The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Acha uongo moody wametoa credit rating ya B+Credit rating Tanzania iliyopewa na Moody’s ni sawa na F ya 35% darasani, inaonekana afadhali kwa sababu kuna wengine wana F za 20%, 10%, wengine hawana marks kabisa. Lakini in practice F kuanzia 39% wote ni sawa maana lazima warudie mtihani.
Kwa ivyo ukiona hawa jamaa wanajisifia kilichosemwa na Moody’s unajiuliza kama wazima huko vichwani.
Halafu wanataka kujifananisha na nchi zenye credit rating za AAA kama Japan. Akili zetu zinatutosha wenyewe.
Actually it’s B2 nenda ka google sasa what that rating implies.Acha uongo moody wametoa credit rating ya B+
Nchi Nyingi maskini ziko kwenye rating hiyoActually it’s B2 nenda ka google sasa what that rating implies.
Kwa kifupi you are still high default risk.
Ndio maana nikatumia analogue ya failure upate 39% au 0% it’s still a failure, sasa we unataka kuongelea failure yenye afadhali.Nchi Nyingi maskini ziko kwenye rating hiyo
Sio kila kazi anayopewa mtu lazima Rais atangaze kwa UMMA kuwa makini kidogoTumbili anaruka ruka tu ili Mama amkumbuke
Hamna kitu ulichoongeaa apoo trillion 91 na umejenga nn ipo siku utanambiaAliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe David Zacharia Kafulila kupitia ukurasa wake wa Instagram amewafunda wanaolalamika Kuhusu ukuaji wa deni la Taifa huku akisisitiza tukope zaidi ili tujenge uchumi wetu kwani hata Japan ambayo ni nchi ya tatu Duniani kwa Utajiri bajeti yake 40% ni mikopo tuache maneno maneno Tanzania tuko vizuri,
===
Kafulila anasema, Ripoti ya UNDP Nov2022, imetaja nchi54 zenye hali mbaya ya deni la Taifa Dunian, huku 25 zikitoka Afrika wala Tanzania sio miongoni mwao,
Kafulila anaendelea kwa kusema " Ripoti za Taasisi ya MOODY'S, ambayo ni moja ya taasisi 3 kubwa duniani kwa kupima afya ya uchumi kumudu kulipa deni ( MOODY'S, S&P na Fitch zinamiliki 95% ya biashara hii duniani), Agust 2021 na Oktoba 2022 imeonesha Tanzania bado inafanya vema usimamizi wa deni kutokana kupata mikopo ya muda mrefu na nafuu( concessional loans).
Anaendelea kusisitiza, Tukope kujenga uchumi,Ulaya ilikopa kujenga uchumi baada ya vita ya dunia kwa kusaidiwa na USA( Mashal Plan, ) Bajeti ya Japan ya mwaka 2021, nchi ya 3 kwa ukubwa wa uchumi dunaini, asilimia 40% ni mikopo.
Anasema, "Naam, tukope zaidi kujenga zaidi hasa mikopo ya muda mrefu ambayo uwekezaji miradi hii itaongeza msuli wa uchumi wetu kulipa deni.
Mwaka 2021/22 ndio mwaka deni limeongeka kwa trilioni10(BoT- MER) lakn ndio mwaka uchumi uliongezeka kwa zaidi ya dola bilioni 5.4 kufikia $67.7bn kutoka $62.3bn ambazo ni sawa na nyongeza ya uchumi kwa miaka miwili( 2019/20 na 2020/21),Ndio maana ya kukopa kujenga uchumi.
