kwa Fedha za watu binafsi au Kampuni mablimbali.​
 
Qw jamaa habari zako zote unazoleta ni za Kafulila sijui anakulipa sh ngap
 
View attachment 3099534
===
Akihojiwa na kituo Cha Utangazaji Cha Wasafi Jijini Dar es salaam Mkurugenzi Mkuu wa PPP nchini Mhe David Kafulila amesema nia ya Rais Samia ni kuona miradi yote yenye sura ya kibiashara inaendeshwa na kutekellezwa na sekta binafsi kwa sharti la Ubia na Serikali.

Mkurugenzi huyo amewataka wale wote wenye mitaji, Ujuzi au tekinolojia waangalie Serikalini ni huduma/fursa gani wanaweza wakazitoa kwa faida yao na faida ya Serikali inayoongozwa na Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan.

Kafulila anasema kutokana na kasungura ketu kuwa kadogo ( budget ) ifike wakati miradi mingi yenye sura ya kibiashara tusitumie Kodi za walala hoi Wala Mikopo toka kwa wahisani wa Maendeleo bali itekelezwa kwa Fedha za watu binafsi au Kampuni mablimbali.​
Hii PPP Watanzania tunaiona kama haina dili hivi akija mtu na kuwekeza tunaanza kelele,

Ona ya DP World
 
View attachment 3099534
===
Akihojiwa na kituo Cha Utangazaji Cha Wasafi Jijini Dar es salaam Mkurugenzi Mkuu wa PPP nchini Mhe David Kafulila amesema nia ya Rais Samia ni kuona miradi yote yenye sura ya kibiashara inaendeshwa na kutekellezwa na sekta binafsi kwa sharti la Ubia na Serikali.

Mkurugenzi huyo amewataka wale wote wenye mitaji, Ujuzi au tekinolojia waangalie Serikalini ni huduma/fursa gani wanaweza wakazitoa kwa faida yao na faida ya Serikali inayoongozwa na Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan.

Kafulila anasema kutokana na kasungura ketu kuwa kadogo ( budget ) ifike wakati miradi mingi yenye sura ya kibiashara tusitumie Kodi za walala hoi Wala Mikopo toka kwa wahisani wa Maendeleo bali itekelezwa kwa Fedha za watu binafsi au Kampuni mablimbali.​
Naunga mkono hoja hii.
 
View attachment 3099534
===
Akihojiwa na kituo Cha Utangazaji Cha Wasafi Jijini Dar es salaam Mkurugenzi Mkuu wa PPP nchini Mhe David Kafulila amesema nia ya Rais Samia ni kuona miradi yote yenye sura ya kibiashara inaendeshwa na kutekellezwa na sekta binafsi kwa sharti la Ubia na Serikali.

Mkurugenzi huyo amewataka wale wote wenye mitaji, Ujuzi au tekinolojia waangalie Serikalini ni huduma/fursa gani wanaweza wakazitoa kwa faida yao na faida ya Serikali inayoongozwa na Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan.

Kafulila anasema kutokana na kasungura ketu kuwa kadogo ( budget ) ifike wakati miradi mingi yenye sura ya kibiashara tusitumie Kodi za walala hoi Wala Mikopo toka kwa wahisani wa Maendeleo bali itekelezwa kwa Fedha za watu binafsi au Kampuni mablimbali.​
Vijana mnaotaka kuandamana mnajua pale PPP kwa Kafulila Kuna dili la kuwekeza nyie na Serikali kwa Ubia?
 
View attachment 3099534
===
Akihojiwa na kituo Cha Utangazaji Cha Wasafi Jijini Dar es salaam Mkurugenzi Mkuu wa PPP nchini Mhe David Kafulila amesema nia ya Rais Samia ni kuona miradi yote yenye sura ya kibiashara inaendeshwa na kutekellezwa na sekta binafsi kwa sharti la Ubia na Serikali.

Mkurugenzi huyo amewataka wale wote wenye mitaji, Ujuzi au tekinolojia waangalie Serikalini ni huduma/fursa gani wanaweza wakazitoa kwa faida yao na faida ya Serikali inayoongozwa na Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan.

Kafulila anasema kutokana na kasungura ketu kuwa kadogo ( budget ) ifike wakati miradi mingi yenye sura ya kibiashara tusitumie Kodi za walala hoi Wala Mikopo toka kwa wahisani wa Maendeleo bali itekelezwa kwa Fedha za watu binafsi au Kampuni mablimbali.​
Itaeleweka tu PPP
 
View attachment 3099534
===
Akihojiwa na kituo Cha Utangazaji Cha Wasafi Jijini Dar es salaam Mkurugenzi Mkuu wa PPP nchini Mhe David Kafulila amesema nia ya Rais Samia ni kuona miradi yote yenye sura ya kibiashara inaendeshwa na kutekellezwa na sekta binafsi kwa sharti la Ubia na Serikali.

Mkurugenzi huyo amewataka wale wote wenye mitaji, Ujuzi au tekinolojia waangalie Serikalini ni huduma/fursa gani wanaweza wakazitoa kwa faida yao na faida ya Serikali inayoongozwa na Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan.

Kafulila anasema kutokana na kasungura ketu kuwa kadogo ( budget ) ifike wakati miradi mingi yenye sura ya kibiashara tusitumie Kodi za walala hoi Wala Mikopo toka kwa wahisani wa Maendeleo bali itekelezwa kwa Fedha za watu binafsi au Kampuni mablimbali.​
Safi sana Mama Samia
 
Kafulila acha konakona, kama Serikali ingeonaga umuhimu wa hiyo PPP yako, huo wakati ungeshakujaga.
 
View attachment 3099534
===
Akihojiwa na kituo Cha Utangazaji Cha Wasafi Jijini Dar es salaam Mkurugenzi Mkuu wa PPP nchini Mhe David Kafulila amesema nia ya Rais Samia ni kuona miradi yote yenye sura ya kibiashara inaendeshwa na kutekellezwa na sekta binafsi kwa sharti la Ubia na Serikali.

Mkurugenzi huyo amewataka wale wote wenye mitaji, Ujuzi au tekinolojia waangalie Serikalini ni huduma/fursa gani wanaweza wakazitoa kwa faida yao na faida ya Serikali inayoongozwa na Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan.

Kafulila anasema kutokana na kasungura ketu kuwa kadogo ( budget ) ifike wakati miradi mingi yenye sura ya kibiashara tusitumie Kodi za walala hoi Wala Mikopo toka kwa wahisani wa Maendeleo bali itekelezwa kwa Fedha za watu binafsi au Kampuni mablimbali.​
Kafulila anajua anakokwenda?
 
Back
Top Bottom