Kafulila: Uchumi wa dunia ni US$ 105trilion 97% ni deni kukopa na kujenga ndio mpango mzima Duniani

Kukopa ni sawa ila lazima tukope kwa Malengo maalamu
 
Sana, Mkuu kwema?
 
Sasa wewe ni nani?
 
Mungu amsaidie Mheshimiwa David Kafulila kuingia Bungeni hapo Mwakani. Ni hazina kwa Taifa letu
 
David anasema, wakati uchumi wa dunia umefikia US$ 105trilion, Deni lote la dunia ( serikali & private ) ni US$ 315 trilion.

👆🏿👆🏿👆🏿
Hebu fafanueni hii
 
David anasema, wakati uchumi wa dunia umefikia US$ 105trilion, Deni lote la dunia ( serikali & private ) ni US$ 315 trilion.

👆🏿👆🏿👆🏿
Hebu fafanueni hii
Hujaelewa nini hapo?
 
Mkopeshwaji ni mtumwa wa mkopeshaji .

Mkopeshaji yeye huwa anatoa wapi akili ya kupata hela za kumkopesha mkopeshwaji ?
 
N
Nzuri hii
 
David anasema, wakati uchumi wa dunia umefikia US$ 105trilion, Deni lote la dunia ( serikali & private ) ni US$ 315 trilion.

👆🏿👆🏿👆🏿
Hebu fafanueni hii
Hujaelewa nini kwani hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…