Kafulila: Tunataka ifike wakati Serikali ipunguze kutumia kodi na mikopo kufanya miradi ambayo sekta binafsi inaweza kutekeleza kwa PPP

Kafulila: Tunataka ifike wakati Serikali ipunguze kutumia kodi na mikopo kufanya miradi ambayo sekta binafsi inaweza kutekeleza kwa PPP

View attachment 3099534
===
Akihojiwa na kituo Cha Utangazaji Cha Wasafi Jijini Dar es salaam Mkurugenzi Mkuu wa PPP nchini Mhe David Kafulila amesema nia ya Rais Samia ni kuona miradi yote yenye sura ya kibiashara inaendeshwa na kutekellezwa na sekta binafsi kwa sharti la Ubia na Serikali.

Mkurugenzi huyo amewataka wale wote wenye mitaji, Ujuzi au tekinolojia waangalie Serikalini ni huduma/fursa gani wanaweza wakazitoa kwa faida yao na faida ya Serikali inayoongozwa na Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan.

Kafulila anasema kutokana na kasungura ketu kuwa kadogo ( budget ) ifike wakati miradi mingi yenye sura ya kibiashara tusitumie Kodi za walala hoi Wala Mikopo toka kwa wahisani wa Maendeleo bali itekelezwa kwa Fedha za watu binafsi au Kampuni mablimbali.​
PPP ni Tanzania imara
 
View attachment 3099534
===
Akihojiwa na kituo Cha Utangazaji Cha Wasafi Jijini Dar es salaam Mkurugenzi Mkuu wa PPP nchini Mhe David Kafulila amesema nia ya Rais Samia ni kuona miradi yote yenye sura ya kibiashara inaendeshwa na kutekellezwa na sekta binafsi kwa sharti la Ubia na Serikali.

Mkurugenzi huyo amewataka wale wote wenye mitaji, Ujuzi au tekinolojia waangalie Serikalini ni huduma/fursa gani wanaweza wakazitoa kwa faida yao na faida ya Serikali inayoongozwa na Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan.

Kafulila anasema kutokana na kasungura ketu kuwa kadogo ( budget ) ifike wakati miradi mingi yenye sura ya kibiashara tusitumie Kodi za walala hoi Wala Mikopo toka kwa wahisani wa Maendeleo bali itekelezwa kwa Fedha za watu binafsi au Kampuni mablimbali.​
Jamaa yangu huyu kichwa sana
Hii PPP ilikuwa kama pipi tu kutafunwa
 
View attachment 3099534
===
Akihojiwa na kituo Cha Utangazaji Cha Wasafi Jijini Dar es salaam Mkurugenzi Mkuu wa PPP nchini Mhe David Kafulila amesema nia ya Rais Samia ni kuona miradi yote yenye sura ya kibiashara inaendeshwa na kutekellezwa na sekta binafsi kwa sharti la Ubia na Serikali.

Mkurugenzi huyo amewataka wale wote wenye mitaji, Ujuzi au tekinolojia waangalie Serikalini ni huduma/fursa gani wanaweza wakazitoa kwa faida yao na faida ya Serikali inayoongozwa na Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan.

Kafulila anasema kutokana na kasungura ketu kuwa kadogo ( budget ) ifike wakati miradi mingi yenye sura ya kibiashara tusitumie Kodi za walala hoi Wala Mikopo toka kwa wahisani wa Maendeleo bali itekelezwa kwa Fedha za watu binafsi au Kampuni mablimbali.​
Jamaa apewe maua yake
 
View attachment 3099534
===
Akihojiwa na kituo Cha Utangazaji Cha Wasafi Jijini Dar es salaam Mkurugenzi Mkuu wa PPP nchini Mhe David Kafulila amesema nia ya Rais Samia ni kuona miradi yote yenye sura ya kibiashara inaendeshwa na kutekellezwa na sekta binafsi kwa sharti la Ubia na Serikali.

Mkurugenzi huyo amewataka wale wote wenye mitaji, Ujuzi au tekinolojia waangalie Serikalini ni huduma/fursa gani wanaweza wakazitoa kwa faida yao na faida ya Serikali inayoongozwa na Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan.

Kafulila anasema kutokana na kasungura ketu kuwa kadogo ( budget ) ifike wakati miradi mingi yenye sura ya kibiashara tusitumie Kodi za walala hoi Wala Mikopo toka kwa wahisani wa Maendeleo bali itekelezwa kwa Fedha za watu binafsi au Kampuni mablimbali.​
Wekezeni ni muhimu hasa kwa kipindi hiki
 
View attachment 3099534
===
Akihojiwa na kituo Cha Utangazaji Cha Wasafi Jijini Dar es salaam Mkurugenzi Mkuu wa PPP nchini Mhe David Kafulila amesema nia ya Rais Samia ni kuona miradi yote yenye sura ya kibiashara inaendeshwa na kutekellezwa na sekta binafsi kwa sharti la Ubia na Serikali.

Mkurugenzi huyo amewataka wale wote wenye mitaji, Ujuzi au tekinolojia waangalie Serikalini ni huduma/fursa gani wanaweza wakazitoa kwa faida yao na faida ya Serikali inayoongozwa na Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan.

