Kafulila watu wameanza kumdharau wamegundua anapitiliza

Kafulila watu wameanza kumdharau wamegundua anapitiliza

Yaani kaajiri matahira wenzake ambao wanaweka active mada zake humu 24/7 utadhani ni vitu vya maana.

Ngoja sasa usome comments:

Kafulila ni asset ya taifa
Kafulila ana akili sana
Tanzania inamuhitaji Kafulila

etc na uthenge wao (excuse my language).

Kafulila ana position ya kupata media airtime, lakini uelewa wake wa maswala husika anayoongelea ni mdogo mno.

Ni sawa kama kufurahisha kadamnasi yetu, lakini sio mtu wa kuongea serious business na watu nje ya mipaka yetu.

Huo uwezo hana
Kamanda Mimi nilisema Kafulila anaua kabisa Upinzani sikueleweka.

Jamaa napandisha mada kila siku kumsifia mgombea wa CCM chama Kiko kimya kabisa.
Kafulila anayoakili tunafahamu tangu akiwa
Upinzani hivyo lazima tumkabili Kwa namna Yoyote Ile.
 
Hili nimeliona na kuna watu Lumumba wanazungumza.kuwa dogo sasa anaropoka sana. Yeye anataka kuwa Katibu wa Chama kwa maoni ya watu wengi.

Ameanza kukera baadhi ya watu kuwa ana jikomba mpaka anajikomboleza.mwishoni atabakia hana kitu. Wataalamu wanasema pengine ni ushamba na pia kuchanganyikiwa. Alikaa sana juu ya mawe sasa kuja pewa kitengo ni jambo ambalo limemchanganya.

Kwa hali anayoenda nayo wataalamu wanasema siku zijazo atakosa la kuzungumza na watu wata play audio au videos zake kumkumbusha alivyokuwa aki rorojoka. Wanasema aweke akiba ya maneno asiseme akamaliza.

Naona wapinzani kama wameamua kumwacha ili asipate attention na hili ni jambo linaomuumiza sababu anatamani sana apate nafasi ya kupambana aoneshe yeye ni CCM kweli kweli kuliko CCM wenyewe. Sasa wao wanamwacha anaongea peke yake hawamgusi. Hili linamfanya ajaribu kuomba hata midahalo. Wanamwambia yeye hana cheo cha kujadiliana nao. Anaumia.
Uongo mbaya Mimi nakujaga jf kwa sababu ya Kafulila tu
 
Hili nimeliona na kuna watu Lumumba wanazungumza.kuwa dogo sasa anaropoka sana. Yeye anataka kuwa Katibu wa Chama kwa maoni ya watu wengi.

Ameanza kukera baadhi ya watu kuwa ana jikomba mpaka anajikomboleza.mwishoni atabakia hana kitu. Wataalamu wanasema pengine ni ushamba na pia kuchanganyikiwa. Alikaa sana juu ya mawe sasa kuja pewa kitengo ni jambo ambalo limemchanganya.

Kwa hali anayoenda nayo wataalamu wanasema siku zijazo atakosa la kuzungumza na watu wata play audio au videos zake kumkumbusha alivyokuwa aki rorojoka. Wanasema aweke akiba ya maneno asiseme akamaliza.

Naona wapinzani kama wameamua kumwacha ili asipate attention na hili ni jambo linaomuumiza sababu anatamani sana apate nafasi ya kupambana aoneshe yeye ni CCM kweli kweli kuliko CCM wenyewe. Sasa wao wanamwacha anaongea peke yake hawamgusi. Hili linamfanya ajaribu kuomba hata midahalo. Wanamwambia yeye hana cheo cha kujadiliana nao. Anaumia.
CHADEMA bado hamjasema ndio kazi Sasa inaanza kuelekea Oct 2025.
 
Kamanda Mimi nilisema Kafulila anaua kabisa Upinzani sikueleweka.

Jamaa napandisha mada kila siku kumsifia mgombea wa CCM chama Kiko kimya kabisa.
Kafulila anayoakili tunafahamu tangu akiwa
Upinzani hivyo lazima tumkabili Kwa namna Yoyote Ile.
Kwenye kichwa chako hapo umetumia akili kubwa kweli kuandika huo upuuzi wako.

Ukidhani ni personal issues.

Mimi naongea on technical terms, Kafulila hana uelewa wa maswala anayoengea awe raia wakawaida, mwanachama wa CCM, CDM, CUF, ACT or whatever.

Kiwango chake cha ujinga ni sawa na wewe. Halafu kama vile ni shallow zaidi.

Pathetic, you.

Huu ndio ujinga unaofanya baadhi ya diaspora kuona shida kurudi, ana deal vipi na taahira kama wewe ambae kwenye kichwa chako unajiona mwerevu wakati taahira.

Muda wa kufanya mambo mengine, the nonsense.
 
