Mara nyingi na kwa uzoefu wangu Pesa nyingi zinazopotea Ni Pesa za makusanyo ya ndani..
Pesa ya mkopo hata ikipoyea Ni kwenye utekelezaji wa mradi aidha ku overprice au kujenga chini ya kiwango.
Hii sio kweli mkuu wanguMishahara inategemea mikopo halafu bado mtu anasemaa tukope tu.
Huyu Bwana ni hazina kwa Taifa
Tukope tujenge zaidi, Ndio alichosema huyu BwanaHazina kwa kushupalia tukope zaidi. Baadala ya kushauri tupunguze Deni.
Tukope tujenge zaidi, Ndio alichosema huyu Bwana
Hivi Bakhresa akiwa na 40% ya bajeti yake kuwa deni, wewe kapuku utatumia hiyo taarifa kujipa moyo juu ya madeni unayodaiwa dukani na Mangi?Kumbe Japan 40% ya bajeti yake ni deni Daaah,
Asante Sana Mkuu Kafulila kutufumbua macho,
Hayo mamikopo yanasamehewa tu miaka sio mingi Wacha tukusanye pesaSiyo shida , shida tutalipaje. Kafulila anaposhauri tukope pia ashauri mpango madhubuti wa kulipa deni.
Acha kuzungumzia hivi videni vya kwa Mangi, Hivi mtu anakukopesha kwa riba ya 1% kwa miaka 20 unakataaje hiyo pesa?Huyu atakuwa anaumwa ugonjwa wa akili ama anajitoa ufahamu kwa sababu anazozijua mwenyewe. Kudaiwa ni utumwa sio sifa
Duh !!Mikopo ya pesa unufaisha watawala zaidi kuliko watawaliwa, na mingi urudishwa kwenye mabenk ya ulaya kufichwa
Kafulia kweli kweli !! Vita vya Ukraine sio mchezo !!Kafulila atakuwa amefulia kweli kweli 😂
Kukopa sio sifa na hasa kama mikopo hiyo inanufaisha ukoo wa panya, mchwa na mafisadi!.
Kwamba hatukuorodheshwa hivyo tukope tu eti deni letu ni stahimilivu? 🤔
Kwamba tuingie kwenye hiyo list sio?Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe David Zacharia Kafulila kupitia ukurasa wake wa Instagram amewafunda wanaolalamika Kuhusu ukuaji wa deni la Taifa huku akisisitiza tukope zaidi ili tujenge uchumi wetu kwani hata Japan ambayo ni nchi ya tatu Duniani kwa Utajiri bajeti yake 40% ni mikopo tuache maneno maneno Tanzania tuko vizuri,
===
Kafulila anasema, Ripoti ya UNDP Nov2022, imetaja nchi54 zenye hali mbaya ya deni la Taifa Dunian, huku 25 zikitoka Afrika wala Tanzania sio miongoni mwao,
Kafulila anaendelea kwa kusema " Ripoti za Taasisi ya MOODY'S, ambayo ni moja ya taasisi 3 kubwa duniani kwa kupima afya ya uchumi kumudu kulipa deni ( MOODY'S, S&P na Fitch zinamiliki 95% ya biashara hii duniani), Agust 2021 na Oktoba 2022 imeonesha Tanzania bado inafanya vema usimamizi wa deni kutokana kupata mikopo ya muda mrefu na nafuu( concessional loans).
Anaendelea kusisitiza, Tukope kujenga uchumi,Ulaya ilikopa kujenga uchumi baada ya vita ya dunia kwa kusaidiwa na USA( Mashal Plan, ) Bajeti ya Japan ya mwaka 2021, nchi ya 3 kwa ukubwa wa uchumi dunaini, asilimia 40% ni mikopo.
Anasema, "Naam, tukope zaidi kujenga zaidi hasa mikopo ya muda mrefu ambayo uwekezaji miradi hii itaongeza msuli wa uchumi wetu kulipa deni.