Kafulila anasema kutokana na kasungura ketu kuwa kadogo ( budget ) ifike wakati miradi mingi yenye sura ya kibiashara tusitumie Kodi za walala hoi Wala Mikopo toka kwa wahisani wa Maendeleo bali itekelezwa kwa Fedha za watu binafsi au Kampuni mablimbali.​
Mimi ni team Samia mpaka kesho,

Kazi iendelee
 
View attachment 3099534
===
Akihojiwa na kituo Cha Utangazaji Cha Wasafi Jijini Dar es salaam Mkurugenzi Mkuu wa PPP nchini Mhe David Kafulila amesema nia ya Rais Samia ni kuona miradi yote yenye sura ya kibiashara inaendeshwa na kutekellezwa na sekta binafsi kwa sharti la Ubia na Serikali.

Mkurugenzi huyo amewataka wale wote wenye mitaji, Ujuzi au tekinolojia waangalie Serikalini ni huduma/fursa gani wanaweza wakazitoa kwa faida yao na faida ya Serikali inayoongozwa na Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan.

Kafulila anasema kutokana na kasungura ketu kuwa kadogo ( budget ) ifike wakati miradi mingi yenye sura ya kibiashara tusitumie Kodi za walala hoi Wala Mikopo toka kwa wahisani wa Maendeleo bali itekelezwa kwa Fedha za watu binafsi au Kampuni mablimbali.​
Safi sana bwana Kafulila
 
View attachment 3099534
===
Akihojiwa na kituo Cha Utangazaji Cha Wasafi Jijini Dar es salaam Mkurugenzi Mkuu wa PPP nchini Mhe David Kafulila amesema nia ya Rais Samia ni kuona miradi yote yenye sura ya kibiashara inaendeshwa na kutekellezwa na sekta binafsi kwa sharti la Ubia na Serikali.

Mkurugenzi huyo amewataka wale wote wenye mitaji, Ujuzi au tekinolojia waangalie Serikalini ni huduma/fursa gani wanaweza wakazitoa kwa faida yao na faida ya Serikali inayoongozwa na Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan.

Kafulila anasema kutokana na kasungura ketu kuwa kadogo ( budget ) ifike wakati miradi mingi yenye sura ya kibiashara tusitumie Kodi za walala hoi Wala Mikopo toka kwa wahisani wa Maendeleo bali itekelezwa kwa Fedha za watu binafsi au Kampuni mablimbali.​
Hili ni sawa
 
View attachment 3099534
===
Akihojiwa na kituo Cha Utangazaji Cha Wasafi Jijini Dar es salaam Mkurugenzi Mkuu wa PPP nchini Mhe David Kafulila amesema nia ya Rais Samia ni kuona miradi yote yenye sura ya kibiashara inaendeshwa na kutekellezwa na sekta binafsi kwa sharti la Ubia na Serikali.

Mkurugenzi huyo amewataka wale wote wenye mitaji, Ujuzi au tekinolojia waangalie Serikalini ni huduma/fursa gani wanaweza wakazitoa kwa faida yao na faida ya Serikali inayoongozwa na Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan.

Kafulila anasema kutokana na kasungura ketu kuwa kadogo ( budget ) ifike wakati miradi mingi yenye sura ya kibiashara tusitumie Kodi za walala hoi Wala Mikopo toka kwa wahisani wa Maendeleo bali itekelezwa kwa Fedha za watu binafsi au Kampuni mablimbali.​
Kafulila anafanya kazi kwakweli tumpe.maua yake
 
View attachment 3099534
===
Akihojiwa na kituo Cha Utangazaji Cha Wasafi Jijini Dar es salaam Mkurugenzi Mkuu wa PPP nchini Mhe David Kafulila amesema nia ya Rais Samia ni kuona miradi yote yenye sura ya kibiashara inaendeshwa na kutekellezwa na sekta binafsi kwa sharti la Ubia na Serikali.

Mkurugenzi huyo amewataka wale wote wenye mitaji, Ujuzi au tekinolojia waangalie Serikalini ni huduma/fursa gani wanaweza wakazitoa kwa faida yao na faida ya Serikali inayoongozwa na Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan.

Kafulila anasema kutokana na kasungura ketu kuwa kadogo ( budget ) ifike wakati miradi mingi yenye sura ya kibiashara tusitumie Kodi za walala hoi Wala Mikopo toka kwa wahisani wa Maendeleo bali itekelezwa kwa Fedha za watu binafsi au Kampuni mablimbali.​
Huyu Bwana mwamba sana
 
View attachment 3099534
===
Akihojiwa na kituo Cha Utangazaji Cha Wasafi Jijini Dar es salaam Mkurugenzi Mkuu wa PPP nchini Mhe David Kafulila amesema nia ya Rais Samia ni kuona miradi yote yenye sura ya kibiashara inaendeshwa na kutekellezwa na sekta binafsi kwa sharti la Ubia na Serikali.

Mkurugenzi huyo amewataka wale wote wenye mitaji, Ujuzi au tekinolojia waangalie Serikalini ni huduma/fursa gani wanaweza wakazitoa kwa faida yao na faida ya Serikali inayoongozwa na Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan.

Kafulila anasema kutokana na kasungura ketu kuwa kadogo ( budget ) ifike wakati miradi mingi yenye sura ya kibiashara tusitumie Kodi za walala hoi Wala Mikopo toka kwa wahisani wa Maendeleo bali itekelezwa kwa Fedha za watu binafsi au Kampuni mablimbali.​
PPP inapunguza upigaji
 
Nina Imani inaweza kuwa na faida, Serikali iwe na wajibu wa kuwezesha sekta kujiendesha.
Zamani kulikuwa na kampuni za Serikali zikifanya biashara na karibu zote zimekufa.
Hii ni kweli kabisa
 
Back
Top Bottom