Kafulila watu wameanza kumdharau wamegundua anapitiliza

Kafulila watu wameanza kumdharau wamegundua anapitiliza

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Hili nimeliona na kuna watu Lumumba wanazungumza.kuwa dogo sasa anaropoka sana. Yeye anataka kuwa Katibu wa Chama kwa maoni ya watu wengi.

Ameanza kukera baadhi ya watu kuwa ana jikomba mpaka anajikomboleza.mwishoni atabakia hana kitu. Wataalamu wanasema pengine ni ushamba na pia kuchanganyikiwa. Alikaa sana juu ya mawe sasa kuja pewa kitengo ni jambo ambalo limemchanganya.

Kwa hali anayoenda nayo wataalamu wanasema siku zijazo atakosa la kuzungumza na watu wata play audio au videos zake kumkumbusha alivyokuwa aki rorojoka. Wanasema aweke akiba ya maneno asiseme akamaliza.

Naona wapinzani kama wameamua kumwacha ili asipate attention na hili ni jambo linaomuumiza sababu anatamani sana apate nafasi ya kupambana aoneshe yeye ni CCM kweli kweli kuliko CCM wenyewe. Sasa wao wanamwacha anaongea peke yake hawamgusi. Hili linamfanya ajaribu kuomba hata midahalo. Wanamwambia yeye hana cheo cha kujadiliana nao. Anaumia.
 
Hili nimeliona na kuna watu Lumumba wanazungumza.kuwa dogo sasa anaropoka sana. Yeye anataka kuwa Katibu wa Chama kwa maoni ya watu wengi.

Ameanza kukera baadhi ya watu kuwa ana jikomba mpaka anajikomboleza.mwishoni atabakia hana kitu. Wataalamu wanasema pengine ni ushamba na pia kuchanganyikiwa. Alikaa sana juu ya mawe sasa kuja pewa kitengo ni jambo ambalo limemchanganya.

Kwa hali anayoenda nayo wataalamu wanasema siku zijazo atakosa la kuzungumza na watu wata play audio au videos zake kumkumbusha alivyokuwa aki rorojoka. Wanasema aweke akiba ya maneno asiseme akamaliza.

Naona wapinzani kama wameamua kumwacha ili asipate attention na hili ni jambo linaomuumiza sababu anatamani sana apate nafasi ya kupambana aoneshe yeye ni CCM kweli kweli kuliko CCM wenyewe. Sasa wao wanamwacha anaongea peke yake hawamgusi. Hili linamfanya ajaribu kuomba hata midahalo. Wanamwambia yeye hana cheo cha kujadiliana nao. Anaumia.
Ni jambo la kutafakari sana kuona Aston Villa ikicheza robo fainali za UEFA wakati Man United haijawahi kushiriki hata kwenye hatua ya mtoano tangu kuondoka kwa Sir Alex Ferguson
 
Mungu mpe pumziko la furaha aliye muita jina la tumbili
Macaca_nigra_self-portrait_large.jpg
 
Ameanza kukera baadhi ya watu kuwa ana jikomba mpaka anajikomboleza.mwishoni atabakia hana kitu. Wataalamu wanasema pengine ni ushamba na pia kuchanganyikiwa. Alikaa sana juu ya mawe sasa kuja pewa kitengo ni jambo ambalo limemchanganya.

Kwa hali anayoenda nayo wataalamu wanasema siku zijazo atakosa la kuzungumza na watu wata play audio au videos zake kumkumbusha alivyokuwa aki rorojoka. Wanasema aweke akiba ya maneno asiseme akamaliza.
Nimeshauliza humu ndani kuwa hivi siku hizi huyu Kafulila, bado ni mwanasiasa, au msemaji wa Raisi, au Msemaji wa serikali, au kiongozi wa PPP?
 
Ni jambo la kutafakari sana kuona Aston Villa ikicheza robo fainali za UEFA wakati Man United haijawahi kushiriki hata kwenye hatua ya mtoano tangu kuondoka kwa Sir Alex Ferguson
😂😂😂😂
 
Hili nimeliona na kuna watu Lumumba wanazungumza.kuwa dogo sasa anaropoka sana. Yeye anataka kuwa Katibu wa Chama kwa maoni ya watu wengi.

Ameanza kukera baadhi ya watu kuwa ana jikomba mpaka anajikomboleza.mwishoni atabakia hana kitu. Wataalamu wanasema pengine ni ushamba na pia kuchanganyikiwa. Alikaa sana juu ya mawe sasa kuja pewa kitengo ni jambo ambalo limemchanganya.

Kwa hali anayoenda nayo wataalamu wanasema siku zijazo atakosa la kuzungumza na watu wata play audio au videos zake kumkumbusha alivyokuwa aki rorojoka. Wanasema aweke akiba ya maneno asiseme akamaliza.

Naona wapinzani kama wameamua kumwacha ili asipate attention na hili ni jambo linaomuumiza sababu anatamani sana apate nafasi ya kupambana aoneshe yeye ni CCM kweli kweli kuliko CCM wenyewe. Sasa wao wanamwacha anaongea peke yake hawamgusi. Hili linamfanya ajaribu kuomba hata midahalo. Wanamwambia yeye hana cheo cha kujadiliana nao. Anaumia.
CHADEMA BADO HAMJASEMA.


KUMBE YOTE HAYA NI KWA SABABU KAFULILA KAAMUA KUMTETEA MGOMBEA WAKE DKT SAMIA?

Kwanza, mwandishi labda ufafanue ni lini hao Watu unaosema wameanza kumdharau ni lini na wapi walionesha kumuheshimu na leo wanaonesha kuanza kumdharau?