Mwaka 2021/22 ndio mwaka deni limeongeka kwa trilioni10(BoT- MER) lakn ndio mwaka uchumi uliongezeka kwa zaidi ya dola bilioni 5.4 kufikia $67.7bn kutoka $62.3bn ambazo ni sawa na nyongeza ya uchumi kwa miaka miwili( 2019/20 na 2020/21),Ndio maana ya kukopa kujenga uchumi.
Marry X-mass & Happy New year
Uchawa ndio jnaowaendeshaKafulia kweli kweli !! Vita vya Ukraine sio mchezo !!
Naona Jamaa anajitahidi sana kuchonga mizinga nyuki waingie aanze kulamba asali lakini inaonekana mizinga yake ina moshi nyuki hawawezi kuingia, Labda sasa apambane Kutoa moshi ndani ya mizinga yake nyuki waweze kuingia. Kazana sana atimaye nyuki wataona mizinga.Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe David Zacharia Kafulila kupitia ukurasa wake wa Instagram amewafunda wanaolalamika Kuhusu ukuaji wa deni la Taifa huku akisisitiza tukope zaidi ili tujenge uchumi wetu kwani hata Japan ambayo ni nchi ya tatu Duniani kwa Utajiri bajeti yake 40% ni mikopo tuache maneno maneno Tanzania tuko vizuri,
===
Kafulila anasema, Ripoti ya UNDP Nov2022, imetaja nchi54 zenye hali mbaya ya deni la Taifa Dunian, huku 25 zikitoka Afrika wala Tanzania sio miongoni mwao,
Kafulila anaendelea kwa kusema " Ripoti za Taasisi ya MOODY'S, ambayo ni moja ya taasisi 3 kubwa duniani kwa kupima afya ya uchumi kumudu kulipa deni ( MOODY'S, S&P na Fitch zinamiliki 95% ya biashara hii duniani), Agust 2021 na Oktoba 2022 imeonesha Tanzania bado inafanya vema usimamizi wa deni kutokana kupata mikopo ya muda mrefu na nafuu( concessional loans).
Anaendelea kusisitiza, Tukope kujenga uchumi,Ulaya ilikopa kujenga uchumi baada ya vita ya dunia kwa kusaidiwa na USA( Mashal Plan, ) Bajeti ya Japan ya mwaka 2021, nchi ya 3 kwa ukubwa wa uchumi dunaini, asilimia 40% ni mikopo.
Anasema, "Naam, tukope zaidi kujenga zaidi hasa mikopo ya muda mrefu ambayo uwekezaji miradi hii itaongeza msuli wa uchumi wetu kulipa deni.
Mwaka 2021/22 ndio mwaka deni limeongeka kwa trilioni10(BoT- MER) lakn ndio mwaka uchumi uliongezeka kwa zaidi ya dola bilioni 5.4 kufikia $67.7bn kutoka $62.3bn ambazo ni sawa na nyongeza ya uchumi kwa miaka miwili( 2019/20 na 2020/21),Ndio maana ya kukopa kujenga uchumi.
Marry X-mass & Happy New year
ThibitishaMbona kwa Sasa tunalipa mishahara kwa mikopo?. Hakuna issue hapo.
Acha porojo za kijinga,unaelewa maana ya kujenga njia za Uchumi au unapayuka tuu?Ukope kujenga uchumi gani?. Uchumi haujengwi kwa mikopo Bali kwa mipango madhubuti na makubaliano ya pamoja Kama taifa.
Kwa mafukara wasio na shughuli za kuingiza kipato,kudaiwa ni utumwa,lakini tz hakuna anayemzidi mo dewji kudaiwaHuyu atakuwa anaumwa ugonjwa wa akili ama anajitoa ufahamu kwa sababu anazozijua mwenyewe. Kudaiwa ni utumwa sio sifa
Minada ya nchi hufanyika wapi!?Analeta ngonjera wakati nchi inataka kupigwa mnada.
Utajua tu siku tukishindwa kulipa madeni.Minada ya nchi hufanyika wapi!?