Hili nimeliona na kuna watu Lumumba wanazungumza.kuwa dogo sasa anaropoka sana. Yeye anataka kuwa Katibu wa Chama kwa maoni ya watu wengi.

Ameanza kukera baadhi ya watu kuwa ana jikomba mpaka anajikomboleza.mwishoni atabakia hana kitu. Wataalamu wanasema pengine ni ushamba na pia kuchanganyikiwa. Alikaa sana juu ya mawe sasa kuja pewa kitengo ni jambo ambalo limemchanganya.

Kwa hali anayoenda nayo wataalamu wanasema siku zijazo atakosa la kuzungumza na watu wata play audio au videos zake kumkumbusha alivyokuwa aki rorojoka. Wanasema aweke akiba ya maneno asiseme akamaliza.

Naona wapinzani kama wameamua kumwacha ili asipate attention na hili ni jambo linaomuumiza sababu anatamani sana apate nafasi ya kupambana aoneshe yeye ni CCM kweli kweli kuliko CCM wenyewe. Sasa wao wanamwacha anaongea peke yake hawamgusi. Hili linamfanya ajaribu kuomba hata midahalo. Wanamwambia yeye hana cheo cha kujadiliana nao. Anaumia.
Kafulila ni Karl Peters wax nyakati zetu.
 
Kwenye kichwa chako hapo umetumia akili kubwa kweli kuandika huo upuuzi wako.

Ukidhani ni personal issues.

Mimi naongea on technical terms, Kafulila hana uelewa wa maswala anayoengea awe raia wakawaida, mwanachama wa CCM, CDM, CUF, ACT or whatever.

Kiwango chake cha ujinga ni sawa na wewe, kama vile ni shallow zaidi.

Pathetic
Wewe mbona sikuelewi,

Kafulila anaweza kukabiliwa na chama sio na mtu mmoja kama wewe usiye na jukwaa lolote zaidi hapa jf kwenye comment.

Mimi ni CHADEMA ila ni Ujinga na upumbafu kusema Kafulila hana akili,

Nadhani hoja hapa ni bampa 2 bampa tupambane nae.
 
Hili nimeliona na kuna watu Lumumba wanazungumza.kuwa dogo sasa anaropoka sana. Yeye anataka kuwa Katibu wa Chama kwa maoni ya watu wengi.

Ameanza kukera baadhi ya watu kuwa ana jikomba mpaka anajikomboleza.mwishoni atabakia hana kitu. Wataalamu wanasema pengine ni ushamba na pia kuchanganyikiwa. Alikaa sana juu ya mawe sasa kuja pewa kitengo ni jambo ambalo limemchanganya.

Kwa hali anayoenda nayo wataalamu wanasema siku zijazo atakosa la kuzungumza na watu wata play audio au videos zake kumkumbusha alivyokuwa aki rorojoka. Wanasema aweke akiba ya maneno asiseme akamaliza.

Naona wapinzani kama wameamua kumwacha ili asipate attention na hili ni jambo linaomuumiza sababu anatamani sana apate nafasi ya kupambana aoneshe yeye ni CCM kweli kweli kuliko CCM wenyewe. Sasa wao wanamwacha anaongea peke yake hawamgusi. Hili linamfanya ajaribu kuomba hata midahalo. Wanamwambia yeye hana cheo cha kujadiliana nao. Anaumia.

Kafulia ni liCHAWA flani hivi
 
CHADEMA Jibuni hoja za Kafulila acheni visingizio.

Kafulila anahoja nzito nzito sana nadhani ndio maana hana mpinzani hata hapa jf.

Hao Wapinzani unaowasema wameamua kumpuuza ndio ninyi mnaolia Lia kuomba Kafulila atulie.

Sasa Kafulila anatuliaje wakati yeye sio CHADEMA ni CCM?

Lazima aitetee CCM Kwa nguvu na akili zake zote.
Unamjibu mjinga ila nawe uonekane mjinga?
 
Wewe mbona sikuelewi,

Kafulila anaweza kukabiliwa na chama sio na mtu mmoja kama wewe usiye na jukwaa lolote zaidi hapa jf kwenye comment.

Mimi ni CHADEMA ila ni Ujinga na upumbafu kusema Kafulila hana akili,

Nadhani hoja hapa ni bampa 2 bampa tupambane nae.
Kwa kiwango chako cha umbumbavu, ni ngumu kuelezewa jinsi ulivyo mjinga.
 
Kamanda Mimi nilisema Kafulila anaua kabisa Upinzani sikueleweka.

Jamaa napandisha mada kila siku kumsifia mgombea wa CCM chama Kiko kimya kabisa.
Kafulila anayoakili tunafahamu tangu akiwa
Upinzani hivyo lazima tumkabili Kwa namna Yoyote Ile.
Bora wewe umeamua kuwa mkweli,
 
Back
Top Bottom