Pili, nataka kufahamu Je, wewe ni Msemaji wa hao watu walioanza kumdharau Kafulila ?


👇👇

Ushauri wangu wa bure kwa CHADEMA hebu jibuni hoja za Kafulila acheni visingizio na kutengeneza Nyuzi|mabandiko ya kujifichaficha ili kumnyemelea Kafulila.

NIONAVYO mimi Kafulila anahoja tena hoja zake ni nzito wenye akili tunaona zijibiwe tena kwa Ushahidi sio kumvizia kama hivi.

Kwa hoja hizi nadhani ndio maana Kafulila hana mpinzani hata hapa jf.

Hao Wapinzani unaowasema ukiwemo na wewe mnasema mmeamua kumpuuza wakati huo huo ndio ninyi mnao lia lia kuomba Kafulila atulie.

Sasa Kafulila anatuliaje wakati yeye Leo sio CHADEMA ni CCM?

Kama ilivyo kwa wanaCCM wengine Kafulila anataka mgombea wake ashinde kwa kishindo Uchaguzi Mkuu huu wa Oct!!

Kafulila Lazima aitetee CCM Kwa nguvu na akili zake zote na kwa kufanya hivyo hakosei popote kwani ndio haswaa takwa la Katiba ya CCM.

Kafulila chapa mwendo.
 
CHADEMA Jibuni hoja za Kafulila acheni visingizio.

Kafulila anahoja nzito nzito sana nadhani ndio maana hana mpinzani hata hapa jf.

Hao Wapinzani unaowasema wameamua kumpuuza ndio ninyi mnaolia Lia kuomba Kafulila atulie.

Sasa Kafulila anatuliaje wakati yeye sio CHADEMA ni CCM?

Lazima aitetee CCM Kwa nguvu na akili zake zote.
Hoja gani tuanze na wewe mjinga wa ccm
 
Nimeshauliza humu ndani kuwa hivi siku hizi huyu Kafulila, bado ni mwanasiasa, au msemaji wa Raisi, au Msemaji wa serikali, au kiongozi wa PPP?
Hivi wewe unafahamu maana ya Uzalendo?

Uzalendo ni kumtetea Rais na Serikali yake wakati wote.

Kafulila ni Mzalendo wa kweli, huyu jamaa hali Wala hapokei rushwa ila anapiga spana CHADEMA kwa sana.

Labda tu niwasaidie kidogo,

Kazi ya mwanaCCM yoyote ni kuilinda na kuitetea CCM na Serikali yake.

Kafulila ni kiongozi wa mfano kwenye hili na siku Viongozi wote wakifanya kama Kafulila CHADEMA mtaita pooo.
 
Hoja gani tuanze na wewe mjinga wa ccm
Hakuna siku Kafulila kazungumza hoja yake bila namba,

Labda nikuulize tangu lini namba ilidanganya?

Na wewe CHADEMA unapomjibu Kafulila lazima uzingatie kabisa Kuna Sheria ya takwimu usije ukaozea jela nakutaarifu hili mapema.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi
 
Mungu mpe pumziko la furaha aliye muita jina la tumbili
🤣😂😂

Ila nyie CHADEMA,

Mimi nawashauri nendeni kwanza mkasome ndio mje mbishane na Kafulila kwani jamaa anafanya research sana kabla hajaandika.

BAVICHA Kuweni makini
 
Hili nimeliona na kuna watu Lumumba wanazungumza.kuwa dogo sasa anaropoka sana. Yeye anataka kuwa Katibu wa Chama kwa maoni ya watu wengi.

Ameanza kukera baadhi ya watu kuwa ana jikomba mpaka anajikomboleza.mwishoni atabakia hana kitu. Wataalamu wanasema pengine ni ushamba na pia kuchanganyikiwa. Alikaa sana juu ya mawe sasa kuja pewa kitengo ni jambo ambalo limemchanganya.

Kwa hali anayoenda nayo wataalamu wanasema siku zijazo atakosa la kuzungumza na watu wata play audio au videos zake kumkumbusha alivyokuwa aki rorojoka. Wanasema aweke akiba ya maneno asiseme akamaliza.

Naona wapinzani kama wameamua kumwacha ili asipate attention na hili ni jambo linaomuumiza sababu anatamani sana apate nafasi ya kupambana aoneshe yeye ni CCM kweli kweli kuliko CCM wenyewe. Sasa wao wanamwacha anaongea peke yake hawamgusi. Hili linamfanya ajaribu kuomba hata midahalo. Wanamwambia yeye hana cheo cha kujadiliana nao. Anaumia.
Yaani kuna mstari mwembamba sana kati ya tumbili David Kafulila na chawa Lucas Mwashambwa.
 
Sio msemaji wa PPP ila anamtapeli Mama Abdul na uwezo wale ni mdogo sana. Nilimuona anahojiwa UTV siku moja. Jamaa ni empty set kabisa.
Wewe ulihojiwa wapi ukafanya vizuri?

Kafulila hafanyi kazi ya Samia anafanya kazi ya CCM.

CCM ni kubwa kuliko yoyote.

CCM sio kama CHADEMA
 
Tumbili unaruka ruka sana wenyewe wenye chama chao wanakuchora tu na utajaa kwenye 18 zao ndiyo maana Kiswaswadu alikuchukulia nke wako.
Kwani Mke ndio kila kitu mkuu?

Unamaanisha WanaCCM ndio hawapendi Rais wao atetewe?

Hakuna mwanaCCM mwenye akili timamu anaweza akapuuza anachokifanya Cde Kafulila.
 
Back
Top Bottom