Marry X-mass & Happy New year
Unaakili pana sana Wewe jamaaHakuna Maendeleo bila kukopa ,taja Nchi iliyoendelea bila kukopa
Narudia,mmelishwa utopolo.Kwanza mmedanganywa kuhusu maana ya maendeleo.Wenzenu wanachokiita maendeleo sio maendeleo.Maendeleo ni positive change ambayo hai athiri your culture,health,social well being and integrity.Hakuna Maendeleo bila kukopa ,taja Nchi iliyoendelea bila kukopa
Wana mpango wa Debt/Equity swaps ambao tayari umeshabuniwa.So Nia ya kutukopesha sio njema sana,lazima tuwe makini.The Debt Exchange, Inc. (also known as DebtX) ni kati ya makampuni yao makubwa yanayofanya kazi hizo.Hakuna anayeombea mabaya yatokee Tanzania Bali ni uongozi mbaya wa CCM . Deni limefika Trilioni 91 kwa uchache. Nani atatusaidia kulipa Hilo Deni?
Very misled.Hiyo ni misemo yao potofu ya kutufanya tukope.Ingekuwa mikopo inatoa,tungefika mahali tukaacha kukopa.Ukishakuwa debt dependent wewe ni mtumwa.Akopaye ni mtumwa wa akopeshaye,huo ndio ukweli mchungu.Mkopaji hana ujasiri wowote kwa aliyemkopesha.Mbona mataifa makubwa yanakopa Sisi ni nan hata,nchi kubwa uko zinadaiwa matrilioni ya dola Sisi ivyo vibilion tunaona ni vingi sana tukope mradi tufanye vitu vya msingi
Mpumbavu sana huyu tumbili,Kafulila anasema, Ripoti ya UNDP Nov2022, imetaja nchi54 zenye hali mbaya ya deni la Taifa Dunian, huku 25 zikitoka Afrika wala Tanzania sio miongoni mwao,
Hawa wakapimwe diameter lazima valve ziko apartKigoma mko vizuri sana kwenye UCHAWA
Nakurupuka hapa, kwani sijasoma yote yaliyojibiwa.Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe David Zacharia Kafulila kupitia ukurasa wake wa Instagram amewafunda wanaolalamika Kuhusu ukuaji wa deni la Taifa huku akisisitiza tukope zaidi ili tujenge uchumi wetu kwani hata Japan ambayo ni nchi ya tatu Duniani kwa Utajiri bajeti yake 40% ni mikopo tuache maneno maneno Tanzania tuko vizuri,
===
Kafulila anasema, Ripoti ya UNDP Nov2022, imetaja nchi54 zenye hali mbaya ya deni la Taifa Dunian, huku 25 zikitoka Afrika wala Tanzania sio miongoni mwao,
Kafulila anaendelea kwa kusema " Ripoti za Taasisi ya MOODY'S, ambayo ni moja ya taasisi 3 kubwa duniani kwa kupima afya ya uchumi kumudu kulipa deni ( MOODY'S, S&P na Fitch zinamiliki 95% ya biashara hii duniani), Agust 2021 na Oktoba 2022 imeonesha Tanzania bado inafanya vema usimamizi wa deni kutokana kupata mikopo ya muda mrefu na nafuu( concessional loans).
Anaendelea kusisitiza, Tukope kujenga uchumi,Ulaya ilikopa kujenga uchumi baada ya vita ya dunia kwa kusaidiwa na USA( Mashal Plan, ) Bajeti ya Japan ya mwaka 2021, nchi ya 3 kwa ukubwa wa uchumi dunaini, asilimia 40% ni mikopo.
Anasema, "Naam, tukope zaidi kujenga zaidi hasa mikopo ya muda mrefu ambayo uwekezaji miradi hii itaongeza msuli wa uchumi wetu kulipa deni.
Mwaka 2021/22 ndio mwaka deni limeongeka kwa trilioni10(BoT- MER) lakn ndio mwaka uchumi uliongezeka kwa zaidi ya dola bilioni 5.4 kufikia $67.7bn kutoka $62.3bn ambazo ni sawa na nyongeza ya uchumi kwa miaka miwili( 2019/20 na 2020/21),Ndio maana ya kukopa kujenga uchumi.
Marry X-mass & Happy New year
Ungejibu hoja badala ya kusema Jamaa ni ChawaKuja watu wanautafuta Ugali kwa njia nyingi- halali na haramu.
Swali: Je, njia ya uchawa ni halali au haramu?